Mchungaji Msigwa akiri kumsingizia Kinana ujangili, amwangukia na kumwomba radhi

Mchungaji Msigwa akiri kumsingizia Kinana ujangili, amwangukia na kumwomba radhi

Kinana amekipigania sana chama kwa jasho na damu nakumbuka mwaka 2014 jinsi alivyozunguka nchi na kujibu hoja za wananchi nilikutana naye Arusha hakuwa mropokaji kama nape ila alijitahidi kukirudisha chama kwenye misingi leo anatukanwa na vijawa wahuni wa ccm very sad mambo kwa hakika yana-change!

Leo Magufuli anamfanya kama mtoto wacha aende tu ni mtu ambaye amekitumikia chama kwa umakini mkubwa bila kuropoka kama wenzie wakina Nape na sasa Bashiru na Polepole.

Mnyonge mnyongeni lakini haki yake mpeni ana uhuru wa kufanya maamuzi anayoona yanafaa bila uhuru wake kuingiliwa!
 
Kinana amekipigania sana chama kwa jasho na damu nakumbuka mwaka 2014 jinsi alivyozunguka nchi na kujibu hoja za wananchi nilikutana naye Arusha hakuwa mropokaji kama nape ila alijitahidi kukirudisha chama kwenye misingi leo anatukanwa na vijawa wahuni wa ccm very sad mambo kwa hakika yana-change!
System ndiyo inafanya kazi. Kinana anajua nguvu ya T, hawezi kujiung na walevi
 
Kinana amekipigania sana chama kwa jasho na damu nakumbuka mwaka 2014 jinsi alivyozunguka nchi na kujibu hoja za wananchi nilikutana naye Arusha hakuwa mropokaji kama nape ila alijitahidi kukirudisha chama kwenye misingi leo anatukanwa na vijawa wahuni wa ccm very sad mambo kwa hakika yana-change!


Wafia vyama wote mnamtukana, mnazidiana wadhfa tu.
Hapa anaeomba msamaha kwa kumsemea uwongo ni kada wa ccm au chadema?
Mnakera sana na siasa zenu za mashambulizi dhidi ya utu.
 
Mzee huyu hawezi kbs kwenda kwa chama 'marehemu' yaani chama ambacho m/kiti anafanya juhudi za makusudi kukiua yeye mwenyewe kwa kulilia lockdown...!!
 
Maa
Nimemsikia Mch Msigwa akimsafisha Mzee Kinana kuhusiana na kashafa ya Ujangili Pembe za ndovu. Je hii inaweza kuwa mbinu ya kuandaa mazingira mazuri ya kumkaribisha Mzee Kinana aliyewahi kuwa Katibu mkuu wa CCM kuelekea Chadema?
Maandalizi ya kubadili gia angani. Na wafuasi wao walivyo malofa wataunga hoja mkono, kuhoji fikra za wenyeviti ni shida kubwa kwao.

Tujiandae kudeki lami na kuzungusha mikono huku push ups zikitamalaki
 


Natoa tamko la kumuomba radhi Abdulrahman Kinana, ikumbukwe nilikuwa na kesi katika Mahakama Kuu ya Tanzania iliyofunguliwa na Kinana kutokana na matamshi niliyowahi kuyatoa kumuhusisha na ujangili. Ninakiri tuhuma hizo hazikuwa za kweli wala ushahidi wowote, bali zilikuwa na malengo potofu ya kisiasa na kizandiki.

Pia soma:

1) HOTUBA ya Kambi ya Upinzani Bungeni, Maliasili na Utalii na Peter Msigwa (FULL TEXT)

2) Kinana kupitia Wanasheria amuandikia Msigwa kumtaka amuombe radhi

3) Mchungaji Msigwa (CHADEMA) amtaka Kinana awahi kortini

4) Kinana amburuza Msigwa kortini

5) Msigwa amuomba mzee Mtei akaongee na Kinana ili wayamalize!

6) Mahakama kuamua kesi ya Kinana leo

UONGO wa hila, ni uuaji.
Msigwa AVULIWE KIAPO CHA UCHUNGAJI.
 


Natoa tamko la kumuomba radhi Abdulrahman Kinana, ikumbukwe nilikuwa na kesi katika Mahakama Kuu ya Tanzania iliyofunguliwa na Kinana kutokana na matamshi niliyowahi kuyatoa kumuhusisha na ujangili. Ninakiri tuhuma hizo hazikuwa za kweli wala ushahidi wowote, bali zilikuwa na malengo potofu ya kisiasa na kizandiki.

Pia soma:

1) HOTUBA ya Kambi ya Upinzani Bungeni, Maliasili na Utalii na Peter Msigwa (FULL TEXT)

2) Kinana kupitia Wanasheria amuandikia Msigwa kumtaka amuombe radhi

3) Mchungaji Msigwa (CHADEMA) amtaka Kinana awahi kortini

4) Kinana amburuza Msigwa kortini

5) Msigwa amuomba mzee Mtei akaongee na Kinana ili wayamalize!

6) Mahakama kuamua kesi ya Kinana leo

Kinana kuhamia CHADEMA ni haki yake,kama Lijualikali kuhamia CCM na hii ndio demokrasia.
 
Kuomba radhi ni uungwana japo ilitakiwa afanye hivyo kabda ya hukumu ya mahakama kuu.

Hii pia inatoa taswira kwamba madai mengi ya wanasiasa yanakua ya uongo kwa ajili ya malengo ovu au kupata umaarufu wa kisiasa.

Bahati mbaya sana malengo yao hayo huumiza watu kwa kuwavunjia heshima zao katika jamii, heshima ambazo wengine wamejijengea kwa miaka mingi.
Umeongea safi sana nilitaka kuandika kitu umemaliza

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Huyo ndio Mchungaji Msigwa, kipindi cha Lazaro Nyalandu akiwa waziri wa utalii na yeye Msigwa akiwa ndio waziri kivuli basi alikuwa akimkosoa na kueleza ufisadi wa Lazaro ila baadaye alifika bei na akawa rafiki yake Lazaro na hatukusikia tena akieleza ufisadi wa Lazaro.
 
Back
Top Bottom