Hao wachungaji, sijui ni eachungaji ws nini - wa kileo?''yeye ni miongoni mwa wachungaji bora 10 barani Afrika hivyo anapoongea jambo wananchi ni lazima wamuelewe. ;
hahahahahahaaa jaman jaman mi sina la kusema
Mchungaji Lusekelo amesema yeye ni miongoni mwa wachungaji bora 10 barani Afrika hivyo anapoongea jambo wananchi ni lazima wamuelewe.
Lusekelo anasema Rais Magufuli ameitikisa dunia kwa namna alivyoweza kudhibiti Corona, kadhalika wale walioongea baada tu ya Rais kuongea na wananchi ni wavuta bangi.
Lusekelo anasisitiza kuwa mkuu wa nchi akishaongea mjadala unafungwa kinachofuatia ni utekelezaji na yule mtu anayesubiri Rais aongee ili yeye amjibu huyo ni mvuta bangi. Mkuu wa nchi anaheshimiwa na kuenziwa kwa mujibu wa Biblia.
Mchungaji Lusekelo alikuwa akichangia mada kuhusu kudhibitiwa kwa Corona nchini na yeye alielezea kwa upande wa Wakristo na upande wa waislamu alikuwepo shehe wa mkoa wa Dsm Alhad Mussa Salum.
Mjadala huo uliendeshwa na Channel Ten tv.
Maendeleo hayana vyama!
acha wivu kwa mtumishi wa bwanaMwandiko wako tuu,unaonyesha kabisa pasi shaka kuwa hata wewe ni miongoni mwa watakaomlaki "bwana yesu mawinguni".
Pole kwa hasara uliyonayo.
wakati wapo chadema walikuwa wapotofu ila walipoacha mambo ya siasa wamekuwa watakatifu wenye heriHuwa nashangaa sana, sijui wanadamu tumeumbwa namna gani, Lusekelo na Gwajima nao wana wafuasi wa imani ya kikristo. Wana haki ya kuwa na wafuasi kwenye mambo mengine lakini siyo kwenye imani ya kikristo. Sidhani hawa wawili kama kuna wakati wowote wamewahi kuwa wakristo, achiliambali uchungaji.
Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji482] Ameongea yeye au "Hii kitu Hii?"Mchungaji Lusekelo amesema yeye ni miongoni mwa wachungaji bora 10 barani Afrika hivyo anapoongea jambo wananchi ni lazima wamuelewe.
Lusekelo anasema Rais Magufuli ameitikisa dunia kwa namna alivyoweza kudhibiti Corona, kadhalika wale walioongea baada tu ya Rais kuongea na wananchi ni wavuta bangi.
Lusekelo anasisitiza kuwa mkuu wa nchi akishaongea mjadala unafungwa kinachofuatia ni utekelezaji na yule mtu anayesubiri Rais aongee ili yeye amjibu huyo ni mvuta bangi. Mkuu wa nchi anaheshimiwa na kuenziwa kwa mujibu wa Biblia.
Mchungaji Lusekelo alikuwa akichangia mada kuhusu kudhibitiwa kwa Corona nchini na yeye alielezea kwa upande wa Wakristo na upande wa waislamu alikuwepo shehe wa mkoa wa Dsm Alhad Mussa Salum.
Mjadala huo uliendeshwa na Channel Ten tv.
Maendeleo hayana vyama!
Ni aibu kwako wewe usiyejitambua pamoja na huyo anayejiita mchungaji.Ni aibu kuhoji hotuba ya Rais Magufuli. Rais Mzalendo km Magufuli utahoji nini
Kwa hili nakubaliana na lusekeloBased on my intellectual capacity and my vast knowledge, tactically and tentatively, right from the beginning of times especially in the light of Ecclesiastes evolution I have come to a concrete, definite and profound conclusion that I actually have nothing to say.
