Mtoto halali na hela
JF-Expert Member
- Aug 10, 2012
- 52,160
- 48,974
Sasa jeMpango wa kando wa mchungaji?😂
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sasa jeMpango wa kando wa mchungaji?😂
Nimekusoma mkuuTumia akili hapo hapaitaji ufafanuzi wowote maana every thing is open(kila kitu kipo wazi) na matunda ni dhahiri....ndiyo utimilifu wa maandiko yansyo sema ..."CHUKIZO LA UHALIBIFU LILILO SIMAMA PATAKATIFU "
Inakua kikindi cha 'cult' sasa na sio kanisa.Insanity, Hata Yesu hakufanya hivi, sasa ni dhahiri, huyu mtu ni kichaa, anapaswa kuwa controlled, atakuja kuua waumini huyu siku moja.
Kwa kweliHapo hamna kanisa
Najiuliza maswali mengi. Je, huyo mchungaji yeye ni mtakatifu, hana dhambi?
unashangaa? Wazinzi wanafukuzwa sana tu ikibainikaMmh... Kumbe Hadi kanisani unaweza fukuzwa
Naunga mkono hoja....Huyu mchungaji ni msenge, ningemtukana matusi hajawahi kuyaskia. Mambo ya psychopaths hayo
Ukiwa muumini mbumbumbu kama hao sio kosa!!Hajui kuingilia Mawasiliano ya mtu bila ridhaa yake ni kosa kisheria?
Pisi kali matusi utayajulia wapi jamani..? HahaNaunga mkono hoja....
Ni la ajabu sana hilo baba
InawezekanaUkiwa muumini mbumbumbu kama hao sio kosa!!
Kashindwa kabisa kucontrol temper yakeIla hapo kinachotengenezwa ni 'nidhamu ya uoga' tena kwa binadamu, sio kwa Mungu.
Amenikera sanaPisi kali matusi utayajulia wapi jamani..? Haha
Wewe naona ungeumia sana bila kulalamika.
Ndio nashangaa sana kuona hivyounashangaa? Wazinzi wanafukuzwa sana tu ikibainika
Huyu mpumbavu ni wa kufunguliwa mashitaka kwa kuingilia faragha ya mtu. Inatekiwa awekwe ndani hadi akili imkae sawaMchungaji Mbarikiwa Mwakipesile jumapili iliyopita wakati wa ibada katika kanisa lake linalojulikana kama, 'Kikosi kazi cha injili', alimuita mmoja wa waumini wake kijana anayeitwa Eliya na kuamuru ampatie simu yake, ambapo aliikagua na kukuta meseji ya WhatsApp kutoka kwa binti.
Kisha akampigia huyo binti akiwa hapo hapo madhahabuni kwa simu ya Eliya, na mwisho alimtimua Eliya ibadani.
Tukumbuke kuwa huyu mchungaji ametoka gerezani hivi karibuni baada ya kushinda rufaa yake ambapo awali alikua amehukumiwa kifungo cha miaka mitatu jela kwa kosa la kuendesha kanisa bila usajili.
Nimeambatanisha clip hapa chini.
Je, unazungumziaje, hii ni sawa Mchungaji kukagua simu za waumini wake tena hadharani?
Mimi naona ni unajisi wa wazi wa haki ya faragha kwa waumini wake, mbaya zaidi inakua kama udhalilishaji kwa kufanya haya hadharani.
Hii inasikitisha sana.
View attachment 2977744
Mungu anatumiaje gharama kumuokoa mtu aliyemuumba?Mimi nimesoma vyuo kadhaa vya theology tena vya nje
Pia nimewahi kuwafukuza vijana nikiwa chairman wa CASFETA. MUNGU alinihakikishia kuwa kumfukuza mtu kanisani ni dhambi tena kubwa .
Ukimfukuza mtu madhabahuni usipotubu huwezi kwenda MBINGUNI.
Thamani ya mtu ni kubwa mno , na Mungu hutumia gharama kubwa kumuokoa mtu . Kabla mchungaji au mtu yeyote hajamtimua muumini yeye mwenyewe athibitishe kwa 100% hana dhambi, hatafanya dhambi na hajawahi kuionja dhambi