South ukiwa na pesa tu hadi Uraia na Silahaa wanakuuzia,Tena wenye Mamlaka ndiyo wanafanya hayo Mambo!! Money talks in South Africa! Hata kala Singa wa IPTL angekua South saa hizi angekua Kesha kula kitaa!!SA ni Nchi ishaoza kwa rushwa na mara nyingi hawataki kuona makosa yao Bushiri alishtakiwa kwa kuingia SA kinyume na sheria na kuwa na passport tatu pia kuweka vibali vya kuishi kwa njia za rushwa yeye na mkewe harafu kwenye dhamana wamechukua passport na kuweka hela za dhamana ukiruka kesi hela imeenda leo wanataka kuwashutumu hadi Rais wa Malawi wakati kuingia na kutoka SA ukiwa na pesa ya hongo utatoka tuu watu wanatoka kwa Rand 500 ili asigongeweze muhuri wa adhabu sembuse huyo anaweza kununua gari jipya na anatoka na passport hata ya mtu mwingine akiingia Zimbabwe imeisha...hao washazoea kutoa dhamana hadi kwa kesi kubwa za uuaji na ukabaji hii msilaumiane...
kwanini iwe pigo ndugu fafanua vyema aise?
Lissu hajakimbia. Kaondoka mchana kweupe, siku mbili kabla hajaondoka alikabidhiwa passport mpya na serikaliLissu alikimbia kesi 5 kisutu + jaribio la kuuliwa na mashine za mauaji za Jiwe
Kala singa kakataa kutoa hela na kukubali kesi ili awe mtaani nimemsikia mwenyewe Mh. akilizungumzia hilo kuwa wanasheria wanampotosha ila pale kiboko ni Malila ambae kagoma kutoka na kala kaona bora aige tuu...kwenye swala la mpunga mrefu ni Nchi chache zitashawawisha kutokuchukua ndio maana kila siku tunasikia takukuru wameokoa kiasi Fulani ina maana hakuna pia uadilifu...South ukiwa na pesa tu hadi Uraia na Silahaa wanakuuzia,Tena wenye Mamlaka ndiyo wanafanya hayo Mambo!! Money talks in South Africa! Hata kala Singa wa IPTL angekua South saa hizi angekua Kesha kula kitaa!!