johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
Oi umeongea fact tupuuuu mzeeMke anataka mkuyenge pia sio magarii, hayo magari ndio wanafanyia safari kufuata makatibu
Sisi tuliopo huku mandepwende hata haitusaidiiSasa mambo yake ya Imani, ugoni na birthday ya mkewe yanatuhusu nini sisi huku Namtumbo ndani ndani?
🤣🤣🤣Sasa mambo yake ya Imani, ugoni na birthday ya mkewe yanatuhusu nini sisi huku Namtumbo ndani ndani?
Kijapo kiburi ndipo ijapo Mauti🤐Tukio hili limefanyika ndani ya Kanisa la Feel Free Church jijini DSM
Mama mchungaji Monica Leo Ilikuwa ni siku yake ya kuzaliwa hivyo mumewe ambaye ni Askofu mkuu wa FFC Tanzania mchungaji Masanja amemzawadia Gari aina ya Nissan
Waumini nao wametoa zawadi mbalimbali kwa mama mchungaji Monica
Mchungaji Masanja Mkandamizaji amemuaibisha shetani kwa kweli
Kwani Masanja ni Askofu? Theology amesomea chuo gani mkuu? Inashangaza mchumiatumbo mmoja from no where anakuja kujiita Askofu! Hizi siku za mwisho kumekuwa na manabii wengi wa uwongo.Tukio hili limefanyika ndani ya Kanisa la Feel Free Church jijini DSM
Mama mchungaji Monica Leo Ilikuwa ni siku yake ya kuzaliwa hivyo mumewe ambaye ni Askofu mkuu wa FFC Tanzania mchungaji Masanja amemzawadia Gari aina ya Nissan
Waumini nao wametoa zawadi mbalimbali kwa mama mchungaji Monica
Mchungaji Masanja Mkandamizaji amemuaibisha shetani kwa kweli
Tukio hili limefanyika ndani ya Kanisa la Feel Free Church jijini DSM
Mama mchungaji Monica Leo Ilikuwa ni siku yake ya kuzaliwa hivyo mumewe ambaye ni Askofu mkuu wa FFC Tanzania mchungaji Masanja amemzawadia Gari aina ya Nissan
Waumini nao wametoa zawadi mbalimbali kwa mama mchungaji Monica
Mchungaji Masanja Mkandamizaji amemuaibisha shetani kwa kweli
Wanampongeza kwa Mahusiano yake na Katibu wake au nini?Tukio hili limefanyika ndani ya Kanisa la Feel Free Church jijini DSM
Mama mchungaji Monica Leo Ilikuwa ni siku yake ya kuzaliwa hivyo mumewe ambaye ni Askofu mkuu wa FFC Tanzania mchungaji Masanja amemzawadia Gari aina ya Nissan
Waumini nao wametoa zawadi mbalimbali kwa mama mchungaji Monica
Mchungaji Masanja Mkandamizaji amemuaibisha shetani kwa kweli
cc: BujibujiWanaume wa siku hizi Mmeanza lini wivu
Mnamwaga povu sana
Tafuteni hela acheni hasira kwa mwanaume mwenzenu
Manabii wa mchongo wamejaa tele, ndiyomaana PK anaendelea kujizolea point 3 muhimu za kufungia makanisa na misikiti uchwara kule RwandaKwani Masanja ni Askofu? Theology amesomea chuo gani mkuu? Inashangaza mchumiatumbo mmoja from no where anakuja kujiita Askofu! Hizi siku za mwisho kumekuwa na manabii wengi wa uwongo.