Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Katika watu ambao hawana akili timamu humu jukwaani wewe ni mmoja wapo.CHADEMA ni genge la wasaka Tonge tu na wachumia tumbo.
Kipanya ni nani ndani ya CHADEMA? Kushindwa hoja na kuambiwa ukweli mnaanza kulialiaKipanya akimjibu asikimbilie mahakamani🤣
Mmeambiwa ukweli mchungu mnaanza kulialia kama watoto.Mchungaji Msigwa akikumbatie Kibuyu chake cha Asali awe anaifyonza bila kelele.
CHADEMA ni genge la wasaka Tonge.Katika watu ambao hawana akili timamu humu jukwaani wewe ni mmoja wapo.
Huyo msigwa kajiunga na chadema lini mpaka leo akuaminishe kwamba kuna udini, rushwa, ukabila na udini?
Hivi wakisimama watu wawil kati ya ccm na chadema nani mla rushwa?
Wewe ndiye chukizo mbele za Mungu .CCM ni chukizo mbele za MUNGU
AmepuyangaHizi shamra shamra ni kama anataka kusikika ila ccm wenyewe wala hawamsikii.....
Once again Msigwa hajachanga karata vizuri, enzi ya jiwe ndio angefanya hivi angelamba mahela angelamba uwaziri, hii ni totally wrong tageti yani.
Huyu ni mchungaji kweli wa kondoo ile waingie mbinguni? Badala ajikite na masuala ya CCM, yeye kutwa na Chadema. Imemuuma sana nini kutoka huko Chadema?Ndugu zangu Watanzania,
Mchungaji peter Msigwa anaendelea kufurahi maisha mapya ndani ya CCM,hali inayomfanya aendelee kukuta kwanini alipoteza muda kwenye chama cha CHADEMA kilichokosa muelekeo,Dira na hata sera zenye kugusa maisha ya watanzania.
Chama ambacho kimejaa udikiteta na kuendeshwa kama Sacco's au mradi wa mtu binafsi au kitega uchumi cha familia. Chama ambacho kinakwenda kwenda Utafikiri kipofu kigazini. Hakina sera wala ajenda zaidi ya kurukia rukia matukio.
Sasa mchungaji Msigwa akiwa anaendelea kuiumbua CHADEMA kwa Masuala mbalimbali mabaya ,ameposti picha huu hapa chini kama inavyoonekana.View attachment 3079997
Kazi iendelee, Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.
Lucas Hebel Mwashambwa, Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.
Mbona alikaa miaka 20?!Aseee Chuki, rushwa, Udini , Ukabila.........kumbe hatukoseagi saana
CCM ni genge la majuhaCHADEMA ni genge la wasaka Tonge.
Hata kwa Magufuli mlisema hivyo hivyo leo hii yuko jehanam anateseka hukoSamia mpaka 2030
Kabisa.... Yani hapo baada ya 2025 akatafute tu shamba, ccm hawana cha kumpa wao wenyewe wanagombaniana hukoAmepuyanga
Ndugu zangu Watanzania,
Mchungaji peter Msigwa anaendelea kufurahi maisha mapya ndani ya CCM,hali inayomfanya aendelee kukuta kwanini alipoteza muda kwenye chama cha CHADEMA kilichokosa muelekeo,Dira na hata sera zenye kugusa maisha ya watanzania.
Chama ambacho kimejaa udikiteta na kuendeshwa kama Sacco's au mradi wa mtu binafsi au kitega uchumi cha familia. Chama ambacho kinakwenda kwenda Utafikiri kipofu kigazini. Hakina sera wala ajenda zaidi ya kurukia rukia matukio.
Sasa mchungaji Msigwa akiwa anaendelea kuiumbua CHADEMA kwa Masuala mbalimbali mabaya ,ameposti picha huu hapa chini kama inavyoonekana.View attachment 3079997
Kazi iendelee, Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.
Lucas Hebel Mwashambwa, Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.
Muwasha Mbwa, kwani kuna siku uliwahi kuandika chochote kinachohitaji akili?? Unatembea ndani ya eneo ambalo uwezo wa akili yako unakoishia. Hakuna wa kukulaumu kwani huwezi kutumia usichokuwa nacho.
Ndio ameshapotea ktk ulimwengu wa siasa hivyo!Masikini Msigwa, kichwa kimebakia kuwa puto. Tamaa ya cheo na pesa vimemuondolea akili aliyokuwa nao.
CHADEMA Inaogopwa hadi na shetaniLucas naomba jibu hili;
kati ya CCM na CHadema chama kipi hadi shetani anakiogopa kwa rushwa, wizi, ufisadi, gilba, udokozi na unyama ?
Watatoa na damuKabisa.... Yani hapo baada ya 2025 akatafute tu shamba, ccm hawana cha kumpa wao wenyewe wanagombaniana huko
Labda wewe ndio umepotea.Ndio ameshapotea ktk ulimwengu wa siasa hivyo!
CCM ni kama bokoharam tu.CCM inatafuta Uongozi na kuwa madarakani kwa ajili ya kuwatumikia watu na kuwaletea maendeleo na siyo kujinufaisha au kushibisha matumbo ya viongozi wake.