johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
Msigwa asisahau kukumbushia na mabaya ya ccm ambayo amekuwa akituhubiria kwa miaka mingi. Kama yameshawekwa sawa pia asisite kutujuza.Usipange kukosa mkutano mkubwa wa hadhara katika Viwanja vya Mwembetogwa Iringa mjini tarehe 20 July
Mengi ya Chadema usiyoyajua yatawekwa hadharani siku hiyo
Ahsanteni Sana ππ
Kwako Mzee Mgaya
Mchungaji Msigwa hajasoma sekondari πΌMuulizeni kama ana cheti cha form IV maana inashindikana kupata uteuzi kwa kukosa sifa ππ€π
Haya πAyatoe tu mimi sifumbii macho mabaya haijalishi kafanya nani bali nayakemea.
Pia ikifika wakati yanatajwa mabaya yake msianze kusema anaonewa .
Punguza sauti mkuu,nahisi kituTaifa lilivo na wazeee wapumbavu kama Msigwa unafikiri Gen Z wanajifunza nn?
Piere yupo honey-moon anamzungumzia "mume wa zamani" mbele ya "mume mpya" badala akeshe "usiku kumsifia mume mpya" kwa shoo anayopewa!Usipange kukosa mkutano mkubwa wa hadhara katika Viwanja vya Mwembetogwa Iringa mjini tarehe 20 July
Mengi ya Chadema usiyoyajua yatawekwa hadharani siku hiyo
Ahsanteni Sana ππ
Kwako Mzee Mgaya
Ni Siasa za Vyama Vingi πHakika njaa mbaya sana.pole Sana Msigwa.
Nyerere anaitaje hawa watu?Hakika njaa mbaya sana.pole Sana Msigwa.
hatimaye hilo nalo litapita kihivoUsipange kukosa mkutano mkubwa wa hadhara katika Viwanja vya Mwembetogwa Iringa mjini tarehe 20 July
Mengi ya Chadema usiyoyajua yatawekwa hadharani siku hiyo
Ahsanteni Sana ππ
Kwako Mzee Mgaya
Nasikia lakini ni mfugaji wa kuku kama tajiri boni yaiBaba mkwe Msigwa naye jau sana,bora sikuoa binti yake niligonga tu,siku zote mwanaume ukipata hela wekeza kwanza jamaa anapenda sana mbususu tena zile za gharama huyu haoni wenzake kina sugu waliwekeza yeye akawa anatoo......dah basi tu niishie hapo.
Akili zao ziko tumboniπ€£π€£π€£π°ππ€£ππ€£Nyerere anaitaje hawa watu?
OMG, huyu si mchungaji ana kanisa la kizungu kabisa pale Iringa?Baba mkwe Msigwa naye jau sana,bora sikuoa binti yake niligonga tu,siku zote mwanaume ukipata hela wekeza kwanza jamaa anapenda sana mbususu tena zile za gharama huyu haoni wenzake kina sugu waliwekeza yeye akawa anatoo......dah basi tu niishie hapo.