Mchungaji Msigwa akiri kumsingizia Kinana ujangili, amwangukia na kumwomba radhi

Mchungaji Msigwa akiri kumsingizia Kinana ujangili, amwangukia na kumwomba radhi

Tofauti ya CCM na CHADEMA ni SARE ZA MAGWANDA tu, yaliyobaki wanafanana kama makalio....
 
Wallah utabiri wa Mh. Ndungai unaenda kutimia bunge lijalo
 
Kama sio maandalizi ya mtumishi kuunga mkono juhudi basi maandalizi ya kusafisha njia bwana aingie kwa shangwe.
Nimemsikia Mch Msigwa akimsafisha Mzee Kinana kuhusiana na kashafa ya Ujangili Pembe za ndovu.

Je hii inaweza kuwa mbinu ya kuandaa mazingira mazuri ya kumkaribisha Mzee Kinana aliyewahi kuwa Katibu mkuu wa CCM kuelekea Chadema?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wanataka wampe kinana agombee Urais

Wameanza kumsafisha [emoji3]

Ila Chadema wasisahau hatuna sera za uraia pacha Tanzania
Ina maana tumekua na Katibu Taifa mwenye uraia wa nchi mbili?
 
Ila angemwaga chozi kidogo kunogesha ombi lake la msamaha ingependeza sana!
 
Duuh Baba mchungaji alimsingizia binadamu mwenzie jambo kubwa kama hili!!!
 
Msomali ana roho ya kiungwana, kinana hathamini pesa, anathamini utuu. Alipokuwa Katibu Mkuu wa CCM, kuna miezi mshahara wake alikuwa anaugawa pale officini kwa wafanyikazi wenye shida na matatizo

Sent using Jamii Forums mobile app
Kinana is one of the billionaires wa nchi hii
Kila anapopua dola inaingia kwenye akaunti,huo mshahar wa u KM si lolote
 
Tembo wameongezeka sana toka ile meli ikamatwe
Mnashabikia wazushi na waongo! Ni aibu kiongozi wa chama cha upinzani kudanganya umma! Nani atawaamini kukabidhi nchi waongo. Ningelikuwa wewe kuanzia leo ningelikaa kimya
 
Maombi ya corona yamepitiliza yanasambaratisha wasaliti chadema,na kuumbua viongozi wake
Mungu fundi,Mungu si mchoyo,Mungu hana hiyana
Haiwezekani watu qaache shughuli zao waombe kwa siku tatu mfululizo Mungu asijibu
Tutaona mengi sana mwaka huu
 
haya mambo hayahitaji hasira; eumakini unahitajika
 
Back
Top Bottom