Pre GE2025 Mchungaji Msigwa na MNEC Kasesela kuunguruma Iringa Mjini 20/07/2024, wataelezea Mabaya yote ya CHADEMA mkoani hapo!

Pre GE2025 Mchungaji Msigwa na MNEC Kasesela kuunguruma Iringa Mjini 20/07/2024, wataelezea Mabaya yote ya CHADEMA mkoani hapo!

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Usipange kukosa mkutano mkubwa wa hadhara katika Viwanja vya Mwembetogwa Iringa mjini tarehe 20 July

Mengi ya Chadema usiyoyajua yatawekwa hadharani siku hiyo

Ahsanteni Sana 😂😂

Kwako Mzee Mgaya
Sasa chadema tunaenda kuaibishwa, Mungu apishie mbali, huyu alikuwa kiongozi wetu mkubwa sana, na anajua mambo ya uvunguni mwa chama
 
Usipange kukosa mkutano mkubwa wa hadhara katika Viwanja vya Mwembetogwa Iringa mjini tarehe 20 July

Mengi ya Chadema usiyoyajua yatawekwa hadharani siku hiyo

Ahsanteni Sana 😂😂

Kwako Mzee Mgaya
Tutazidi kuwanyoosha paka akili zikae sawa. CCM OYEEE CCM MILELE , CCM FULL UPENDO
 

Attachments

  • IMG-20240718-WA0038.jpg
    IMG-20240718-WA0038.jpg
    138.1 KB · Views: 1
Baba mkwe Msigwa naye jau sana,bora sikuoa binti yake niligonga tu,siku zote mwanaume ukipata hela wekeza kwanza jamaa anapenda sana mbususu tena zile za gharama huyu haoni wenzake kina sugu waliwekeza yeye akawa anatoo......dah basi tu niishie hapo.
Sasa ndo huyu wa kumpa hela ati aigawe CDM, hivi CCM mna watu mule.
 
Usipange kukosa mkutano mkubwa wa hadhara katika Viwanja vya Mwembetogwa Iringa mjini tarehe 20 July

Mengi ya Chadema usiyoyajua yatawekwa hadharani siku hiyo

Ahsanteni Sana 😂😂

Kwako Mzee Mgaya
Kazi kwenu wana iringa mtapima muaamini kipi ni cha kweli toka mdomoni mwa mtu yule yule, je anachosema sasa Msigwa au kile alichokuwa anasema miaka ishirini iliyopita.
 
Chadema ni chama kilishokosa mwelekeo,MANGI KWA SASA YEYE ANAANGALIA MAOKOTO TUH.
 
Kazi kwenu wana iringa mtapima muaamini kipi ni cha kweli toka mdomoni mwa mtu yule yule, je anachosema sasa Msigwa au kile alichokuwa anasema miaka ishirini iliyopita.
Whats the difference,ni hao hao watu kama Mbowe na Tundu Lisu walimtangaza Marehem Lowasa katika ile list of shame mwembeyanga kama FISADI MKUU,and guess what,all of the sudden wakaja nyuma nyuma na kumfanya Mgombea wao wa URAIS HUKU WAKISEMA KUWA NI MZALENDO...CHAGUA WEWE SASA NANI WA KUMTRUST..!!
 
Back
Top Bottom