Na mke naye anakubali?! Basi hafai kuwa mke!Mwenyewe anajua mapungufu yake ukute anamruhusu mkewe kuridhishwa na wengine. Tuache makasiriko
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Na mke naye anakubali?! Basi hafai kuwa mke!Mwenyewe anajua mapungufu yake ukute anamruhusu mkewe kuridhishwa na wengine. Tuache makasiriko
Na itamtafuna sana tuu, masanja anahitaji counselingUkweli una sifa kuu mbili:
1.unauma
2.Haujifichi
Jamaa anaugua ndani kwa ndani
1 Timotheo 3:2Kwani Masanja ni Askofu? Theology amesomea chuo gani mkuu? Inashangaza mchumiatumbo mmoja from no where anakuja kujiita Askofu! Hizi siku za mwisho kumekuwa na manabii wengi wa uwongo.
Anajikaza sana, ni hatari kwa afya ya moyo wakeMuda sio mrefu mtakuja sikia mchungaji anapiga mayowe kanisani kwake, kwa sasa naona anaufanyisha mazoezi moyo wake jinsi ya kuficha uchungu
Umeongea kiutu uzima sana [emoji1666]Mwenyewe anajua mapungufu yake ukute anamruhusu mkewe kuridhishwa na wengine. Tuache makasiriko
HahaNi kwanini haijasajiliwa? Tutajuaje ni ya nani?
Tukio hili limefanyika ndani ya Kanisa la Feel Free Church jijini DSM
Mama mchungaji Monica Leo Ilikuwa ni siku yake ya kuzaliwa hivyo mumewe ambaye ni Askofu mkuu wa FFC Tanzania mchungaji Masanja amemzawadia Gari aina ya Nissan
Waumini nao wametoa zawadi mbalimbali kwa mama mchungaji Monica
Mchungaji Masanja Mkandamizaji amemuaibisha shetani kwa kweli
Mkuu hii brand kwel unaijuaKazawadiwa Nissan ipi; March, xtrail, duke, tiida, pickup, navara, serena, harbord, dualis, safari, patrol au civilian au what?
Umeona picha ama kadi?Tukio hili limefanyika ndani ya Kanisa la Feel Free Church jijini DSM
Mama mchungaji Monica Leo Ilikuwa ni siku yake ya kuzaliwa hivyo mumewe ambaye ni Askofu mkuu wa FFC Tanzania mchungaji Masanja amemzawadia Gari aina ya Nissan
Waumini nao wametoa zawadi mbalimbali kwa mama mchungaji Monica
Mchungaji Masanja Mkandamizaji amemuaibisha shetani kwa kweli
Ukweli una sifa kuu mbili:
1.unauma
2.Haujifichi
Jamaa anaugua ndani kwa ndani
Kweli mkuu. Brand linashika sana road.
AhahahahahLitakuwa litamu sana hilo limwanamke mpaka watu wanajiua wengine wanahonga magari
Anaumwa sanaUkweli una sifa kuu mbili:
1.unauma
2.Haujifichi
Jamaa anaugua ndani kwa ndani
Kwani Masanja ni Askofu? Theology amesomea chuo gani mkuu? Inashangaza mchumiatumbo mmoja from no where anakuja kujiita Askofu! Hizi siku za mwisho kumekuwa na manabii wengi wa uwongo.
Ile nafasi Katibu imeisha pata mtu au bado iko wazi ?Tukio hili limefanyika ndani ya Kanisa la Feel Free Church jijini DSM
Mama mchungaji Monica Leo Ilikuwa ni siku yake ya kuzaliwa hivyo mumewe ambaye ni Askofu mkuu wa FFC Tanzania mchungaji Masanja amemzawadia Gari aina ya Nissan
Waumini nao wametoa zawadi mbalimbali kwa mama mchungaji Monica
Mchungaji Masanja Mkandamizaji amemuaibisha shetani kwa kweli
Ujinga tu unatushirikisha kwenye personal issues .ni umbea tupucc: Bujibuji
Mama alishalimaliza hili lichungaji,yaan halikurupu
Je kama amepewa cha katibu utajuaje?Mama alishalimaliza hili lichungaji,yaan halikurupuki