Mchungaji Mbarikiwa: Kilichokutuma Christina Shusho ni umalaya tu hakuna huduma hapo

Mchungaji Mbarikiwa: Kilichokutuma Christina Shusho ni umalaya tu hakuna huduma hapo

Salaam,Shalom!!

Akizungumza Leo ibadani, Mchungaji Mbarikiwa amepigia mstari kuwa, kilichomsukuma Christina Shusho kumwacha mumewe Kwa kisingizio Cha huduma, ni umalaya tu na hakuna kingine.

Itakumbukwa, Msanii huyo, hivi karibuni ameendelea kutetea uamuzi wake huo Kwa kuhusishwa kifo Cha mwimbaji WA INJILI aliyeimba wimbo wa Equemme aitwaye Osinach kuwa kifo chake kilitokana na manyanyaso ya NDOA na alitaka kuvunja NDOA ila akazuiwa na viongozi wa Dini yake, ametumia sababu hiyo kutaka kuhalalisha uamuzi wake wa kutengana na mumewe Kwa kigezo Cha huduma.

Mchungaji Mbarikiwa amesisitiza kuwa, hakuna wito wa pekee kama anavyodai Christina Shusho wa kumwacha mume Ili kufuata huduma Bali amesukumwa na Roho ya ukahaba.

Mchungaji Mbarikiwa amedai kuwa huko mbeleni, siku Si nyingi, Msanii huyo ataonyesha wazi anachokificha sasa.

Ninakubaliana na Mchungaji Mbarikiwa kuwa Christina Shusho hayuko sahihi Kwa kauli na vitendo vyake sababu anaingiza Roho ya kuvunja NDOA Kwa wanawake wakristo Walio ndani ya NDOA sababu ni Yeye ni public figure.

Tuendelee kumkemea mtu huyu Ili asilivuruge Kanisa na kuvunja moyo mabinti ambao hawajaolewa kupata HOFU ya changamoto za ndani ya NDOA.

NB: NDOA na iheshimiwe na watu wote, na kifo pekee ndio kitatamatisha mkataba wa NDOA.

Source: Shuhuda za kikosikazi Cha INJILI Tv.

Karibuni🙏

Pia soma
Christina Shusho: Nilimuacha mume nitimize ndoto zangu
Aisee
 
Salaam,Shalom!!

Akizungumza Leo ibadani, Mchungaji Mbarikiwa amepigia mstari kuwa, kilichomsukuma Christina Shusho kumwacha mumewe Kwa kisingizio Cha huduma, ni umalaya tu na hakuna kingine.

Itakumbukwa, Msanii huyo, hivi karibuni ameendelea kutetea uamuzi wake huo Kwa kuhusishwa kifo Cha mwimbaji WA INJILI aliyeimba wimbo wa Equemme aitwaye Osinach kuwa kifo chake kilitokana na manyanyaso ya NDOA na alitaka kuvunja NDOA ila akazuiwa na viongozi wa Dini yake, ametumia sababu hiyo kutaka kuhalalisha uamuzi wake wa kutengana na mumewe Kwa kigezo Cha huduma.

Mchungaji Mbarikiwa amesisitiza kuwa, hakuna wito wa pekee kama anavyodai Christina Shusho wa kumwacha mume Ili kufuata huduma Bali amesukumwa na Roho ya ukahaba.

Mchungaji Mbarikiwa amedai kuwa huko mbeleni, siku Si nyingi, Msanii huyo ataonyesha wazi anachokificha sasa.

Ninakubaliana na Mchungaji Mbarikiwa kuwa Christina Shusho hayuko sahihi Kwa kauli na vitendo vyake sababu anaingiza Roho ya kuvunja NDOA Kwa wanawake wakristo Walio ndani ya NDOA sababu ni Yeye ni public figure.

Tuendelee kumkemea mtu huyu Ili asilivuruge Kanisa na kuvunja moyo mabinti ambao hawajaolewa kupata HOFU ya changamoto za ndani ya NDOA.

NB: NDOA na iheshimiwe na watu wote, na kifo pekee ndio kitatamatisha mkataba wa NDOA.

Source: Shuhuda za kikosikazi Cha INJILI Tv.