Mkulima wa mahindi
Cha pombe ana hoja gani ya maana, au anaviza Lwaka's seat?Mchungaji Lusekelo amesema yeye ni miongoni mwa wachungaji bora 10 barani Afrika hivyo anapoongea jambo wananchi ni lazima wamuelewe.
Lusekelo anasema Rais Magufuli ameitikisa dunia kwa namna alivyoweza kudhibiti Corona, kadhalika wale walioongea baada tu ya Rais kuongea na wananchi ni wavuta bangi.
Lusekelo anasisitiza kuwa mkuu wa nchi akishaongea mjadala unafungwa kinachofuatia ni utekelezaji na yule mtu anayesubiri Rais aongee ili yeye amjibu huyo ni mvuta bangi. Mkuu wa nchi anaheshimiwa na kuenziwa kwa mujibu wa Biblia.
Mchungaji Lusekelo alikuwa akichangia mada kuhusu kudhibitiwa kwa Corona nchini na yeye alielezea kwa upande wa Wakristo na upande wa waislamu alikuwepo shehe wa mkoa wa Dsm Alhad Mussa Salum.
Mjadala huo uliendeshwa na Channel Ten tv.
Maendeleo hayana vyama!
Sijaelewa huyu jamaa anasoma Biblia gani!!Hana akili sawa sawa huyo dingi.
Anasahau kabisa kuwa Yesu Kristo alipingana na mkuu wa nchi ya Israeli (Pilato na Herode) ndio maana hukumu ya kusubiriwa ikatolewa.
Pia anasahau kabisa harakati zote za kuhubiri ukombozi zilizofanywa na Musa, Joshua, Eliya, Elisha, Petro, Paulo nk zilikuwa kinyume na amri na kauli za wakuu wa nchi zile walizokuwepo.
Limbowe na Zitto ni wavuta bangi[emoji23][emoji23][emoji23]Mchungaji Lusekelo amesema yeye ni miongoni mwa wachungaji bora 10 barani Afrika hivyo anapoongea jambo wananchi ni lazima wamuelewe.
Lusekelo anasema Rais Magufuli ameitikisa dunia kwa namna alivyoweza kudhibiti Corona, kadhalika wale walioongea baada tu ya Rais kuongea na wananchi ni wavuta bangi.
Lusekelo anasisitiza kuwa mkuu wa nchi akishaongea mjadala unafungwa kinachofuatia ni utekelezaji na yule mtu anayesubiri Rais aongee ili yeye amjibu huyo ni mvuta bangi. Mkuu wa nchi anaheshimiwa na kuenziwa kwa mujibu wa Biblia.
Mchungaji Lusekelo alikuwa akichangia mada kuhusu kudhibitiwa kwa Corona nchini na yeye alielezea kwa upande wa Wakristo na upande wa waislamu alikuwepo shehe wa mkoa wa Dsm Alhad Mussa Salum.
Mjadala huo uliendeshwa na Channel Ten tv.
Maendeleo hayana vyama!
Hiyo hiyo unayosoma wewe!
Mbuzi jike wa lumumba ndio wanaomuelewaWananchi wanamuelewa sana!
Based on my intellectual capacity and my vast knowledge, tactically and tentatively, right from the beginning of times especially in the light of Ecclesiastes evolution I have come to a concrete, definite and profound conclusion that I actually have nothing to say.
Mkulima wa mahindi
So hivyo tu shedraki, meshaki na Abednego walipinga amri ya Rais ya kuabudu sanamuHana akili sawa sawa huyo dingi.
Anasahau kabisa kuwa Yesu Kristo alipingana na mkuu wa nchi ya Israeli (Pilato na Herode) ndio maana hukumu ya kusubiriwa ikatolewa.
Pia anasahau kabisa harakati zote za kuhubiri ukombozi zilizofanywa na Musa, Joshua, Eliya, Elisha, Petro, Paulo nk zilikuwa kinyume na amri na kauli za wakuu wa nchi zile walizokuwepo.