Mchungaji Mbarikiwa: Kilichokutuma Christina Shusho ni umalaya tu hakuna huduma hapo

Mchungaji Mbarikiwa: Kilichokutuma Christina Shusho ni umalaya tu hakuna huduma hapo

Sasa kama si kazi yako ndio umuache na maisha yake!!!
Akae kimya,

Si kutumia madhabahu kuhalalisha kuvunja NDOA.

Tutaendelea kumkemea Hadi anyamaze na kuhesabu maneno yake kabla ya kuongea.

Mumewe mbona kanyamaza, BUSARA itumike, anyamaze, aendelee na kuimba bila kuanza kejeli.
 
Sifa ya nukuu ya maandikio rasmi ni eidha uyatumie au uyakatae.

Hakuna kuyakataa nusu na kuyakubali nusu.
Kwa sababu chumba hichi ni kwa ajili ya staff only hivyo mtu mwingine hapaswi kukitumia. Itakapotokea tatizo la hatari ndani ya Jengo ni kheri kumuacha huyo asiye staff sababu sheria inasema haruhusiwi.
Tupo hapa kutumia maandiko hayo hayo kupambana na watu wapotoshaji kama mtoa mada.
Sababu watu Hawa hawajatahiriwa hivyo hawana haki ya kuhusu ila nasi?!
Hapa tunazungunziA Kwann mtoa mada aseme Shusho ni Malaya?kwanini asiseme mume wake ni Malaya? Yaani kuna ulazima gani na kuna ushahidi gani shusho awe Malaya?
 
Akae kimya,

Si kutumia madhabahu kuhalalisha kuvunja NDOA.

Tutaendelea kumkemea Hadi anyamaze na kuhesabu maneno yake kabla ya kuongea.

Mumewe mbona kanyamaza, BUSARA itumike, anyamaze, aendelee na kuimba bila kuanza kejeli.
Akae kimya vipi??amevunja Sheria za nchi???
 
Mtu wa aina hii asipokemewa, wanawake Walio katika NDOA, watakuwa wakipata changamoto kidogo wanavunja NDOA,

Atasababisha viburi Kwa wanawake ndani ya NDOA, watamwona kama shujaa wao,

Shetani na ashindwe.

Shusho afanye usanii wake, kamwe asijifiche madhabahuni.
Shusho ni Joyce Kiria wa 2
 
Akae kimya,

Si kutumia madhabahu kuhalalisha kuvunja NDOA.

Tutaendelea kumkemea Hadi anyamaze na kuhesabu maneno yake kabla ya kuongea.

Mumewe mbona kanyamaza, BUSARA itumike, anyamaze, aendelee na kuimba bila kuanza kejeli.
anemkejeli nani?
Tutaendelea kukukemea mpka ukome kwa sababu wewe ni mpango wa shetani.
Mwenye kutaka ufalme wa mungu na ajikane mwenyewe. Haijalishi ni kutengwa na upendo wa baba, mama , mume au kitu chochote. Kama kuna kitu kinakuzuia ni bora kuachana nacho.

Shusho yupo sahihi kabisa
 
Sheria na Katiba inayotumika hapa ni BIBLIA.

Uwe unaelewa basi.
shusho kibiblia yupo sawa kabisa na ni jambo sahihi alilofanya.
Siwezi kuhukumu Kwann kaachana na mumewe wakati naona katika jamii wanaume wanapiga wake zao mpaka wanawachinja. Vile vile wanawake wanawapa mateso waume zao mpaka wanakufa na pressure. Hapa sihukumu sababu Sijui Nani mkosaji.
ILA kwa kwenda kumtumikia mungu yupo sahihi kabsa
 
Just give a wink and a nod to justice. If you don't believe in them, you don't have the legal authority to use them.
Nakwambia hivi, Haya ni mafikirio yako tu.

Kutumia kitu fulani si lazima uki amini.

Nitakupa mfano,

Wanasiasa waki Africa hufungua mikutano kwa sala, kisha wanazungumza uongo na kuwadanganya wananchi kisha humaliza kwa kufunga mkutano na sala.

Ilhali ukishatumia sala/ swala hupaswi kuzungumza uongo.
 
Tukiwa bar pia ni kanisani.....Kuna mkusanyiko wa watu!
Utakuwa umelewa,

Kanisa ni mtu. Si jengo. Tangu sasa, kaa ukijua Kila usomapo neno Kanisa ujue ni mtu, mwenye kuvuta Pumzi ya Mungu Bure.
 
Nakwambia hivi, Haya ni mafikirio yako tu.

Kutumia kitu fulani si lazima uki amini.

Nitakupa mfano,

Wanasiasa waki Africa hufungua mikutano kwa sala, kisha wanazungumza uongo na kuwadanganya wananchi kisha humaliza kwa kufunga mkutano na sala.

Ilhali ukishatumia sala/ swala hupaswi kuzungumza uongo.
anataka kutuambia kwamba sababu mtu si mweusi hivyo hana haki za kupigania uhuru wa mtu mweusi sababu yeye ni white Man.
Huyu jamaa ni mtu wa ajabu sana na huenda ana matatizo
 
Kueneza kitu ambacho binafsi hukiamini, ni kuleta taharuki katika JAMII.

Umemjibu vizuri sana huyo Pepo katika form ya mwanadamu.
We maskini choka mbaya uliyekosa kazi ya kufanya, Badala ya kufuatilia haki zako za msingi unakuja kufuatilia maisha ya mtu binafsi yasiyo kuhusu na wala hayana uhusiano wowote na jamii.

Damn Fool.
 
anataka kutuambia kwamba sababu mtu si mweusi hivyo hana haki za kupigania uhuru wa mtu mweusi sababu yeye ni white Man.
Huyu jamaa ni mtu wa ajabu sana na huenda ana matatizo
Ulichokiandika, hakuna connection na alichokisema Allen.
 
Back
Top Bottom