Karibuni🙏

Pia soma
Christina Shusho: Nilimuacha mume nitimize ndoto zangu
Ogopa sana mwanamke anayejihushisha na dini ama kumchukulia mchungaji kuwa ndiyo kila kitu maishani mwake. Wanawake wengi wanaojihushisha na mambo ya dini wana mengi wanayaficha nyuma ya pazia kwa kupitia dini. Wengi wao ni makahaba tu, never take them seriously.
 
Ogopa sana mwanamke anayejihushisha na dini ama kumchukulia mchungaji kuwa ndiyo kila kitu maishani mwake. Wanawake wengi wanaojihushisha na mambo ya dini wana mengi wanayaficha nyuma ya pazia kwa kupitia dini. Wengi wao ni makahaba tu, never take them seriously.
Ni Wachache wa aina hiyo,

Na ndio tunaowakemea,

Ikiwa husali, mkeo akaanza kusali, Mshukuru Mungu, maana hukuombea na familia yote hubarikiwa.

Muhimu aendelee kukuheshimu, kukutii na kukushauri pia uanze kusali.

Ubarikiwe.
 
Hiyo hoja ungeipeleka serikalini sababu wapo wanawake ni wachungaji wana makanisa na yamesajiliwa!!!
KATIBA ya wakristo ni BIBLIA, Si Ile ya JMT,

Narudia, kulingana na Katiba ya Kanisa, yaani BIBLIA,

Cheo Cha Mchungaji mwanamke hakipo.
 
Salaam,Shalom!!

Akizungumza Leo ibadani, Mchungaji Mbarikiwa amepigia mstari kuwa, kilichomsukuma Christina Shusho kumwacha mumewe Kwa kisingizio Cha huduma, ni umalaya tu na hakuna kingine.

Itakumbukwa, Msanii huyo, hivi karibuni ameendelea kutetea uamuzi wake huo Kwa kuhusishwa kifo Cha mwimbaji WA INJILI aliyeimba wimbo wa Equemme aitwaye Osinach kuwa kifo chake kilitokana na manyanyaso ya NDOA na alitaka kuvunja NDOA ila akazuiwa na viongozi wa Dini yake, ametumia sababu hiyo kutaka kuhalalisha uamuzi wake wa kutengana na mumewe Kwa kigezo Cha huduma.

Mchungaji Mbarikiwa amesisitiza kuwa, hakuna wito wa pekee kama anavyodai Christina Shusho wa kumwacha mume Ili kufuata huduma Bali amesukumwa na Roho ya ukahaba.

Mchungaji Mbarikiwa amedai kuwa huko mbeleni, siku Si nyingi, Msanii huyo ataonyesha wazi anachokificha sasa.

Ninakubaliana na Mchungaji Mbarikiwa kuwa Christina Shusho hayuko sahihi Kwa kauli na vitendo vyake sababu anaingiza Roho ya kuvunja NDOA Kwa wanawake wakristo Walio ndani ya NDOA sababu ni Yeye ni public figure.

Tuendelee kumkemea mtu huyu Ili asilivuruge Kanisa na kuvunja moyo mabinti ambao hawajaolewa kupata HOFU ya changamoto za ndani ya NDOA.

NB: NDOA na iheshimiwe na watu wote, na kifo pekee ndio kitatamatisha mkataba wa NDOA.

Source: Shuhuda za kikosikazi Cha INJILI Tv.

Karibuni🙏

Pia soma
Christina Shusho: Nilimuacha mume nitimize ndoto zangu
Mbarikiwa kasema ukweli kabisa. Shusho qumer inamuwasha ndio maana amekimbilia kwa vijana akina Diamond wamzibue. Na wale mbwa hawmuachi salama. Watamt0mba mpaka ashike adabu yake.
 
KATIBA ya wakristo ni BIBLIA, Si Ile ya JMT,

Narudia, kulingana na Katiba ya Kanisa, yaani BIBLIA,

Cheo Cha Mchungaji mwanamke hakipo.
Sasa peleka malalamiko Yako serikalini au mahakamani ukiwa na hiyo biblia ili wachungaji wanawake makanisa yao yafungwe!
 
