milele amina
JF-Expert Member
- Aug 16, 2024
- 6,045
- 8,080
Mtanikumbuka
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mjinga huyu CD 💿 yake ishaanza kuchubuka.Hizi shamra shamra ni kama anataka kusikika ila ccm wenyewe wala hawamsikii.....
Once again Msigwa hajachanga karata vizuri, enzi ya jiwe ndio angefanya hivi angelamba mahela angelamba uwaziri, hii ni totally wrong tageti yani.
Lucas ni chawa mpumbavu sana!Mjinga huyu CD 💿 yake ishaanza kuchubuka.
Mwehu huyo! Ni suala la muda tu atakuwa Mirembe!Ndugu zangu Watanzania,
Mchungaji peter Msigwa anaendelea kufurahi maisha mapya ndani ya CCM,hali inayomfanya aendelee kukuta kwanini alipoteza muda kwenye chama cha CHADEMA kilichokosa muelekeo,Dira na hata sera zenye kugusa maisha ya watanzania.
Chama ambacho kimejaa udikiteta na kuendeshwa kama Sacco's au mradi wa mtu binafsi au kitega uchumi cha familia. Chama ambacho kinakwenda kwenda Utafikiri kipofu kigazini. Hakina sera wala ajenda zaidi ya kurukia rukia matukio.
Sasa mchungaji Msigwa akiwa anaendelea kuiumbua CHADEMA kwa Masuala mbalimbali mabaya ,ameposti picha huu hapa chini kama inavyoonekana.View attachment 3079997
Kazi iendelee, Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.
Lucas Hebel Mwashambwa, Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.
Na nyie mwisho wa siku yatakua yaleyale,,,,,andaeni machozi ya kutosha kwenda kuwalilia wazungu kama kawaida yenuHakuna chama cha upinzani kinaitesa cha la majizi kama cdm, na vile Lisu ametangaza kutaka kugombea urais, chama la majizi litahonga sana, na vyombo vya dola vitatumika sana kuteka wapinzani kisha kusingizia waganga wa kienyeji.
CCM ni ile ile ya Nyerere, Kawawa,Mwinyi,Mkapa,Kikwete, Magufuli,Samia.Halafu kuna watu wanaota kua CCM itatoka madarakani,,,,,,.........
Inafikirisha!Ndugu zangu Watanzania,
Mchungaji peter Msigwa anaendelea kufurahi maisha mapya ndani ya CCM,hali inayomfanya aendelee kukuta kwanini alipoteza muda kwenye chama cha CHADEMA kilichokosa muelekeo,Dira na hata sera zenye kugusa maisha ya watanzania.
Chama ambacho kimejaa udikiteta na kuendeshwa kama Sacco's au mradi wa mtu binafsi au kitega uchumi cha familia. Chama ambacho kinakwenda kwenda Utafikiri kipofu kigazini. Hakina sera wala ajenda zaidi ya kurukia rukia matukio.
Sasa mchungaji Msigwa akiwa anaendelea kuiumbua CHADEMA kwa Masuala mbalimbali mabaya ,ameposti picha huu hapa chini kama inavyoonekana.View attachment 3079997
Kazi iendelee, Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.
Lucas Hebel Mwashambwa, Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.
Kichwa chako inaonyesha kilisha changanyikiwa ndio maana unajiongeleaga tu lolote linalokujia mdomoni kwako.Ni kweli, maana ccm sio chama cha siasa, bali genge la dola linalotumia mabavu kubaki madarakani. Machafuko ama mapinduzi ya kijeshi ndio yataling'oa genge hili hatari.
CCM kunagawiwa majukumu na siyo kugawa vyeo kama karanga za kuonjesha.Ccm mpeni cheo msigwaaaaaaaaaaa anachoka sana kuongea. Mpeni hata viti maaaalum
Umekuwa msemaji wake tangia lini.Kinana anakusalimu
Haya tumekusikia.Ndugu zangu Watanzania,
Mchungaji peter Msigwa anaendelea kufurahi maisha mapya ndani ya CCM,hali inayomfanya aendelee kukuta kwanini alipoteza muda kwenye chama cha CHADEMA kilichokosa muelekeo,Dira na hata sera zenye kugusa maisha ya watanzania.
Chama ambacho kimejaa udikiteta na kuendeshwa kama Sacco's au mradi wa mtu binafsi au kitega uchumi cha familia. Chama ambacho kinakwenda kwenda Utafikiri kipofu kigazini. Hakina sera wala ajenda zaidi ya kurukia rukia matukio.
Sasa mchungaji Msigwa akiwa anaendelea kuiumbua CHADEMA kwa Masuala mbalimbali mabaya ,ameposti picha huu hapa chini kama inavyoonekana.View attachment 3079997
Kazi iendelee, Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.
Lucas Hebel Mwashambwa, Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.
