Mchungaji Mgogo wewe sema huna upako acha kuzunguka mbuyu

Mchungaji Mgogo wewe sema huna upako acha kuzunguka mbuyu

LIKUD

JF-Expert Member
Joined
Dec 26, 2012
Posts
18,037
Reaction score
33,681
Mara nyingi Mchungaji Mgogo anaonekana kwenye clips akisema " Mimi sifanyi injili ya kitapeli kukwambia nikuombee utapata gari blah blah blah"

Baba Mchungaji Wacha kuzunguka mbuyu, wewe sema tu huna upako utaeleweka.🤣🤣🤣

Kwa Mwamposa watu wanaenda wanaombewa na wanapata magari.

Tafuta Upako .
 
Mara nyingi Mchungaji Mgogo anaonekana kwenye clips akisema " Mimi sifanyi injili ya kitapeli kukwambia nikuombee utapata gari blah blah blah"

Baba Mchungaji Wacha kuzunguka mbuyu, wewe sema tu huna upako utaeleweka.🤣🤣🤣

Kwa Mwamposa watu wanaenda wanaombewa na wanapata magari.

Tafuta Upako .
Thubutu!!
 
Kwahiyo ulipata upako mkuu?

Na hv upo unatembelea matako ya nyani...


#UVIVU NI MBAYA SANA.
 
Mara nyingi Mchungaji Mgogo anaonekana kwenye clips akisema " Mimi sifanyi injili ya kitapeli kukwambia nikuombee utapata gari blah blah blah"

Baba Mchungaji Wacha kuzunguka mbuyu, wewe sema tu huna upako utaeleweka.🤣🤣🤣

Kwa Mwamposa watu wanaenda wanaombewa na wanapata magari.

Tafuta Upako .
Ugonjwa wa akili ni kweli..... Usiache kunywa vidonge....
 
Mara nyingi Mchungaji Mgogo anaonekana kwenye clips akisema " Mimi sifanyi injili ya kitapeli kukwambia nikuombee utapata gari blah blah blah"

Baba Mchungaji Wacha kuzunguka mbuyu, wewe sema tu huna upako utaeleweka.🤣🤣🤣

Kwa Mwamposa watu wanaenda wanaombewa na wanapata magari.

Tafuta Upako .
Upako ndio utaahira gani?
 
Mara nyingi Mchungaji Mgogo anaonekana kwenye clips akisema " Mimi sifanyi injili ya kitapeli kukwambia nikuombee utapata gari blah blah blah"

Baba Mchungaji Wacha kuzunguka mbuyu, wewe sema tu huna upako utaeleweka.🤣🤣🤣

Kwa Mwamposa watu wanaenda wanaombewa na wanapata magari.

Tafuta Upako .
Wewe ndio wale wajinga. Mwamposa ni tapeli kama wengine.
 
Back
Top Bottom