Mchungaji Mbarikiwa Mwakipesile wa Mbeya akagua simu za waumini hadharani akiwa madhahabuni

Mchungaji Mbarikiwa Mwakipesile wa Mbeya akagua simu za waumini hadharani akiwa madhahabuni

Tumia akili hapo hapaitaji ufafanuzi wowote maana every thing is open(kila kitu kipo wazi) na matunda ni dhahiri....ndiyo utimilifu wa maandiko yansyo sema ..."CHUKIZO LA UHALIBIFU LILILO SIMAMA PATAKATIFU "
Nimekusoma mkuu
 
Mnamlaumu mchungaji Bure Lakini tatizo lipo kwa ELIYA,

huwezi kutoa simu yako na password kiboya hivyo
 
unashangaa? Wazinzi wanafukuzwa sana tu ikibainika
Ndio nashangaa sana kuona hivyo
Huyo mzinifu atabadilika vipi kama utamfukuza !
Hapo ni kumfafanulia vizuri Amri ya sita na kumpatia mafundisho kazaa juu ya ngono zembe
Ni wajibu Kwa mwalimu kufundisha , hatakama Kuna wasio elewa
Nawasio elewa huwezi kuwafukuza inapaswa utenge muda wa ziada Kwa ajili kuwasaidia zaidi
 
Mchungaji Mbarikiwa Mwakipesile jumapili iliyopita wakati wa ibada katika kanisa lake linalojulikana kama, 'Kikosi kazi cha injili', alimuita mmoja wa waumini wake kijana anayeitwa Eliya na kuamuru ampatie simu yake, ambapo aliikagua na kukuta meseji ya WhatsApp kutoka kwa binti.

Kisha akampigia huyo binti akiwa hapo hapo madhahabuni kwa simu ya Eliya, na mwisho alimtimua Eliya ibadani.

Tukumbuke kuwa huyu mchungaji ametoka gerezani hivi karibuni baada ya kushinda rufaa yake ambapo awali alikua amehukumiwa kifungo cha miaka mitatu jela kwa kosa la kuendesha kanisa bila usajili.

Nimeambatanisha clip hapa chini.

Je, unazungumziaje, hii ni sawa Mchungaji kukagua simu za waumini wake tena hadharani?

Mimi naona ni unajisi wa wazi wa haki ya faragha kwa waumini wake, mbaya zaidi inakua kama udhalilishaji kwa kufanya haya hadharani.

Hii inasikitisha sana.

View attachment 2977744
Huyu mpumbavu ni wa kufunguliwa mashitaka kwa kuingilia faragha ya mtu. Inatekiwa awekwe ndani hadi akili imkae sawa
 
Mimi nimesoma vyuo kadhaa vya theology tena vya nje
Pia nimewahi kuwafukuza vijana nikiwa chairman wa CASFETA. MUNGU alinihakikishia kuwa kumfukuza mtu kanisani ni dhambi tena kubwa .
Ukimfukuza mtu madhabahuni usipotubu huwezi kwenda MBINGUNI.
Thamani ya mtu ni kubwa mno , na Mungu hutumia gharama kubwa kumuokoa mtu . Kabla mchungaji au mtu yeyote hajamtimua muumini yeye mwenyewe athibitishe kwa 100% hana dhambi, hatafanya dhambi na hajawahi kuionja dhambi
Mungu anatumiaje gharama kumuokoa mtu aliyemuumba?
Tudhibitishie ni lini ulimuona MUNGU na ulimuonea wapi ili na sisi tuende tikaonane nae ana kwa ana, ili tumueleze shida zetu.
 
Yaani sadaka uchuku, Kanisani unifukuze, na Demu wangu unigombanishe nae..

"I will not look for you, I will not pursue you. But if you don't, I will look for you, I will find you, and I will kill you". - Liam Neelson, Taken 2008
 
Huyu Mchungaji amefiwa na watoto wawili wakubwa tu kwa mfululizo, I'm I right ?

Siku wapagawe wachungaji waite simu za watu waone humo maajabu ya dunia
 
Mchungaji hajakosea! Anadhibiti uasherati Kanisani.Na huenda alikuwa ameshapewa taarifa kuhusu mienendo ya huyo kijana juu ya binti huyo.
 
Back
Top Bottom