cocastic
JF-Expert Member
- Nov 30, 2019
- 96,456
- 156,324
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Hataki kutumia nguvu zake za bure. Kila siku anawaambia waache uzinzi lakini wanaenda kinyume; acha alale nao kiulalo... [emoji16]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Hataki kutumia nguvu zake za bure. Kila siku anawaambia waache uzinzi lakini wanaenda kinyume; acha alale nao kiulalo... [emoji16]
Hata bwana Eliya alikua "ameisafisha" simu yake, ukisikiliza kwa makini utagundua kuwa mchungaji alikuta uwanja wa SMS umesafishwa, na whatsapp pia imesafishwa, ipo hiyo meseji moja tu, ambayo inaonekana pia iliingia wakiwa hapo hapo ibadani.Jpili ijayo kila mtu inbox iko empty
Tena kwa aibu na fedheha juu. [emoji23][emoji23][emoji23]Mmh... Kumbe Hadi kanisani unaweza fukuzwa
Sasa ndio amdhalilishe kwenye hadharaInaonekana alishawahi kumuonya aache tabia ya umalaya, lakini ni kama bwana Eliya hakusikia😂
Kanisani imekua sehemu ya kutolea hukumu. Je, yeye mchungaji hana dhambi?Tena kwa aibu na fedheha juu. [emoji23][emoji23][emoji23]
Yaani kamdhalilisha sana dogo aiseeSasa ndio amdhalilishe kwenye hadhara
TobaaaahMsongo wa mawazo mbaya sana.
Dhambi aliyoifanya Mbarikiwa ya kumtimua muumini madhabahuni ni kubwa kuliko dhambi ya kufila
Naona umepata mshtuko wa moyo😂😂Tobaaaah
Chizi hilo, haliko sawa kichwani.Ungedundwa ngumi hadi upasuke mkuu😂😂
Au ndio anatekeleza ule usemi wa kill one to warn a millionYaani kamdhalilisha sana dogo aisee
Ila hapo kinachotengenezwa ni 'nidhamu ya uoga' tena kwa binadamu, sio kwa Mungu.Au ndio anatekeleza ule usemi wa kill one to warn a million
ndio hivyo mpaka mchungaji kaamka nae ujue kashindikana huyo.Inaonekana bwana Eliya ana mambo mengi😂😂
Itakua alipita pasipotakiwa kupitwa😂ndio hivyo mpaka mchungaji kaamka nae ujue kashindikana huyo.
Eliya mrafi anakulakula hovyo.
Wahuni? Kwamba mchungaji Mbarikiwa ni mhuni?😂Ndo shida yakusali makanisa ya wahuni 😁😁😁
Tumia akili hapo hapaitaji ufafanuzi wowote maana every thing is open(kila kitu kipo wazi) na matunda ni dhahiri....ndiyo utimilifu wa maandiko yanayo sema ..."CHUKIZO LA UHALIBIFU LILILO SIMAMA PATAKATIFU "Kivipi mkuu? Dadavua
Mchungaji Mbarikiwa Mwakipesile jumapili iliyopita wakati wa ibada katika kanisa lake linalojulikana kama, 'Kikosi kazi cha injili', alimuita mmoja wa waumini wake kijana anayeitwa Eliya na kuamuru ampatie simu yake, ambapo aliikagua na kukuta meseji ya WhatsApp kutoka kwa binti.
Kisha akampigia huyo binti akiwa hapo hapo madhahabuni kwa simu ya Eliya, na mwisho alimtimua Eliya ibadani.
Tukumbuke kuwa huyu mchungaji ametoka gerezani hivi karibuni baada ya kushinda rufaa yake ambapo awali alikua amehukumiwa kifungo cha miaka mitatu jela kwa kosa la kuendesha kanisa bila usajili.
Nimeambatanisha clip hapa chini.
Je, unazungumziaje, hii ni sawa Mchungaji kukagua simu za waumini wake tena hadharani?
Mimi naona ni unajisi wa wazi wa haki ya faragha kwa waumini wake, mbaya zaidi inakua kama udhalilishaji kwa kufanya haya hadharani.
Hii inasikitisha sana.
View attachment 2977744
Hapo hamna kanisaMchungaji Mbarikiwa Mwakipesile jumapili iliyopita wakati wa ibada katika kanisa lake linalojulikana kama, 'Kikosi kazi cha injili', alimuita mmoja wa waumini wake kijana anayeitwa Eliya na kuamuru ampatie simu yake, ambapo aliikagua na kukuta meseji ya WhatsApp kutoka kwa binti.
Kisha akampigia huyo binti akiwa hapo hapo madhahabuni kwa simu ya Eliya, na mwisho alimtimua Eliya ibadani.
Tukumbuke kuwa huyu mchungaji ametoka gerezani hivi karibuni baada ya kushinda rufaa yake ambapo awali alikua amehukumiwa kifungo cha miaka mitatu jela kwa kosa la kuendesha kanisa bila usajili.
Nimeambatanisha clip hapa chini.
Je, unazungumziaje, hii ni sawa Mchungaji kukagua simu za waumini wake tena hadharani?
Mimi naona ni unajisi wa wazi wa haki ya faragha kwa waumini wake, mbaya zaidi inakua kama udhalilishaji kwa kufanya haya hadharani.
Hii inasikitisha sana.
View attachment 2977744