M2WAWA2
JF-Expert Member
- Aug 15, 2014
- 3,285
- 5,598
Hebu wekeni picha ya hiyo Nissan tuione isije kuwa kapewa mtumbwi wa vibwengo![]()
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hebu wekeni picha ya hiyo Nissan tuione isije kuwa kapewa mtumbwi wa vibwengo![]()
DukeKazawadiwa Nissan ipi; March, xtrail, duke, tiida, pickup, navara, serena, harbord, dualis, safari, patrol au civilian au what?
[emoji847]Wanampongeza kwa Mahusiano yake na Katibu wake au nini?
Tukio hili limefanyika ndani ya Kanisa la Feel Free Church jijini DSM
Mama mchungaji Monica Leo Ilikuwa ni siku yake ya kuzaliwa hivyo mumewe ambaye ni Askofu mkuu wa FFC Tanzania mchungaji Masanja amemzawadia Gari aina ya Nissan
Waumini nao wametoa zawadi mbalimbali kwa mama mchungaji Monica
Mchungaji Masanja Mkandamizaji amemuaibisha shetani kwa kweli
Kweli kabsaKwani Masanja ni Askofu? Theology amesomea chuo gani mkuu? Inashangaza mchumiatumbo mmoja from no where anakuja kujiita Askofu! Hizi siku za mwisho kumekuwa na manabii wengi wa uwongo.
Juke.....sidhani kama kuna Nissan Duke.
Mwenyewe anajua mapungufu yake ukute anamruhusu mkewe kuridhishwa na wengine. Tuache makasirikoMkumbusheni huyo pasta kwamba,mwanamke akiolewa hafuati magari au ugali.
Usipompa hicho alichofuata kwako wewe mume ujue atakipewa na jamaa zako wa karibu.
Siku zote ogopa mwanamke Kama humtoshelezi kimapenzi. Hata umpe Nissan mbili bila kujituma kwenye 6*6 anakuona Kama beberu lililo hasiwa.
Siri gani?Naam atunze siri.
Ha ha ha haSasa mambo yake ya Imani, ugoni na birthday ya mkewe yanatuhusu nini sisi huku Namtumbo ndani ndani?