Ndio ujue sasa, hata Baleke aliwahiibuka kwa Mwamposa akasajiliwa YangaHivi kumbe Kuna upako na hatuambiani mkuu
Thubutu!!Mara nyingi Mchungaji Mgogo anaonekana kwenye clips akisema " Mimi sifanyi injili ya kitapeli kukwambia nikuombee utapata gari blah blah blah"
Baba Mchungaji Wacha kuzunguka mbuyu, wewe sema tu huna upako utaeleweka.🤣🤣🤣
Kwa Mwamposa watu wanaenda wanaombewa na wanapata magari.
Tafuta Upako .
Amelitoboa gari la Mwamposa?Yaa wanapata mkuu kujamaa yangu alikuwa anakesha Kwa waganga kahamia Kwa mwamposa katoboa
Uko single?Hivi kumbe Kuna upako na hatuambiani mkuu
Ugonjwa wa akili ni kweli..... Usiache kunywa vidonge....Mara nyingi Mchungaji Mgogo anaonekana kwenye clips akisema " Mimi sifanyi injili ya kitapeli kukwambia nikuombee utapata gari blah blah blah"
Baba Mchungaji Wacha kuzunguka mbuyu, wewe sema tu huna upako utaeleweka.🤣🤣🤣
Kwa Mwamposa watu wanaenda wanaombewa na wanapata magari.
Tafuta Upako .
Upako ndio utaahira gani?Mara nyingi Mchungaji Mgogo anaonekana kwenye clips akisema " Mimi sifanyi injili ya kitapeli kukwambia nikuombee utapata gari blah blah blah"
Baba Mchungaji Wacha kuzunguka mbuyu, wewe sema tu huna upako utaeleweka.🤣🤣🤣
Kwa Mwamposa watu wanaenda wanaombewa na wanapata magari.
Tafuta Upako .
Wewe ndio wale wajinga. Mwamposa ni tapeli kama wengine.Mara nyingi Mchungaji Mgogo anaonekana kwenye clips akisema " Mimi sifanyi injili ya kitapeli kukwambia nikuombee utapata gari blah blah blah"
Baba Mchungaji Wacha kuzunguka mbuyu, wewe sema tu huna upako utaeleweka.🤣🤣🤣
Kwa Mwamposa watu wanaenda wanaombewa na wanapata magari.
Tafuta Upako .