Pre GE2025 Mchungaji Msigwa Awakaanga CHADEMA kwa Ujumbe wa Picha

Pre GE2025 Mchungaji Msigwa Awakaanga CHADEMA kwa Ujumbe wa Picha

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Mchungaji Msigwa akikumbatie Kibuyu chake cha Asali awe anaifyonza bila kelele.
 
CHADEMA ni genge la wasaka Tonge tu na wachumia tumbo.
Katika watu ambao hawana akili timamu humu jukwaani wewe ni mmoja wapo.
Huyo msigwa kajiunga na chadema lini mpaka leo akuaminishe kwamba kuna udini, rushwa, ukabila na udini?
Hivi wakisimama watu wawil kati ya ccm na chadema nani mla rushwa?
 
Katika watu ambao hawana akili timamu humu jukwaani wewe ni mmoja wapo.
Huyo msigwa kajiunga na chadema lini mpaka leo akuaminishe kwamba kuna udini, rushwa, ukabila na udini?
Hivi wakisimama watu wawil kati ya ccm na chadema nani mla rushwa?
CHADEMA ni genge la wasaka Tonge.
 
Hizi shamra shamra ni kama anataka kusikika ila ccm wenyewe wala hawamsikii.....

Once again Msigwa hajachanga karata vizuri, enzi ya jiwe ndio angefanya hivi angelamba mahela angelamba uwaziri, hii ni totally wrong tageti yani.
Amepuyanga
 
Ndugu zangu Watanzania,

Mchungaji peter Msigwa anaendelea kufurahi maisha mapya ndani ya CCM,hali inayomfanya aendelee kukuta kwanini alipoteza muda kwenye chama cha CHADEMA kilichokosa muelekeo,Dira na hata sera zenye kugusa maisha ya watanzania.

Chama ambacho kimejaa udikiteta na kuendeshwa kama Sacco's au mradi wa mtu binafsi au kitega uchumi cha familia. Chama ambacho kinakwenda kwenda Utafikiri kipofu kigazini. Hakina sera wala ajenda zaidi ya kurukia rukia matukio.

Sasa mchungaji Msigwa akiwa anaendelea kuiumbua CHADEMA kwa Masuala mbalimbali mabaya ,ameposti picha huu hapa chini kama inavyoonekana.View attachment 3079997

Kazi iendelee, Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.

Lucas Hebel Mwashambwa, Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.
Huyu ni mchungaji kweli wa kondoo ile waingie mbinguni? Badala ajikite na masuala ya CCM, yeye kutwa na Chadema. Imemuuma sana nini kutoka huko Chadema?
 
Ndugu zangu Watanzania,

Mchungaji peter Msigwa anaendelea kufurahi maisha mapya ndani ya CCM,hali inayomfanya aendelee kukuta kwanini alipoteza muda kwenye chama cha CHADEMA kilichokosa muelekeo,Dira na hata sera zenye kugusa maisha ya watanzania.

Chama ambacho kimejaa udikiteta na kuendeshwa kama Sacco's au mradi wa mtu binafsi au kitega uchumi cha familia. Chama ambacho kinakwenda kwenda Utafikiri kipofu kigazini. Hakina sera wala ajenda zaidi ya kurukia rukia matukio.

Sasa mchungaji Msigwa akiwa anaendelea kuiumbua CHADEMA kwa Masuala mbalimbali mabaya ,ameposti picha huu hapa chini kama inavyoonekana.View attachment 3079997

Kazi iendelee, Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.

Lucas Hebel Mwashambwa, Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.
Muwasha Mbwa, kwani kuna siku uliwahi kuandika chochote kinachohitaji akili?? Unatembea ndani ya eneo ambalo uwezo wa akili yako unakoishia. Hakuna wa kukulaumu kwani huwezi kutumia usichokuwa nacho.
 
Lucas naomba jibu hili;
kati ya CCM na CHadema chama kipi hadi shetani anakiogopa kwa rushwa, wizi, ufisadi, gilba, udokozi na unyama ?
 
Back
Top Bottom