Mchungaji Msigwa: Mimi ni Mwenyekiti wa Kamati ya Lissu Home Coming, nimekatisha ziara ya Musoma kuja kusaidia Mapokezi!

Mchungaji Msigwa: Mimi ni Mwenyekiti wa Kamati ya Lissu Home Coming, nimekatisha ziara ya Musoma kuja kusaidia Mapokezi!

Bob huwa nadhani wewe ni mtu wa busara. Msiruhusu kauli hizi za chuki ziwatale. So waliopo wote hai ni watu wasio na ubaya na Lissu? Epuka mihemko mshana wewe huwa nahisi una umri flani wa kupevuka.

Onesha kupevuka kwako. Sikuwahi kuwa mshabiki wa Magufuli na nlipaswa nimchukie kwa sababu alinizuilia pesa zangu nyingi sana bank. But i let it go. Ni vyema kuachana na kivuli chake. Leteni sera sasa tumechoka habari za magufuli na awamu ya 5. Chadema ina nini kipya?
😁😁kazi kweli kweli
 
Yaani kadri unavyokaa JF unagundua hata wale watu ambao ulidhani wangekuwa na busara kumbe hawana....🤣 Kauli watu wanazotoa zinawavua nguo sana. Hakuna Binadamu atabaki milele duniani.
Hivi kuna Kauli mbaya kama za kushabikia Tundu Lisu apigwe afe?
 
Mgeni ni mimi au wewe?


Hayo si maneno yangu bali yule mwamba, mzee wetu wa Msoga.

Ije kuwa vinyangarika chawa nyie? 🤣🤣🤣
Kaka karibu CCM tuupige mwingi🤣🤣
 
Mgeni ni mimi au wewe?


Hayo si maneno yangu bali yule mwamba, mzee wetu wa Msoga.

Ije kuwa vinyangarika chawa nyie? 🤣🤣🤣
Sasa mbona alishughulikiwa na mgogo mmoja tu?
 
Yaani kadri unavyokaa JF unagundua hata wale watu ambao ulidhani wangekuwa na busara kumbe hawana....[emoji1787] Kauli watu wanazotoa zinawavua nguo sana. Hakuna Binadamu atabaki milele duniani.
Kwa hiyo Kiongozi akitoa mtu uhai huwa ni busara, yeye akifa siyo busara aheshimiwe?
 
Na mwenyekiti wa Ufipa st yumo kwenye Kundi hilo na Chawa Wote wa Kinondoni Shamba

Meeeeee! Meeeeee!

images.jpeg
 
Yaani kadri unavyokaa JF unagundua hata wale watu ambao ulidhani wangekuwa na busara kumbe hawana....🤣 Kauli watu wanazotoa zinawavua nguo sana. Hakuna Binadamu atabaki milele duniani.
Kabisa mkuu.

Hata kama ni chuki basi hii imepitiliza sana mkuu.

Akuwa kiongozi asiye kuwa na mazuri au mabaya lakini tunajiamanisha alikuwa na mabaya tu, halafu tunajisahau dunia ni mapito, mbele yake nyuma yetu.

Na ndio maana tunapewa tuliopo duniani kuwaombea wasamehe yale mabaya yao na tunakumbuka mazuri yao,ila kwa Mwandamizi kama yule akupaswa kuongea yale kabisa.
 
Mabeberu hawana Rafiki wala adui wa kudumu, wamemtibu Lisu na sasa wanaturejeshea!
Mzilankende alikuwa na marafiki na maadui wa kudumu. Wako wapi kina Ben, Mawazo, Azory au Lijenje? LIssu ilikuwa azikwe wapi?

Kwake hata mabeberu walikuwa maadui zake wa kudumu. Akawe mshauri wa nani?
 
Mchungaji Msigwa amesema yeye ni Mwenyekiti wa Kamati ndogo ya Kamati kuu ya Lissu Home Coming na yuko jijini DSM kushirikiana na Viongozi wa Kanda ya Pwani kuandaa Mapokezi.

Makamu Mwenyekiti wa Chadema Tundu Antipas Lissu atawasili Jumatano saa 7:35 mchana.

Mchungaji Msigwa amelazimika kutoendelea na Mikutano ya Musoma ili asimamie uratibu wa Mapokezi ya Lissu.

Chanzo: Clouds TV

Anamsubiri kwa hamu
 
Kabisa mkuu.

Hata kama ni chuki basi hii imepitiliza sana mkuu.

Akuwa kiongozi asiye kuwa na mazuri au mabaya lakini tunajiamanisha alikuwa na mabaya tu, halafu tunajisahau dunia ni mapito, mbele yake nyuma yetu.

Na ndio maana tunapewa tuliopo duniani kuwaombea wasamehe yale mabaya yao na tunakumbuka mazuri yao,ila kwa Mwandamizi kama yule akupaswa kuongea yale kabisa.

Ipo tofauti ya kubaki duniani au kuondoka duniani na kuondoa wengine duniani. Hapo ndipo ulipo mzizi wa fitna.

Wako wapi kina Lijenje Azory Ben au Mawazo?

Waliotaka kumwondoa Lissu tunalipi la kuwashangilia nalo?

Kulikoni kujifanya kuwa nyie ndiyo pekee mlio na huruma au kujali leo Chizi Maarifa ndugu misasa
 
Back
Top Bottom