Mchungaji Mbarikiwa Mwakipesile wa Mbeya akagua simu za waumini hadharani akiwa madhahabuni

watu wanaoenda kwa manabii na mitume hawa wa sasa especially wakina mwakinani hawana akili hata tone yaani mnageuzwa mazuzu mnasha ngilia tu, duh na cha ajabu zaidi mitume na manadii wooote ni kina mwakinaninani.
 
Mkuu sijakusoma, mbona unakua kama unatetea, halafu comment zingine kama unapondea tena?
 
KALOGWA ANATAFYTA UMAARUFU KM
COMESY TUPU
 
watu wanaoenda kwa manabii na mitume hawa wa sasa especially wakina mwakinani hawana akili hata tone yaani mnageuzwa mazuzu mnasha ngilia tu, duh na cha ajabu zaidi mitume na manadii wooote ni kina mwakinaninani.
Mkuu unawaonea wivu akina Mwakinani? 😂
 
Hao si wanakondoo wake ana haki ya kuwafanya chochote anachopenda.Ujinga hauna mipaka.
 
Ni sawa tu kujenga nidhamu ya kanisa lake hiyo ni kama alifanya ziara ya kustukiza
 
Wakianza kusanitise simu makanisani siendi tena walai
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…