Pre GE2025 Mchungaji Msigwa atangaza kukata rufaa kupinga Ushindi wa Joseph Mbilinyi (Sugu) Kanda ya Nyasa

Pre GE2025 Mchungaji Msigwa atangaza kukata rufaa kupinga Ushindi wa Joseph Mbilinyi (Sugu) Kanda ya Nyasa

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Acha matusi utakuwa mlevi wa ulanzi kingan Uyole wewe
Mimi naongea experience ninayoijua Mbeya wewe unaleta ushetwani

Ngoja nikwambie nimesoma Mbeya day kipindi Mpesya ni mwalimu pale nikaenda Kibaha high school lakini sijawahi kumkubali huyo Mpesya toka akiwa mwalimu pale

Akachaguliwa kuwa Mbunge nini alifanya zaidi ya kuwanunulia pombe za kienyeji wapiga kura wake na kuwajengea mabanda ya vilabu?

Ndo maana nasema at least Sugu alileta mageuzi pale Mbeya wakamleta Tulia ambaye hakuwa na mpango na Mbeya city alijiweka kwao Rungwe.

Leo mnamwabudu wakati ana mamiradi kibao anafanya kwao huko nyie mmebaki na one way lane mpaka leo
 
Akachaguliwa kuwa Mbunge nini alifanya zaidi ya kuwanunulia pombe za kienyeji wapiga kura wake na kuwajengea mabanda ya vilabu?

Ndo maana nasema at least Sugu alileta mageuzi pale Mbeya wakamleta Tulia ambaye hakuwa na mpango na Mbeya city alijiweka kwao Rungwe.

Leo mnamwabudu wakati ana mamiradi kibao anafanya kwao huko nyie mmebaki na one way lane mpaka leleo
Nitajie maeneo ambayo Mpesya alijenga vilabu?

Pili nitajie hayo mageuzi aliyoleta Sugu

Tatu nimekuambia kuwa binafsi simkubali Tulia kama nisivyomkubali Sugu
 
Namuona Mchungaji Msigwa nje ya CHADEMA. Hizo rufaa ni mwanzo wa safari yake kutoka CHADEMA. Kote atasema hajatendewa haki. Usiku ule na hotuba ile aliyoitoa, alisifiwa kwa political maturity aliyoionyesha. Nini tena kimempata? Anatafuta sababu na cha kusema akijiondoa CHADEMA..
I saw it coming. Yametimia!
 
Namuona Mchungaji Msigwa nje ya CHADEMA. Hizo rufaa ni mwanzo wa safari yake kutoka CHADEMA. Kote atasema hajatendewa haki. Usiku ule na hotuba ile aliyoitoa, alisifiwa kwa political maturity aliyoionyesha. Nini tena kimempata? Anatafuta sababu na cha kusema akijiondoa CHADEMA..
Ndo hivyo
Ndo maana walimkataa mapema🤔😧
 
Back
Top Bottom