johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
Tukio hili limefanyika ndani ya Kanisa la Feel Free Church jijini DSM
Mama mchungaji Monica Leo Ilikuwa ni siku yake ya kuzaliwa hivyo mumewe ambaye ni Askofu mkuu wa FFC Tanzania mchungaji Masanja amemzawadia Gari aina ya Nissan
Waumini nao wametoa zawadi mbalimbali kwa mama mchungaji Monica
Mchungaji Masanja Mkandamizaji amemuaibisha shetani kwa kweli
Mama mchungaji Monica Leo Ilikuwa ni siku yake ya kuzaliwa hivyo mumewe ambaye ni Askofu mkuu wa FFC Tanzania mchungaji Masanja amemzawadia Gari aina ya Nissan
Waumini nao wametoa zawadi mbalimbali kwa mama mchungaji Monica
Mchungaji Masanja Mkandamizaji amemuaibisha shetani kwa kweli