Mchungaji Masanja Mkandamizaji baada ya kupitia majaribu ya shetani amemzawadia mkewe Monica zawadi ya Gari

Mchungaji Masanja Mkandamizaji baada ya kupitia majaribu ya shetani amemzawadia mkewe Monica zawadi ya Gari

Kwani Masanja ni Askofu? Theology amesomea chuo gani mkuu? Inashangaza mchumiatumbo mmoja from no where anakuja kujiita Askofu! Hizi siku za mwisho kumekuwa na manabii wengi wa uwongo.
1 Timotheo 3:2
[2]Basi imempasa askofu awe mtu asiyelaumika, mume wa mke mmoja, mwenye kiasi na busara, mtu wa utaratibu, mkaribishaji, ajuaye kufundisha;
A bishop then must be blameless, the husband of one wife, vigilant, sober, of good behaviour, given to hospitality, apt to teach;
 
Tukio hili limefanyika ndani ya Kanisa la Feel Free Church jijini DSM

Mama mchungaji Monica Leo Ilikuwa ni siku yake ya kuzaliwa hivyo mumewe ambaye ni Askofu mkuu wa FFC Tanzania mchungaji Masanja amemzawadia Gari aina ya Nissan

Waumini nao wametoa zawadi mbalimbali kwa mama mchungaji Monica

Mchungaji Masanja Mkandamizaji amemuaibisha shetani kwa kweli

Masanja sio Askofu Mkuu acheni kufanya ujinga. Askofu Mkuu anakuwa na maaskofu na wachungji na majimbo. Masanja Hana hata Askofu Mmoja Wala Jimbo. Msiufanye ukristo Kama tambala bovu.
 
Tukio hili limefanyika ndani ya Kanisa la Feel Free Church jijini DSM

Mama mchungaji Monica Leo Ilikuwa ni siku yake ya kuzaliwa hivyo mumewe ambaye ni Askofu mkuu wa FFC Tanzania mchungaji Masanja amemzawadia Gari aina ya Nissan

Waumini nao wametoa zawadi mbalimbali kwa mama mchungaji Monica

Mchungaji Masanja Mkandamizaji amemuaibisha shetani kwa kweli
Umeona picha ama kadi?

Sent from my LM-Q730 using JamiiForums mobile app
 
Kwani Masanja ni Askofu? Theology amesomea chuo gani mkuu? Inashangaza mchumiatumbo mmoja from no where anakuja kujiita Askofu! Hizi siku za mwisho kumekuwa na manabii wengi wa uwongo.

Wanaudharilisha ukristo kwa kweli. Mtu anajiita Askofu lakini ana madhaifu mengi hata mshirika wa kawaida ana nafuu. Unajiita Askofu lakini unacheza komedi za kijinga, vijembe kwenye siasa na kutoweza kuiongoza ndoa yako.
 
Tukio hili limefanyika ndani ya Kanisa la Feel Free Church jijini DSM

Mama mchungaji Monica Leo Ilikuwa ni siku yake ya kuzaliwa hivyo mumewe ambaye ni Askofu mkuu wa FFC Tanzania mchungaji Masanja amemzawadia Gari aina ya Nissan

Waumini nao wametoa zawadi mbalimbali kwa mama mchungaji Monica

Mchungaji Masanja Mkandamizaji amemuaibisha shetani kwa kweli
Ile nafasi Katibu imeisha pata mtu au bado iko wazi ?
 
Back
Top Bottom