Sasa chadema tunaenda kuaibishwa, Mungu apishie mbali, huyu alikuwa kiongozi wetu mkubwa sana, na anajua mambo ya uvunguni mwa chamaUsipange kukosa mkutano mkubwa wa hadhara katika Viwanja vya Mwembetogwa Iringa mjini tarehe 20 July
Mengi ya Chadema usiyoyajua yatawekwa hadharani siku hiyo
Ahsanteni Sana ππ
Kwako Mzee Mgaya
Kweli yule ni tumbiliHaka kajamaa kamesha changanyikiwa hakuna mutu anayekasikiliza kwisha kabisa
Watasema na ya CCM?Usipange kukosa mkutano mkubwa wa hadhara katika Viwanja vya Mwembetogwa Iringa mjini tarehe 20 July
Mengi ya Chadema usiyoyajua yatawekwa hadharani siku hiyo
Ahsanteni Sana ππ
Kwako Mzee Mgaya
Mtazamo wake na wakoAcheni uzuzu.
Wakitoka CCM kuja upinzani mnawaita mashujaa, wakiyoka kwenu mnawaona wapumbavu.
Kisha mnahubiri uhuru wa maoni na kuheshimu katiba.
Msigwa yupo sahihi kwa mtazamo wake
Tutazidi kuwanyoosha paka akili zikae sawa. CCM OYEEE CCM MILELE , CCM FULL UPENDOUsipange kukosa mkutano mkubwa wa hadhara katika Viwanja vya Mwembetogwa Iringa mjini tarehe 20 July
Mengi ya Chadema usiyoyajua yatawekwa hadharani siku hiyo
Ahsanteni Sana ππ
Kwako Mzee Mgaya
π€£π€£Nimekaa paleeeUsipange kukosa mkutano mkubwa wa hadhara katika Viwanja vya Mwembetogwa Iringa mjini tarehe 20 July
Mengi ya Chadema usiyoyajua yatawekwa hadharani siku hiyo
Ahsanteni Sana ππ
Kwako Mzee Mgaya
Ss unabisha nn?Peter Msigwa hana Kanisa alikuwa anafanya Ibada pale Cates hotel kwa Ras!
Analo kanisa,mi nipo iringa achana na huyo hajuiKwahiyo mwana ni Jobless?
Dah, njaa imehamia kichwani kakimbia chama.
Sasa ndo huyu wa kumpa hela ati aigawe CDM, hivi CCM mna watu mule.Baba mkwe Msigwa naye jau sana,bora sikuoa binti yake niligonga tu,siku zote mwanaume ukipata hela wekeza kwanza jamaa anapenda sana mbususu tena zile za gharama huyu haoni wenzake kina sugu waliwekeza yeye akawa anatoo......dah basi tu niishie hapo.
PCCB wamakamate Msigwa ataje chama kilichotoa hela kwa CHADEMA kifutwe, then [mpokeaji ] naye afutiwe usajili tubaki na CUF na NCCR MAGEUZI.Sasa ndo huyu wa kumpa hela ati aigawe CDM, hivi CCM mna watu mule.
Kazi kwenu wana iringa mtapima muaamini kipi ni cha kweli toka mdomoni mwa mtu yule yule, je anachosema sasa Msigwa au kile alichokuwa anasema miaka ishirini iliyopita.Usipange kukosa mkutano mkubwa wa hadhara katika Viwanja vya Mwembetogwa Iringa mjini tarehe 20 July
Mengi ya Chadema usiyoyajua yatawekwa hadharani siku hiyo
Ahsanteni Sana ππ
Kwako Mzee Mgaya
Whats the difference,ni hao hao watu kama Mbowe na Tundu Lisu walimtangaza Marehem Lowasa katika ile list of shame mwembeyanga kama FISADI MKUU,and guess what,all of the sudden wakaja nyuma nyuma na kumfanya Mgombea wao wa URAIS HUKU WAKISEMA KUWA NI MZALENDO...CHAGUA WEWE SASA NANI WA KUMTRUST..!!Kazi kwenu wana iringa mtapima muaamini kipi ni cha kweli toka mdomoni mwa mtu yule yule, je anachosema sasa Msigwa au kile alichokuwa anasema miaka ishirini iliyopita.
Tutazidi kuwanyoosha paka akili zikae sawa. CCM OYEEE CCM MILELE , CCM FULL UPENDO
Msambatavangu vs Msigwa!Wananchi wa Iringa wataiona betray kwa macho yao kabisa. Sipati picha ni namna gani mioyo yao itajaa maumivu.
Bwashe kampeni zishaanza?Usipange kukosa mkutano mkubwa wa hadhara katika Viwanja vya Mwembetogwa Iringa mjini tarehe 20 July
Mengi ya Chadema usiyoyajua yatawekwa hadharani siku hiyo
Ahsanteni Sana ππ
Kwako Mzee Mgaya
Haka kajamaa kamesha changanyikiwa hakuna mutu anayekasikiliza kwisha kabisa