Mchungaji Lusekelo: Kwa mujibu wa Biblia mkuu wa nchi akishaongea mjadala unafungwa, hao wanaohoji baadae ni wavuta bangi

Mchungaji Lusekelo: Kwa mujibu wa Biblia mkuu wa nchi akishaongea mjadala unafungwa, hao wanaohoji baadae ni wavuta bangi

Mchungaji Lusekelo amesema yeye ni miongoni mwa wachungaji bora 10 barani Afrika hivyo anapoongea jambo wananchi ni lazima wamuelewe.

Lusekelo anasema Rais Magufuli ameitikisa dunia kwa namna alivyoweza kudhibiti Corona, kadhalika wale walioongea baada tu ya Rais kuongea na wananchi ni wavuta bangi.

Lusekelo anasisitiza kuwa mkuu wa nchi akishaongea mjadala unafungwa kinachofuatia ni utekelezaji na yule mtu anayesubiri Rais aongee ili yeye amjibu huyo ni mvuta bangi. Mkuu wa nchi anaheshimiwa na kuenziwa kwa mujibu wa Biblia.

Mchungaji Lusekelo alikuwa akichangia mada kuhusu kudhibitiwa kwa Corona nchini na yeye alielezea kwa upande wa Wakristo na upande wa waislamu alikuwepo shehe wa mkoa wa Dsm Alhad Mussa Salum.

Mjadala huo uliendeshwa na Channel Ten tv.

Maendeleo hayana vyama!

Channel ten si ndio waliyopewa CCM na tajiri wa Igunga?
 
Huwa nashangaa sana, sijui wanadamu tumeumbwa namna gani, Lusekelo na Gwajima nao wana wafuasi wa imani ya kikristo. Wana haki ya kuwa na wafuasi kwenye mambo mengine lakini siyo kwenye imani ya kikristo. Sidhani hawa wawili kama kuna wakati wowote wamewahi kuwa wakristo, achiliambali uchungaji.

Sent using Jamii Forums mobile app
wakati wapo chadema walikuwa wapotofu ila walipoacha mambo ya siasa wamekuwa watakatifu wenye heri

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mchungaji Lusekelo amesema yeye ni miongoni mwa wachungaji bora 10 barani Afrika hivyo anapoongea jambo wananchi ni lazima wamuelewe.

Lusekelo anasema Rais Magufuli ameitikisa dunia kwa namna alivyoweza kudhibiti Corona, kadhalika wale walioongea baada tu ya Rais kuongea na wananchi ni wavuta bangi.

Lusekelo anasisitiza kuwa mkuu wa nchi akishaongea mjadala unafungwa kinachofuatia ni utekelezaji na yule mtu anayesubiri Rais aongee ili yeye amjibu huyo ni mvuta bangi. Mkuu wa nchi anaheshimiwa na kuenziwa kwa mujibu wa Biblia.

Mchungaji Lusekelo alikuwa akichangia mada kuhusu kudhibitiwa kwa Corona nchini na yeye alielezea kwa upande wa Wakristo na upande wa waislamu alikuwepo shehe wa mkoa wa Dsm Alhad Mussa Salum.

Mjadala huo uliendeshwa na Channel Ten tv.

Maendeleo hayana vyama!
[emoji482] Ameongea yeye au "Hii kitu Hii?"

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Lusekelo ana bahati mbaya, ya kutumia akili.
 
Based on my intellectual capacity and my vast knowledge, tactically and tentatively, right from the beginning of times especially in the light of Ecclesiastes evolution I have come to a concrete, definite and profound conclusion that I actually have nothing to say.

Mkulima wa mahindi
Kwa hili nakubaliana na lusekelo

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mchungaji Lusekelo amesema yeye ni miongoni mwa wachungaji bora 10 barani Afrika hivyo anapoongea jambo wananchi ni lazima wamuelewe.

Lusekelo anasema Rais Magufuli ameitikisa dunia kwa namna alivyoweza kudhibiti Corona, kadhalika wale walioongea baada tu ya Rais kuongea na wananchi ni wavuta bangi.

Lusekelo anasisitiza kuwa mkuu wa nchi akishaongea mjadala unafungwa kinachofuatia ni utekelezaji na yule mtu anayesubiri Rais aongee ili yeye amjibu huyo ni mvuta bangi. Mkuu wa nchi anaheshimiwa na kuenziwa kwa mujibu wa Biblia.

Mchungaji Lusekelo alikuwa akichangia mada kuhusu kudhibitiwa kwa Corona nchini na yeye alielezea kwa upande wa Wakristo na upande wa waislamu alikuwepo shehe wa mkoa wa Dsm Alhad Mussa Salum.

Mjadala huo uliendeshwa na Channel Ten tv.

Maendeleo hayana vyama!
Cha pombe ana hoja gani ya maana, au anaviza Lwaka's seat?
 
Hana akili sawa sawa huyo dingi.
Anasahau kabisa kuwa Yesu Kristo alipingana na mkuu wa nchi ya Israeli (Pilato na Herode) ndio maana hukumu ya kusubiriwa ikatolewa.

Pia anasahau kabisa harakati zote za kuhubiri ukombozi zilizofanywa na Musa, Joshua, Eliya, Elisha, Petro, Paulo nk zilikuwa kinyume na amri na kauli za wakuu wa nchi zile walizokuwepo.
Sijaelewa huyu jamaa anasoma Biblia gani!!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mchungaji Lusekelo amesema yeye ni miongoni mwa wachungaji bora 10 barani Afrika hivyo anapoongea jambo wananchi ni lazima wamuelewe.

Lusekelo anasema Rais Magufuli ameitikisa dunia kwa namna alivyoweza kudhibiti Corona, kadhalika wale walioongea baada tu ya Rais kuongea na wananchi ni wavuta bangi.

Lusekelo anasisitiza kuwa mkuu wa nchi akishaongea mjadala unafungwa kinachofuatia ni utekelezaji na yule mtu anayesubiri Rais aongee ili yeye amjibu huyo ni mvuta bangi. Mkuu wa nchi anaheshimiwa na kuenziwa kwa mujibu wa Biblia.

Mchungaji Lusekelo alikuwa akichangia mada kuhusu kudhibitiwa kwa Corona nchini na yeye alielezea kwa upande wa Wakristo na upande wa waislamu alikuwepo shehe wa mkoa wa Dsm Alhad Mussa Salum.

Mjadala huo uliendeshwa na Channel Ten tv.

Maendeleo hayana vyama!
Limbowe na Zitto ni wavuta bangi[emoji23][emoji23][emoji23]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Eti yuko 10 bora ya wachungaji Afrika. Nonsense
 
Based on my intellectual capacity and my vast knowledge, tactically and tentatively, right from the beginning of times especially in the light of Ecclesiastes evolution I have come to a concrete, definite and profound conclusion that I actually have nothing to say.

Mkulima wa mahindi

Hahahhahaa Daaah!!


Sent from my iPhone using JamiiForums
 
Hana akili sawa sawa huyo dingi.
Anasahau kabisa kuwa Yesu Kristo alipingana na mkuu wa nchi ya Israeli (Pilato na Herode) ndio maana hukumu ya kusubiriwa ikatolewa.

Pia anasahau kabisa harakati zote za kuhubiri ukombozi zilizofanywa na Musa, Joshua, Eliya, Elisha, Petro, Paulo nk zilikuwa kinyume na amri na kauli za wakuu wa nchi zile walizokuwepo.
So hivyo tu shedraki, meshaki na Abednego walipinga amri ya Rais ya kuabudu sanamu
 
Back
Top Bottom