Sasa peleka malalamiko Yako serikalini au mahakamani ukiwa na hiyo biblia ili wachungaji wanawake makanisa yao yafungwe!
Siwezi kufanya hivyo, maana Si KAZI yangu hiyo,

Pia pamoja na Cheo hicho kutokuwapo katika BIBLIA, wapo wanawake Mungu amewahi waita akawaweka katika uchungaji Kwa muda, walipopatikana wanaume, waliacha na kurudi katika nafasi zao za awali.
 
Just give a wink and a nod to justice. If you don't believe in them, you don't have the legal authority to use them.
Kueneza kitu ambacho binafsi hukiamini, ni kuleta taharuki katika JAMII.

Umemjibu vizuri sana huyo Pepo katika form ya mwanadamu.
 
Siwezi kufanya hivyo, maana Si KAZI yangu hiyo,

Pia pamoja na Cheo hicho kutokuwapo katika BIBLIA, wapo wanawake Mungu amewahi waita akawaweka katika uchungaji Kwa muda, walipopatikana wanaume, waliacha na kurudi katika nafasi zao za awali.
Sasa kama si kazi yako ndio umuache na maisha yake!!!
 
Salaam,Shalom!!

Akizungumza Leo ibadani, Mchungaji Mbarikiwa amepigia mstari kuwa, kilichomsukuma Christina Shusho kumwacha mumewe Kwa kisingizio Cha huduma, ni umalaya tu na hakuna kingine.

Itakumbukwa, Msanii huyo, hivi karibuni ameendelea kutetea uamuzi wake huo Kwa kuhusishwa kifo Cha mwimbaji WA INJILI aliyeimba wimbo wa Equemme aitwaye Osinach kuwa kifo chake kilitokana na manyanyaso ya NDOA na alitaka kuvunja NDOA ila akazuiwa na viongozi wa Dini yake, ametumia sababu hiyo kutaka kuhalalisha uamuzi wake wa kutengana na mumewe Kwa kigezo Cha huduma.

Mchungaji Mbarikiwa amesisitiza kuwa, hakuna wito wa pekee kama anavyodai Christina Shusho wa kumwacha mume Ili kufuata huduma Bali amesukumwa na Roho ya ukahaba.

Mchungaji Mbarikiwa amedai kuwa huko mbeleni, siku Si nyingi, Msanii huyo ataonyesha wazi anachokificha sasa.

Ninakubaliana na Mchungaji Mbarikiwa kuwa Christina Shusho hayuko sahihi Kwa kauli na vitendo vyake sababu anaingiza Roho ya kuvunja NDOA Kwa wanawake wakristo Walio ndani ya NDOA sababu ni Yeye ni public figure.

Tuendelee kumkemea mtu huyu Ili asilivuruge Kanisa na kuvunja moyo mabinti ambao hawajaolewa kupata HOFU ya changamoto za ndani ya NDOA.

NB: NDOA na iheshimiwe na watu wote, na kifo pekee ndio kitatamatisha mkataba wa NDOA.

Source: Shuhuda za kikosikazi Cha INJILI Tv.

Karibuni🙏

Pia soma
Christina Shusho: Nilimuacha mume nitimize ndoto zangu
Ndoa isiyovunjika ni Ile aliyoiunganisha Mungu. Ila iliyounganishwa na Tamaa za mwili ( Shetani) inavunjika bila shaka yeyote. Kikubwa usikie Kwa Mungu mwenyewe ( Mungu akusemeshe)
Ukitoka Kwenye ndoa ukawa mzinzi Basi wewe ni mzinzi hiyo ni kesi nyingine
 
Ndoa isiyovunjika ni Ile aliyoiunganisha Mungu. Ila iliyounganishwa na Tamaa za mwili ( Shetani) inavunjika bila shaka yeyote. Kikubwa usikie Kwa Mungu mwenyewe ( Mungu akusemeshe)
Ukitoka Kwenye ndoa ukawa mzinzi Basi wewe ni mzinzi hiyo ni kesi nyingine
Mchungaji Shusho ni mtumishi wa Mungu.

Hapo kigezo Cha kuvunja NDOA kwamba haikutokana na Mungu kinakosekana.

Christina akae hivyo hivyo, na tusisikie kashfa yoyote Ili asizini.
 
Back
Top Bottom