Kama watu wanaowaona wa maana ni aina ya Msigwa, mwisho wao haupo mbali!Ndo maana CCM itatawala milele
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kama watu wanaowaona wa maana ni aina ya Msigwa, mwisho wao haupo mbali!Ndo maana CCM itatawala milele
Watanganyika wanatekwa wanapotezwa wewe unajifaragua na Msigwa?.Ndugu zangu Watanzania,
Mchungaji peter Msigwa anaendelea kufurahia maisha mapya ndani ya CCM,hali inayomfanya aendelee kujuta kwanini alipoteza muda kwenye chama cha CHADEMA kilichokosa muelekeo,Dira na hata sera zenye kugusa maisha ya watanzania.
Chama ambacho kimejaa udikiteta na kuendeshwa kama Sacco's au mradi wa mtu binafsi au kitega uchumi cha familia. Chama ambacho kinakwenda kwenda Utafikiri kipofu gizani ,Hakina sera wala ajenda zaidi ya kurukia rukia matukio.
Sasa mchungaji Msigwa akiwa anaendelea kuiumbua CHADEMA kwa Masuala mbalimbali mabaya ,ameposti picha hii hapa chini kama inavyoonekana.View attachment 3079997
Kazi iendelee, Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.
Lucas Hebel Mwashambwa, Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.
Kama watu wanatulizwa tu kwa chai CCM itatawala mileleKama watu wanaowaona wa maana ni aina ya Msigwa, mwisho wao haupo mbali!
Umejuaje kama wametekwa? Ushahidi upo wapi? Ulikuwepo wakati wanatekwa?Watanganyika wanatekwa wanapotezwa wewe unajifaragua na Msigwa?.
CCM ni uzalendo tu na hakuna anayelipwa kwa ajili ya kupigania chama.Nyie huko mnasaka nini?! Tena kwa buku 7 tu.