Mchungaji Msigwa: Mimi ni Mwenyekiti wa Kamati ya Lissu Home Coming, nimekatisha ziara ya Musoma kuja kusaidia Mapokezi!


Neno
 
Wewe ni mlamba asali wa kijani, ila unataka kumfanya Mshana jr mtoto etieee?
 
Chadema karibuni ccm tule matunda ya uhuru pamoja!!!Karibuni sana🤣🤣🤣
 
Msiyempenda anakuja. Msiyemtaka anakuja. Mnayemhofia anakuja. Chagueni kusuka au kunyoa!
Mdogo wangu upo seriously kweli na siasa za Tanzania????!!!🤣🤣🤣🤣🤣CCM unaijua au huijui??????Lissu aogopwe🤣🤣🤣🤣🤣🤣
 
Kaona DJ amelamba asali mpaka imelewesha sasa nayeye akaionje...
Akifika tu moja kwa moja magogoni kama DJ
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…