Mchungaji Mbarikiwa Mwakipesile wa Mbeya akagua simu za waumini hadharani akiwa madhahabuni

Mchungaji Mbarikiwa Mwakipesile wa Mbeya akagua simu za waumini hadharani akiwa madhahabuni

Mkiambiwa njoeni Islam mnasita. Huku hakuna kukaguliwa simu wala kutimuliwa masjid.
Binadamu ni wakosa ndio mana tunafanya toba ili tusamehewe zambi zetu.
 
Mkiambiwa njoeni Islam mnasita. Huku hakuna kukaguliwa simu wala kutimuliwa masjid.
Binadamu ni wakosa ndio mana tunafanya toba ili tusamehewe zambi zetu.
Akili zenu nyote bado changa, nawe umeamini kabisa hilo igizo?

Ubinadamu ni kazi/The humanity is a work.
 
Huyu Mchungaji amefiwa na watoto wawili wakubwa tu kwa mfululizo, I'm I right ?

Siku wapagawe wachungaji waite simu za watu waone humo maajabu ya dunia
Ni mtoto mmoja, ambae ndo alikua mtoto wa PEKEE (walikua na mtoto huyo huyo mmoja tu). Na amekua akisema mara kwa mara kuwa serikali inahusika kwa asilimia 100 katika kifo hicho.
Mamndenyi
 
Ndio nashangaa sana kuona hivyo
Huyo mzinifu atabadilika vipi kama utamfukuza !
Hapo ni kumfafanulia vizuri Amri ya sita na kumpatia mafundisho kazaa juu ya ngono zembe
Ni wajibu Kwa mwalimu kufundisha , hatakama Kuna wasio elewa
Nawasio elewa huwezi kuwafukuza inapaswa utenge muda wa ziada Kwa ajili kuwasaidia zaidi
Nakubaliana na wewe.
 
Ndio nashangaa sana kuona hivyo
Huyo mzinifu atabadilika vipi kama utamfukuza !
Hapo ni kumfafanulia vizuri Amri ya sita na kumpatia mafundisho kazaa juu ya ngono zembe
Ni wajibu Kwa mwalimu kufundisha , hatakama Kuna wasio elewa
Nawasio elewa huwezi kuwafukuza inapaswa utenge muda wa ziada Kwa ajili kuwasaidia zaidi
utaratibu wa kumfukuza mzinzi huanzia mbali kwa kuonywa na washirika wenzake wanafuatia viongozi wa ngazi za chini wanafuata wa ngazi za kati, halafu ngazi za juu kisha mchungaji anamalizia. Kama mzinzi alionywa na wote hao hakuacha tabia yake kifuatacho ni mchungaji kumtenga na asishiriki ibada. Akishupaza shingo anatangazwa wazi kuwa kashindikana na afukuzwe kwa nguvu atoke kanisani akaendelee na uzinzi wake kwa uhuru, wanasema wamemkabidhi kwa shetani ashughulike naye na wamuone ni mmataifa na mtoza ushuru, si mpendwa tena
 
Huyu mpumbavu ni wa kufunguliwa mashitaka kwa kuingilia faragha ya mtu. Inatekiwa awekwe ndani hadi akili imkae sawa
Lakini mhusika aliridhia kuingiliwa faragha yake, maana password kaitaja mwenyewe..!!
Na pia, ukiwa unajiunga hapo kanisani unasaini makubaliano ambayo moja ya utaratibu ni kwamba simu kukaguliwa na mchungaji ni kawaida, na unakubaliana na hilo kabisa.
 
utaratibu wa kumfukuza mzinzi huanzia mbali kwa kuonywa na washirika wenzake wanafuatia viongozi wa ngazi za chini wafuata wa ngazi za kati, halafu ngazi za juu kisha mchungaji anamalizia. Kama mzinzi alionywa na wote hao hakuacha tabia yake kifuatacho ni mchungaji kumtenga na asishiriki ibada. Akishupaza shingo anatangazwa wazi kuwa kashindikana na afukuzwe kwa nguvu atoke kanisani akaendelee na uzinzi wake kwa uhuru, wanasema wamemkabidhi kwa shetani ashughulike naye na wamuone ni mmataifa na mtoza ushuru, si mpendwa tena
Hii ni kwa uzinzi tu? Vipi uchawi? Unafiki? Ufitini? Ulevi? n.k.?
LOTH HEMA
 
Mchungaji hajakosea! Anadhibiti uasherati Kanisani.Na huenda alikuwa ameshapewa taarifa kuhusu mienendo ya huyo kijana juu ya binti huyo.
Inawezekana kabisa nia ya mchungaji ni njema. Ila njia inayotumika.
 
