Pre GE2025 Mchungaji Msigwa: Maranja anaishi kwa kutegemea kuzururazurura kwenye korido za CHADEMA na kulamba viatu vya Mbowe

Pre GE2025 Mchungaji Msigwa: Maranja anaishi kwa kutegemea kuzururazurura kwenye korido za CHADEMA na kulamba viatu vya Mbowe

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Lakini huyu msigwa si tuliambiwa alilamba mpunga mrefu ili akatoe ushahidi kuwa ni kweli mbowe alishiriki kwenye ugaidi
Ni bahati tu kusi ilifutwa kabla kuisha

Tungeshuhudia msigwa akimkaanga mwenyekiti wake mahakamani


Lakini huyu msigwa si alipewea fedha ili aunge mkono kuhamishwa wamasai kule ngorongoro

Msigwa alipoteza uaminifu kitambo sana
Ujue Mbowe alitolewa Gerezani kwa Fedha zilizochangwa na familia ya mchungaji Msigwa akiwemo shujaa Magufuli 😄
 

Ni mtifuano mkali Ukurasani X Kati ya Mchungaji Msigwa na Chawa wa Mbowe Martin Maranja.

Mashambuliano hayo, kebehi, kejeli na kudharauliana kunaonyesha jinsi CHADEMA ilivyosheheni wahuni.

Chonde chonde Katibu mkuu Mnyika hebu ingilia kati nidhamu na kuheshimiwa a kurejee ndani ya chama

Ni wazi kuna ugomvi mkubwa sana Kati ya Mchungaji Msigwa na Mwenyekiti Mbowe.

Mchungaji Msigwa asikilizwe kabla hajaanza kutoa siri za michango ya Nairobi hospital.

Mungu wa mbinguni inusuru CHADEMA.

Kwako Lucas 😂🔥
Msigwa kamchoka Mbowe...

Tindo zitto junior JokaKuu Kalamu brazaj Rabbon

Chadema inafukuta........
 
Msigwa kamchoka Mbowe...

Tindo zitto junior JokaKuu Kalamu brazaj Rabbon

Chadema inafukuta........
Mbowe asome alama za nyakati, he's no longer untouchable. Sio Lissu, sio Lema hawamuogopi kama zamani ndio maana walimpinga maridhiano hadi wakamuita mamluki. Ni hivi apishe abakie bodi ya wadhamini ila akiendelea kwa lazima basi ajue chama kitamfia mkononi.

Mbowe pumzika baba usiharibu legacy yako kama kina Mbatia na Lipumba
 
Sio Kuna team Lisu Wana gang up dhidi ya team Mbowe

Lisu, Msigwa na Lema walihamia tu kutoka huko vyama vingine akina Mbowe hicho ndicho chama Chao Cha kwanza kujiunga nacho na wamekijenga

Akina Lisu,Lema na Msigwa walikikuta chama tayari kumesimama walipoondoka vyama vyao vya upinzani kuhamia CHADEMA

Sasa hao wahamiaji wanataka kuteka Chama Cha waasisi asilia akina Team Mbowe

Hiyo vita ni kati ya waasisi wa chama waliokipigania Hadi kukifikisha hapo dhidi ya wahamiaji team Lisu wanataka kupora chama
6208957_square.jpg

Fisiemu ni Fisiemu tu mnajitekenya halafu mnacheka wenyewe
 
Mbowe asome alama za nyakati, he's no longer untouchable. Sio Lissu, sio Lema hawamuogopi kama zamani ndio maana walimpinga maridhiano hadi wakamuita mamluki. Ni hivi apishe abakie bodi ya wadhamini ila akiendelea kwa lazima basi ajue chama kitamfia mkononi.

Mbowe pumzika baba usiharibu legacy yako kama kina Mbatia na Lipumba
Ni kweli, Chadema inahitaji mabadiliko ya uongozi kwa uhai wake.

Japo michango wa Mbowe mpaka hapa ni mkubwa ila mabadiliko ya uongozi hayaepukiki.
 

Ni mtifuano mkali Ukurasani X Kati ya Mchungaji Msigwa na Chawa wa Mbowe Martin Maranja.

Mashambuliano hayo, kebehi, kejeli na kudharauliana kunaonyesha jinsi CHADEMA ilivyosheheni wahuni.

Chonde chonde Katibu mkuu Mnyika hebu ingilia kati nidhamu na kuheshimiwa a kurejee ndani ya chama

Ni wazi kuna ugomvi mkubwa sana Kati ya Mchungaji Msigwa na Mwenyekiti Mbowe.

Mchungaji Msigwa asikilizwe kabla hajaanza kutoa siri za michango ya Nairobi hospital.

Mungu wa mbinguni inusuru CHADEMA.

Kwako Lucas 😂🔥
Kinu,mzururaji chali
 
Hao watu wooote wanaobweka sasahivi wamshukuru mbowe kwa kuwakaribisha chadema na kuwapata fursa ya kuwa viongozi na wabunge na kuukimbiza umaskini katika familia zao .
 
Msigwa yupo sahihi hapa, Mbowe anakosea kujiweka karibu na Maranja mtu ambae wakati mwingine kule X huwa ana lugha chafu sana, anayeona sifa kuropoka matusi bila wasiwasi.

Huyu Maranja kwa sasa ni kama amejigeuza msemaji wa Chadema kimya kimya, yeye ndie yupo mbele kuzungumzia mambo yanayohusu chama ajabu viongozi wengine wanamtazama tu.

Huyu kiumbe anaharibu taswira na haiba ya chama, hata kama huwa ana "madini" lakini kama hajui kutenganisha madini yake na matusi hana maana, amegeuka chawa wa baadhi ya viongozi wa Chadema anapewa vocha then anaanza kuropoka hovyo bila breki.
Chawa wa Mbowe nini huyo jamaa ?
 
Yaani ,kwa vyovyote vile tumchangie MSigwa ili aweze kuendesha mapambano ya kweli dhidi ya MZEE MBOWE na genge lake .
Chadema bila mbowe kuwa mwenyekiti ni TADEA IJAYO.........
Nasimama na mbowe msigwa namkataaaaaaaaàaaaaaaa
 
Kujenga chama unadhani ni kazi rahisi? Muulize Zitto Kabwe atakwambia.

Walafi wanataka ready made, Mbowe ameshasurubika amewekwa jela amepewa kesi za ugaidi leo kirahisi tu awaachie uongozi mchwa waje kula pesa hata mimi siwezi kufanya ujinga huo.

Mbowe kamatia hapohapo wewe ndio Putin wetu endelea kuwanyoosha.
Teh teh 😃 😃 😃 noma sana....

Mbowe kageuka Putin wa Chadema...
 
Hizi Siasa za kutiliana sumu kwenye maji
Jamani mnategemewa nyie muwe mbadala ila nchi nzima tule mkate kama mnavyotuaminisha mkishika nchi
Kama na nyie mnaangalia matumbo yenu tu basi yeyote sawa tu
Tutaendelea kula mihogo nyie piganeni
Kabisa chief, wawe na tabia za chama mbadala na sio kutuvuruga wapiga kura wao.
 
Chawa wa Mbowe nini huyo jamaa ?
Yule anatafuna pote, sio kwa baadhi ya viongozi wa CDM tu, pia hata kwa baadhi ya vigogo wa CCM.

Simply anan'gata huku anapulizia kule, na anan'gata kule anapulizia huku, sijui kama umewahi kujiuliza kwanini alimshambulia sana Mange alipomlipua Samia hivi karibuni?

MMM ni mjanja mjanja wa mjini, anaishi kwa kuandika X.
 
Back
Top Bottom