johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
Mwenyekiti wa CHADEMA kanda ya Nyanda za Juu Kusini mchungaji Msigwa anaomba michango kugharamia nauli na mahitaji muhimu ya wakili anayemwakilisha Kamanda Nyangali Mdude katika kesi inayomkabili mahakama kuu Mbeya.
Michango itumwe kwa mwenyekiti mchungaji Msigwa na unaweza kutuma kiasi chochote ulichonacho.
Siasa siyo uadui na kutoa ni moyo siyo utajiri.
Heri wenye moyo safi.
Michango itumwe kwa mwenyekiti mchungaji Msigwa na unaweza kutuma kiasi chochote ulichonacho.
Siasa siyo uadui na kutoa ni moyo siyo utajiri.
Heri wenye moyo safi.