Mungu anatumiaje gharama kumuokoa mtu aliyemuumba?
Tudhibitishie ni lini ulimuona MUNGU na ulimuonea wapi ili na sisi tuende tikaonane nae ana kwa ana, ili tumueleze shida zetu.
Hahahahahaha....!!
Kwamba Mungu anatumia gharama sana kumuokoa mtu kutoka dhambini.
 
Hii ni kwa uzinzi tu? Vipi uchawi? Unafiki? Ufitini? Ulevi? n.k.?
LOTH HEMA
hao hufukuzwa kama si potential kanisani na ni kitisho kwa mchungaji. Strategy ya kuwafukuza wachawi hupangwa vizuri sana kwa kushirikisha watoto wanaojua kuongea na kujieleza kuwa huwa wanaenda kuzimu kwa kushirikiana na baadhi ya washirika. Inapangwa jumapili moja maalumu ya kuwataja washirika hao wachawi na watoto hao hupita safu zote kuanzia madhabahuni mpaka kwa washirika. Mtoto akikunyoshea kidole basi we ni mchawi unapaswa kusimama na mara moja utatakiwa utoke uende zako. Watoto watapita kila benchi na kiti kukagua washirika wachawi. Mwisho wa zoezi wachawi wote huondolewa kanisani kwa staili hiyo. Ki msingi wengine si wachawi na uchawi hawaujui ila wanafukuzwa kwa kuwa ni wapinzani wa mchungaji na wengine si watoaji. Kuna pastari mmoja alifukuza robo tatu ya washirika wake kwa staili ya kuwapakazia ni wachawi.
 
hao hufukuzwa kama si potential kanisani na ni kitisho kwa mchungaji. Strategy ya kuwafukuza wachawi hupangwa vizuri sana kwa kushirikisha watoto wanaojua kuongea na kujieleza kuwa huwa wanaenda kuzimu kwa kushirikiana na baadhi ya washirika. Inapangwa jumapili moja maalumu ya kuwataja washirika hao wachawi na watoto hao hupita safu zote kuanzia madhabahuni mpaka kwa washirika. Mtoto akikunyoshea kidole basi we ni mchawi unapaswa kusimama na mara moja utatakiwa utoke uende zako. Watoto watapita kila benchi na kiti kukagua washirika wachawi. Mwisho wa zoezi wachawi wote huondolewa kanisani kwa staili hiyo. Ki msingi wengine si wachawi na uchawi hawaujui ila wanafukuzwa kwa kuwa ni wapinzani wa mchungaji na wengine si watoaji. Kuna pastari mmoja alifukuza robo tatu ya washirika wake kwa staili ya kuwapakazia ni wachawi.
Kuna siku nimeenda kwa mganga mida ya asbh nikakuta mtaalam kama kachoka ikabidi nimuulize vipi inakuaje.. akadai kachoka kwasababu usiku mzima alikuwa anawaganga wachungaji ambao ni wateja wake
 
Kuna siku nimeenda kwa mganga mida ya asbh nikakuta mtaalam kama kachoka ikabidi nimuulize vipi inakuaje.. akadai kachoka kwasababu usiku mzima alikuwa anawaganga wachungaji ambao ni wateja wake
Hahahahahaha...!! Mganga alitoa siri za wateja wake.
Ila na wewe ulifuata nini kwa mganga mkuu?
 
Wachungaji kamwe hawawezi kudhibiti mienendo ya mahusiano ya kimapenzi ya waumini wao. Iliwezekana miaka ya nyuma wakati hali ya wokovu ilikuwa juu sana na moto. Kuna ubaridi umeingia waumini hawadhibitiki. Vijana wanazindua albam kwa wachumba zao kabla ya ndoa kufungwa, bi harusi anafungishwa ndoa huku tayari ana kitu na boksi na mchungaji anaona poa tu. Zamani ole wenu mke apate ujauzito ndani ya muda mfupi tangu afunge ndoa, zitahesabiwa siku, zikipungua mtatengwa kanisani na kudhaniwa kuwa mlianza kunyanduana kabla ya kufunga ndoa. Wachungaji wa zamani walikuwa wana misimamo mikali kuliko huyu Mbarikiwa akasome kwao. Waasherati na wazinzi waliipata fresh kanisani
 
Back
Top Bottom