Mchungaji Msigwa apendekezwa kumrithi Mbowe nafasi ya mwenyekiti CHADEMA 2023 atakapostaafu!

Mchungaji Msigwa apendekezwa kumrithi Mbowe nafasi ya mwenyekiti CHADEMA 2023 atakapostaafu!

Safi sana siyo wachaga tu wajimilikishe chama alafu kwenye michango hadi sisi wahehe wanataka tuchangie
 
Dimondi anawangalia halafu anaimba
"Wataweza kweli aaah wapi,
Kushindana nasi, aah wapi,
hata akiletwa Msigwa, haitawezekana" 🎶🎶
View attachment 1809437
1623227075985.png
Mnachoweza CCM ni kuwatapeli wapiga kura.
 
Hiki chama kikienda huko kitakufa.

Asilimia kubwa hiki chama kibabebwa na wachaga. Ni sawa na CUF ilipoondoka Zanzibar.

Ukweli mchungu lakini.
 
Ukabila wao. Itakuwa ngumu kiti kile apewe asiye mchaga. Chama cha mzee kile.
Uenyekiti wa CHADEMA lazima utaenda kaskazini piga ua.

CHADEMA watakua radhi hata wamuombe Mollel arudi CHADEMA agombee uenyekiti na wampatie lakini sio uende kanda nyingine.
 
Hapana,si wamoja.
Msigwa Peter ni wamoja na Mwendazake
Huamini muulize Gerson alitumwa kupeleka mpunga segerea.
Unadhani nani walikuwa wamoja.
Bwasheee hii ngoma haikuhusu. Ushauri wako peleka Lumumba.
 
Wanachama wa CHADEMA mkoani Iringa wamependekeza mchungaji Msigwa agombee uenyekiti wa CHADEMA 2023.

Joseph Kibiki anasema CHADEMA Iringa na kanda ya Nyasa kwa ujumla watafanya kila linalowezekana kuhakikisha mchungaji Msigwa anakuwa nahodha wa CHADEMA baada ya mh Mbowe kustaafu kwa mafanikio makubwa.

Akadodi ndauli!
Msigwa siyo mnafiki wala mamluki anafaa sana hawezi kukiuza chama .
 
Wanachama wa CHADEMA mkoani Iringa wamependekeza mchungaji Msigwa agombee uenyekiti wa CHADEMA 2023.

Joseph Kibiki anasema CHADEMA Iringa na kanda ya Nyasa kwa ujumla watafanya kila linalowezekana kuhakikisha mchungaji Msigwa anakuwa nahodha wa CHADEMA baada ya mh Mbowe kustaafu kwa mafanikio makubwa.

Akadodi ndauli!

Zamu ya Wachagga imeisha lini hata Wanyalukolo nao watokewe na ndoto ya mchana kama hii?
 
Naunga mkono hoja. Hoja itakuwa imepata mtu ambaye ana akili timamu na anayejielewa, iwapo atatulia, kuacha mihemko, matusi ya lisu (dish limetilt) na siasa za kiunaharakati.
 
Uenyekiti wa CHADEMA lazima utaenda kaskazini piga ua.

CHADEMA watakua radhi hata wamuombe Mollel arudi CHADEMA agombee uenyekiti na wampatie lakini sio uende kanda nyingine.
Isyu siyo Kaskazini au Mashariki. Isyu ni uwezo wa mtu. Mie kura yangu nampa Godbless ana maono, na ni CPA, kuliko Father Yuda Msigwa. Na isitoshe, hii ya Kaskazini mnaitoa wapi, si ni mmoja tu?
 
Back
Top Bottom