Pre GE2025 Mchungaji Msigwa na MNEC Kasesela kuunguruma Iringa Mjini 20/07/2024, wataelezea Mabaya yote ya CHADEMA mkoani hapo!

Pre GE2025 Mchungaji Msigwa na MNEC Kasesela kuunguruma Iringa Mjini 20/07/2024, wataelezea Mabaya yote ya CHADEMA mkoani hapo!

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Baba mkwe Msigwa naye jau sana,bora sikuoa binti yake niligonga tu,siku zote mwanaume ukipata hela wekeza kwanza jamaa anapenda sana mbususu tena zile za gharama huyu haoni wenzake kina sugu waliwekeza yeye akawa anatoo......dah basi tu niishie hapo.

Kwenye hiko sitaki kusema sana, ila jamaa ni dhaifu sana.
 
Usipange kukosa mkutano mkubwa wa hadhara katika Viwanja vya Mwembetogwa Iringa mjini tarehe 20 July

Mengi ya Chadema usiyoyajua yatawekwa hadharani siku hiyo

Ahsanteni Sana 😂😂

Kwako Mzee Mgaya


Yaani mwezi juzi agombee wenyeliti ashidwe leo eti anaeleza mabaya. Kwanini alikuwa anagombea wenyekiti hayo mabaya alikuwa hayafahamu. Au ukweli ni kwamba alikuwa pandikizi🤔
 
Usipange kukosa mkutano mkubwa wa hadhara katika Viwanja vya Mwembetogwa Iringa mjini tarehe 20 July

Mengi ya Chadema usiyoyajua yatawekwa hadharani siku hiyo

Ahsanteni Sana 😂😂

Kwako Mzee Mgaya
Sikujua Iringa kama ina watu wajinga kiasi hicho, Chalamila, Msigwa, Kasesele na yule mama Mbunge
 
Yaani mwezi juzi agombee wenyeliti ashidwe leo eti anaeleza mabaya. Kwanini alikuwa anagombea wenyekiti hayo mabaya alikuwa hayafahamu. Au ukweli ni kwamba alikuwa pandikizi🤔
Mapandikizi hayo.Unakumbuka enzi za Jiwe baada ya watu wa CHADEMA kwekwa ndani Magufuri alimtolea hela ili atoke.
 
Mkiwa wawili mnamfukuzia demu mmoja Kisha wewe ukawa Kila ukikutana na demu unamkandia mshindani wako badala ya kumwaga sumu kwa binti basi ujue unazidi kumpaisha mpinzani wako na mwisho utamkosa huyo binti.
 
Usipange kukosa mkutano mkubwa wa hadhara katika Viwanja vya Mwembetogwa Iringa mjini tarehe 20 July

Mengi ya Chadema usiyoyajua yatawekwa hadharani siku hiyo

Ahsanteni Sana 😂😂

Kwako Mzee Mgaya
So far ataongea yale yale ambayo alikwisha kuongea awali ajifunze waliondoka watu wazito na maisha yakaendelea nae amtumikie kafili apate ujira wake lakini ajue usaliti unarudi kwa anaeufanya kama alishindwa kuendelea kua mwanachama sasa aje agombee huku ndio atajua hajui kirusi komeondoka
 
Usipange kukosa mkutano mkubwa wa hadhara katika Viwanja vya Mwembetogwa Iringa mjini tarehe 20 July

Mengi ya Chadema usiyoyajua yatawekwa hadharani siku hiyo

Ahsanteni Sana 😂😂

Kwako Mzee Mgaya
Kati ya vitu vya kipumbavu Ccm wana fanya ni kuifanya chadema kama sera yao.
Watuambie ni lini wata acha wizi?
Ni lini wata acha kutudanganya
Wao ndio wenye serikali leo kununua makapi toka upinzani na kujiona wame win ni utindii wa akili. Siku tegemea Makala ni hewa kiasi hiki.
 
Kwahiyo matatizo na kero za kimaisha kwa Watanzania-Umasikini,Ujinga na Maradhi..mmeyamaliza!?Sasa adui ni CHADEMA?!...Mnalaana nyie..mb.wa..
Kweli hao majamaa ni mbwa matatizo lukuki yanayoikumba nchi hii wameshindwa kuyakabili ila wanapambana na CHADEMA ambayo haihusiki kwa jambo lolote.
 
Tutawapima vijana wa iringa akili zao wakati na baada ya mkutano
 
Back
Top Bottom