Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nani kasema kahusika.Naamini masanja hajausika na hicho kifo kijan Yule alikuwa mc shughuli za harusi
Nikuulize vzr HV unawajuwa mc nn au unawachukuliaje
Tukio hili limefanyika ndani ya Kanisa la Feel Free Church jijini DSM
Mama mchungaji Monica Leo Ilikuwa ni siku yake ya kuzaliwa hivyo mumewe ambaye ni Askofu mkuu wa FFC Tanzania mchungaji Masanja amemzawadia Gari aina ya Nissan
Waumini nao wametoa zawadi mbalimbali kwa mama mchungaji Monica
Mchungaji Masanja Mkandamizaji amemuaibisha shetani kwa kweli
Usiishie hapo. Uuseme na ukweli jamaa na genge lake la madawa ya kulevya wamemuua mtu, kisa aakafanya leakage ya biashara, lakin wamefanikiwa kuhamisha mass kwa scandal wanayopenda waswahili.Nani kasema kahusika.
Mimi na sema kama muumini wake mtiifu ilitakiwa aoneshe kusikitika na hilo jambo.
Yaani kuombeleza kwa kumpoteza muumini wake.
Kwenye media naona anamsifia mkewe tu.
Wote tunajua mkewe ni mzuri sana wa kila kitu.
Lakini kuna mtu kafa.
Huu ndio ukweli. Mwanamke anataka kutombwer sio kununuliwa gari.Mke anataka mkuyenge pia sio magarii, hayo magari ndio wanafanyia safari kufuata makatibu