johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
Mchungaji Mastai wa KKKT Kimara amewataka Watanzania kuwaombea wagombea wa vyama vyote tunaowapenda na tusiowapenda ili wapate kibali mbele zake Mungu.
Mastai amesema amani tuliyonayo haijaletwa na chama cha siasa bali imeletwa na Yesu Kristo mwenyewe.
Kadhalika Mchungaji ameomba rehema kwa wananchi wa Mtwara kufuatia clips zinazotembea mitandaoni zikionyesha mateso na mauaji wanayofanyiwa na magaidi.
Nawatakia Dominica yenye baraka.
Maendeleo hayana vyama!
Mastai amesema amani tuliyonayo haijaletwa na chama cha siasa bali imeletwa na Yesu Kristo mwenyewe.
Kadhalika Mchungaji ameomba rehema kwa wananchi wa Mtwara kufuatia clips zinazotembea mitandaoni zikionyesha mateso na mauaji wanayofanyiwa na magaidi.
Nawatakia Dominica yenye baraka.
Maendeleo hayana vyama!