Mchungaji Lucy Natasha apata mume raia wa India

Imani mchongo
 
Tunaomba wasifu wa padre Lucy natasha
 
Wote wamekutana wana pesa chafu, lucy natasha anahelcopter na viwanda vya maji kenya mabrazamen kibao walikuwa wanajazana kwenye kanisa lake sasa sijui walikuwa wanasubiri zari liwadondokee[emoji16][emoji16][emoji1787][emoji1787][emoji13][emoji13]
[emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji2][emoji23][emoji16][emoji3]
 
Halafu mbaya zaid mjomba huyo ni muhindi so mabrazamen full kumnunia pastor wakihindi🤣🤣🤣😀😆😆
Na wamenuna sana tu hasa yule nabii wa bongo mwenye makalio makubwa bilionea S

Ila mdosi keshachukua demu 😍
 
Mone goes to where .....
 
Kwa hiyo kabla pastor alikuwa anacheza mechi za nje au alikuwa anapiga puli mana ni binaadamu huyu ujue,,,,
Umewaza mbali sana bwashee, ngoja nikupe namba zake umpigie akupe huduma ya maombi maana naona unahitaji ukombozi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…