Yesu Anakuja
JF-Expert Member
- Apr 10, 2019
- 12,675
- 25,924
hawa kuna kipindi walitaka kushikana mashati mbele za watu, ila sasaivi wanakula kwenye sahani moja. hii ndio siasa.Usipange kukosa mkutano mkubwa wa hadhara katika Viwanja vya Mwembetogwa Iringa mjini tarehe 20 July
Mengi ya Chadema usiyoyajua yatawekwa hadharani siku hiyo
Ahsanteni Sana ππ
Kwako Mzee Mgaya
Mradi wa mke wake huo toka kitambo sana haufikii wa boni yai lakini.huyu mwamba tatizo ni pesa wala haichukii chadema.Nasikia lakini ni mfugaji wa kuku kama tajiri boni yai
Lakini pia wasitake kutuondoa kwenye lengo kuu wiki hii juu ya ile video ya Nepi.Haya π
Peter Msigwa hana Kanisa alikuwa anafanya Ibada pale Cates hotel kwa Ras!OMG, huyu si mchungaji ana kanisa la kizungu kabisa pale Iringa?
Washirika wake watamuamini kweli kumpa hata siri za ndoa , siku wakihama si atawatangaza?
Tamaa na njaa ni adui wa taifa kwa sasa, monopoly system ya ccm.imeita miziziAyatoe tu mimi sifumbii macho mabaya haijalishi kafanya nani bali nayakemea.
Pia ikifika wakati yanatajwa mabaya yake msianze kusema anaonewa .
Ilikuwa pale Nduli airport πΌhawa kuna kipindi walitaka kushikana mashati mbele za watu, ila sasaivi wanakula kwenye sahani moja. hii ndio siasa.
Mwanamke akiachwa na mwanaume husema mabaya yote na hata yale ambayo mwanaume hana,mara mume wangu hajui mapenzi,ana uume mdogo,ni jambazi,ni mwizi,ni bahili,hatoi hata hela ya matumizi nk.Usipange kukosa mkutano mkubwa wa hadhara katika Viwanja vya Mwembetogwa Iringa mjini tarehe 20 July
Mengi ya Chadema usiyoyajua yatawekwa hadharani siku hiyo
Ahsanteni Sana ππ
Kwako Mzee Mgaya
Ooh , sawa ,Ni nabii ?Peter Msigwa hana Kanisa alikuwa anafanya Ibada pale Cates hotel kwa Ras!
hapa mwishoni si alijenga kanisa kihesha mbele ya iringa university unapoelekea dodoma. kuna kibao cha kanisa lake. though pamoja na kuwa na kanisa bado kashfa za kiburi na kufumua nje ya ndoa ameendelea kuwa nazo.Ooh , sawa ,Ni nabii ?
Aah , pale Bwawani? kama unaenda Nduli uwanja wa Ndege?hapa mwishoni si alijenga kanisa kihesha mbele ya iringa university unapoelekea dodoma. kuna kibao cha kanisa lake.
kama njaa, wote wana njaa, hata mbowe na timu yake wana njaa ndio maana wapo tayari kulamba asali na kuendelea kuwadanganya wabongo waandamane kwa ajili yao. wote wale wale tu. msigwa anatafuta pesa, na mwobwe anatafuta pesa.Anajidharilisha mnoo,hata kama ni njaa imevuka mipaka.
Malaya malayaNyerere anaitaje hawa watu?
Lile ni Kanisa la kaka yake siyo la Peter πΌhapa mwishoni si alijenga kanisa kihesha mbele ya iringa university unapoelekea dodoma. kuna kibao cha kanisa lake. though pamoja na kuwa na kanisa bado kashfa za kiburi na kufumua nje ya ndoa ameendelea kuwa nazo.
Loh, anapiga watoto wa Chuo RUCO au anajipigia "kondoo zake?hapa mwishoni si alijenga kanisa kihesha mbele ya iringa university unapoelekea dodoma. kuna kibao cha kanisa lake. though pamoja na kuwa na kanisa bado kashfa za kiburi na kufumua nje ya ndoa ameendelea kuwa nazo.