Njaa humfanya mtu mtumwa ,Msigwa mtumwa wa Makala/NchimbiNdugu zangu Watanzania,
Mchungaji peter Msigwa anaendelea kufurahi maisha mapya ndani ya CCM,hali inayomfanya aendelee kukuta kwanini alipoteza muda kwenye chama cha CHADEMA kilichokosa muelekeo,Dira na hata sera zenye kugusa maisha ya watanzania.
Chama ambacho kimejaa udikiteta na kuendeshwa kama Sacco's au mradi wa mtu binafsi au kitega uchumi cha familia. Chama ambacho kinakwenda kwenda Utafikiri kipofu kigazini. Hakina sera wala ajenda zaidi ya kurukia rukia matukio.
Sasa mchungaji Msigwa akiwa anaendelea kuiumbua CHADEMA kwa Masuala mbalimbali mabaya ,ameposti picha huu hapa chini kama inavyoonekana.View attachment 3079997
Kazi iendelee, Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.
Lucas Hebel Mwashambwa, Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.
Kwamba wapinzani wakiungana uchaguzi ndio utakuwa wa haki?CCM ni ile ile ya Nyerere, Kawawa,Mwinyi,Mkapa,Kikwete, Magufuli,Samia.
Wana nguzo mmoja kuu ya kuhakikisha CCM inabaki madarakani miaka mingi sana.
CCM kila siku ya Mungu inabuni mikakati ya kubaki madarakani kwa muda mrefu hata miaka elfu kama inawezekana.
Ukiangalia upande wa wapinzani wao wanasaka uongozi ngazi ya ubunge.Hata kama uchaguzi ungefanyika kwa haki,hawatoboi kwa kuwa kila chama kinamsimamisha mgombeaji.
Njaa,tamaa,uchu wa uongozi ndio kikwazo cha mageuzi na demokrasia ya vyama vya upinzani.
Hata 2030 hakuna maajabu labda wapinzani kwanza waunganishe vyama vikubwa vya upinzani vinginevyo hakuna kitu.
Tena wanauchu mkali sana wakishika dola tutajuta sanaCHADEMA ni genge la wasaka Tonge tu na wachumia tumbo.
Si rahisi kuwadanganya watu wa karne hii. Hivi ni chama gani kinachoongoza serikali na je wananchi wanalalamika au wameridhika na maendeleo yao binafsi na maendeleo ya nchi yao, kwa kulinganisha na rasilimali zilizopo? Je, ni Chadema ndicho chama tawala kinachoweza kubeba hizo lawama? Je, chaguzi za 2020 zilivyokwenda, ndiyo maendeleo ya kisiasa tuliyofikia? Na kabla ya kuhama, mbona na yeye alikuwa akiikosoa serikali inayoongozwa na CCM au ulikuwa uwongo? Sasa atwambie, je wakati akikosoa alikuwa akisema uwongo/ukweli au sasa hivi anaposifia ndipo anaposema uwongo/ukweli?Ndugu zangu Watanzania,
Mchungaji peter Msigwa anaendelea kufurahi maisha mapya ndani ya CCM,hali inayomfanya aendelee kukuta kwanini alipoteza muda kwenye chama cha CHADEMA kilichokosa muelekeo,Dira na hata sera zenye kugusa maisha ya watanzania.
Chama ambacho kimejaa udikiteta na kuendeshwa kama Sacco's au mradi wa mtu binafsi au kitega uchumi cha familia. Chama ambacho kinakwenda kwenda Utafikiri kipofu kigazini. Hakina sera wala ajenda zaidi ya kurukia rukia matukio.
Sasa mchungaji Msigwa akiwa anaendelea kuiumbua CHADEMA kwa Masuala mbalimbali mabaya ,ameposti picha huu hapa chini kama inavyoonekana.View attachment 3079997
Kazi iendelee, Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.
Lucas Hebel Mwashambwa, Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.
Ndugu zangu Watanzania,
Mchungaji peter Msigwa anaendelea kufurahi maisha mapya ndani ya CCM,hali inayomfanya aendelee kukuta kwanini alipoteza muda kwenye chama cha CHADEMA kilichokosa muelekeo,Dira na hata sera zenye kugusa maisha ya watanzania.
Chama ambacho kimejaa udikiteta na kuendeshwa kama Sacco's au mradi wa mtu binafsi au kitega uchumi cha familia. Chama ambacho kinakwenda kwenda Utafikiri kipofu kigazini. Hakina sera wala ajenda zaidi ya kurukia rukia matukio.
Sasa mchungaji Msigwa akiwa anaendelea kuiumbua CHADEMA kwa Masuala mbalimbali mabaya ,ameposti picha huu hapa chini kama inavyoonekana.View attachment 3079997
Kazi iendelee, Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.
Lucas Hebel Mwashambwa, Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.