Mchungaji Masanja Mkandamizaji baada ya kupitia majaribu ya shetani amemzawadia mkewe Monica zawadi ya Gari

Mchungaji Masanja Mkandamizaji baada ya kupitia majaribu ya shetani amemzawadia mkewe Monica zawadi ya Gari

1 Timotheo 3:2
[2]Basi imempasa askofu awe mtu asiyelaumika, mume wa mke mmoja, mwenye kiasi na busara, mtu wa utaratibu, mkaribishaji, ajuaye kufundisha;
A bishop then must be blameless, the husband of one wife, vigilant, sober, of good behaviour, given to hospitality, apt to teach;
Masanja kakosa sifa za kuwa askofu.
 
Tukio hili limefanyika ndani ya Kanisa la Feel Free Church jijini DSM

Mama mchungaji Monica Leo Ilikuwa ni siku yake ya kuzaliwa hivyo mumewe ambaye ni Askofu mkuu wa FFC Tanzania mchungaji Masanja amemzawadia Gari aina ya Nissan

Waumini nao wametoa zawadi mbalimbali kwa mama mchungaji Monica

Mchungaji Masanja Mkandamizaji amemuaibisha shetani kwa kweli

View attachment 2395868
Sasa badala ya "kuhubili"ni mwendo wa matukio tu,sasa Swala la mama mchungaji kuzawadiwa gari,linahusika vipi na ukuaji wa kiroho wa waumini?mambo ya kijinga sana haya
 
Kama Mchungaji amwambie mkewe awe anavaa mavazi ya heshima.

Mke wa mchungaji kuvaa mavazi ya kuonyesha mapaja na kurembua rembua mbele ya waumini ni fedheha sana.
Mwanamke akiwa siriaz hawezi tongozwa hata kidogo, hasa kama ni mke wa mchungaji.

Na hata ningekuwa mimi ningemtongoza tu.

Katibu wa Mchungaji Masanja kajiua, mchungaji hajawahi kutoa kauli ya kuombeleza kifo cha katibu wake wala kusikitika.

Yeye kabaki kumsifia mkewe tu. Mtoto wa Mungu kafa yeye anajichekesha tu na kumpamba mkewe.
Ni jambo la aibu sana.

Masanja na mkewe wajiheshimu kama wanataka kuhudumu huduma ya Kristo.

La sivyo waamue kuwa waimbaji wa Bongofavor.
Uchungaji una maadili yake.
 
😂😂😂 eti askofu mkuu masanja 😂😂😂😂😂 mbona naona kundi la wahuni hapo 😂😂🏃🏃🏃🏃
 
Kama Mchungaji amwambie mkewe awe anavaa mavazi ya heshima.

Mke wa mchungaji kuvaa mavazi ya kuonyesha mapaja na kurembua rembua mbele ya waumini ni fedheha sana.
Mwanamke akiwa siriaz hawezi tongozwa hata kidogo, hasa kama ni mke wa mchungaji.

Na hata ningekuwa mimi ningemtongoza tu.

Katibu wa Mchungaji Masanja kajiua, mchungaji hajawahi kutoa kauli ya kuombeleza kifo cha katibu wake wala kusikitika.

Yeye kabaki kumsifia mkewe tu. Mtoto wa Mungu kafa yeye anajichekesha tu na kumpamba mkewe.
Ni jambo la aibu sana.

Masanja na mkewe wajiheshimu kama wanataka kuhudumu huduma ya Kristo.

La sivyo waamue kuwa waimbaji wa Bongofavor.
Uchungaji una maadili yake.
Mkuu huyo sio mchungaji wako hadi umpangie cha kufanya. Kanisa ni lake kaanzisha yeye mwenyewe...ukipenda kuwa chini yake utamuita mchungaji. Usipopenda unamuita masanja comedian maisha yanaenda
 
Back
Top Bottom