melusine8
JF-Expert Member
- Aug 2, 2022
- 6,299
- 7,746
Haya maneno hayakupaswa yatoke kwako mkuu!!
Unaheshima na historia kubwa sana hapa JF. Tujifunze kusamehe na kuwapenda ndugu zetu waliotangulia mbele za haki japo walitenda mabaya kwetu. Haitasaidia kitu lakini maneno kama haya ni maumivu kwa wafiwa ambao ni watoto na ndugu wa Marehemu.
Neno