😁😁kazi kweli kweliBob huwa nadhani wewe ni mtu wa busara. Msiruhusu kauli hizi za chuki ziwatale. So waliopo wote hai ni watu wasio na ubaya na Lissu? Epuka mihemko mshana wewe huwa nahisi una umri flani wa kupevuka.
Onesha kupevuka kwako. Sikuwahi kuwa mshabiki wa Magufuli na nlipaswa nimchukie kwa sababu alinizuilia pesa zangu nyingi sana bank. But i let it go. Ni vyema kuachana na kivuli chake. Leteni sera sasa tumechoka habari za magufuli na awamu ya 5. Chadema ina nini kipya?
Hivi kuna Kauli mbaya kama za kushabikia Tundu Lisu apigwe afe?Yaani kadri unavyokaa JF unagundua hata wale watu ambao ulidhani wangekuwa na busara kumbe hawana....🤣 Kauli watu wanazotoa zinawavua nguo sana. Hakuna Binadamu atabaki milele duniani.
Mdogo wangu upo seriously kweli na siasa za Tanzania????!!!🤣🤣🤣🤣🤣CCM unaijua au huijui??????Lissu aogopwe🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Kaka karibu CCM tuupige mwingi🤣🤣Mgeni ni mimi au wewe?
Kikwete: Ni bora Slaa awe Rais kuliko Tundu Lissu kuwa mbunge
Kwa wale waliobahatika kusoma gazeti la Mwanahalisi la leo kwenye kichwa cha habari nanukuu" Askofu huyu katumwa na nani?" mwaandishi kaandika kuwa kikwete alinukuliwa kwenye mikutano yake ya kampeni huko Singida kuwa "Ni bora Dr Slaa kuwa raisi kuliko Tundu Lissu kuwa mbunge" hii hofu ya...www.jamiiforums.com
Hayo si maneno yangu bali yule mwamba, mzee wetu wa Msoga.
Ije kuwa vinyangarika chawa nyie? 🤣🤣🤣
Sasa mbona alishughulikiwa na mgogo mmoja tu?Mgeni ni mimi au wewe?
Kikwete: Ni bora Slaa awe Rais kuliko Tundu Lissu kuwa mbunge
Kwa wale waliobahatika kusoma gazeti la Mwanahalisi la leo kwenye kichwa cha habari nanukuu" Askofu huyu katumwa na nani?" mwaandishi kaandika kuwa kikwete alinukuliwa kwenye mikutano yake ya kampeni huko Singida kuwa "Ni bora Dr Slaa kuwa raisi kuliko Tundu Lissu kuwa mbunge" hii hofu ya...www.jamiiforums.com
Hayo si maneno yangu bali yule mwamba, mzee wetu wa Msoga.
Ije kuwa vinyangarika chawa nyie? 🤣🤣🤣
Kaka karibu CCM tuupige mwingi🤣🤣
Hivi alikuwa mgogo? Tukidhani msukuma ambaye kumbe alikuwa Mrundi?Sasa mbona alishughulikiwa na mgogo mmoja tu?
Mshauri wa askofu mkuu wa Canterbury!Hivi alikuwa mgogo? Tukidhani msukuma ambaye kumbe alikuwa Mrundi?
Ndio sababu aliwaita Wanachama wa CCM!
Kwani mpiga nyungu alipatana lini na mabeberu? Kulikoni fulu kujichanganya?Mshauri wa askofu mkuu wa Canterbury!
Na mwenyekiti wa Ufipa st yumo kwenye Kundi hilo na Chawa Wote wa Kinondoni Shamba🤣🤣🤣 Aliyewaita mambuzi umemsahau?
Mabeberu hawana Rafiki wala adui wa kudumu, wamemtibu Lisu na sasa wanaturejeshea!Kwani mpiga nyungu alipatana lini na mabeberu? Kulikoni fulu kujichanganya?
Kwa hiyo Kiongozi akitoa mtu uhai huwa ni busara, yeye akifa siyo busara aheshimiwe?Yaani kadri unavyokaa JF unagundua hata wale watu ambao ulidhani wangekuwa na busara kumbe hawana....[emoji1787] Kauli watu wanazotoa zinawavua nguo sana. Hakuna Binadamu atabaki milele duniani.
Na mwenyekiti wa Ufipa st yumo kwenye Kundi hilo na Chawa Wote wa Kinondoni Shamba
Mbowe: Wanachama wenzangu wa CCM
Kabisa mkuu.Yaani kadri unavyokaa JF unagundua hata wale watu ambao ulidhani wangekuwa na busara kumbe hawana....🤣 Kauli watu wanazotoa zinawavua nguo sana. Hakuna Binadamu atabaki milele duniani.
Mzilankende alikuwa na marafiki na maadui wa kudumu. Wako wapi kina Ben, Mawazo, Azory au Lijenje? LIssu ilikuwa azikwe wapi?Mabeberu hawana Rafiki wala adui wa kudumu, wamemtibu Lisu na sasa wanaturejeshea!
Mchungaji Msigwa amesema yeye ni Mwenyekiti wa Kamati ndogo ya Kamati kuu ya Lissu Home Coming na yuko jijini DSM kushirikiana na Viongozi wa Kanda ya Pwani kuandaa Mapokezi.
Makamu Mwenyekiti wa Chadema Tundu Antipas Lissu atawasili Jumatano saa 7:35 mchana.
Mchungaji Msigwa amelazimika kutoendelea na Mikutano ya Musoma ili asimamie uratibu wa Mapokezi ya Lissu.
Chanzo: Clouds TV
Kabisa mkuu.
Hata kama ni chuki basi hii imepitiliza sana mkuu.
Akuwa kiongozi asiye kuwa na mazuri au mabaya lakini tunajiamanisha alikuwa na mabaya tu, halafu tunajisahau dunia ni mapito, mbele yake nyuma yetu.
Na ndio maana tunapewa tuliopo duniani kuwaombea wasamehe yale mabaya yao na tunakumbuka mazuri yao,ila kwa Mwandamizi kama yule akupaswa kuongea yale kabisa.