Mchungaji Msigwa: Nimejifafakari, nimetafiti na nimechunguza na kujiridhisha kuwa Tanzania iko salama chini ya Rais Samia na CCM haina mbadala!

Mchungaji Msigwa: Nimejifafakari, nimetafiti na nimechunguza na kujiridhisha kuwa Tanzania iko salama chini ya Rais Samia na CCM haina mbadala!

Baada ya mkeka wa teuzi Kutoka mchungaji Msigwa amesema ana Imani kubwa sana na Rais Samia na kwamba hajutii kuhamia CCM kwani haina mbadala.

“Nimechunguza, Nimetafiti, Nimetafakari, Nimelingalisha, Nimetofautisha, Nimejiridhisha na kutoka na hitimisho kuwa Tanzania iko salama mikononi mwa CCM china ya Uongozi wa Dr SSH. Kwa sasa hakuna chama kingine cha siasa kinaweza kuwa mbadala wa CCM.”

Mchungaji Msigwa ameandika Ukurasani X

Shughuli ya hilo tambara itaisha. 2025....litatafutwa tena kwa matumizi baada ya miiaka mitano wakati wa kutafuta uzazi mwingine.
Kama bado litakuwepo!
 
Baada ya mkeka wa teuzi Kutoka mchungaji Msigwa amesema ana Imani kubwa sana na Rais Samia na kwamba hajutii kuhamia CCM kwani haina mbadala.

“Nimechunguza, Nimetafiti, Nimetafakari, Nimelingalisha, Nimetofautisha, Nimejiridhisha na kutoka na hitimisho kuwa Tanzania iko salama mikononi mwa CCM china ya Uongozi wa Dr SSH. Kwa sasa hakuna chama kingine cha siasa kinaweza kuwa mbadala wa CCM.”

Mchungaji Msigwa ameandika Ukurasani X

Yani hiyo ni " Mama Mbona umanisahau...nipoo".

Njaa ni LAANA..
 
Vipi kwenye haya mabadiliko ya Mawaziri hakukumbukwa?
 
Baada ya mkeka wa teuzi Kutoka mchungaji Msigwa amesema ana Imani kubwa sana na Rais Samia na kwamba hajutii kuhamia CCM kwani haina mbadala.

“Nimechunguza, Nimetafiti, Nimetafakari, Nimelingalisha, Nimetofautisha, Nimejiridhisha na kutoka na hitimisho kuwa Tanzania iko salama mikononi mwa CCM china ya Uongozi wa Dr SSH. Kwa sasa hakuna chama kingine cha siasa kinaweza kuwa mbadala wa CCM.”

Mchungaji Msigwa ameandika Ukurasani X

Usiseme Mchungaji Msigwa sema Chawa Msigwa. Lini ulimuona madhabahuni? Huyo ni mhuni tu kama wahuni wengine huko CCM.
 
Tuliwaambia chadema mapema kama UCHAGA ukiwaacha Salama basi Udini na kuendekeza MAASKOFU kwenye CHAMA chao utawamaliza,wanavuna sasa walichokipanda.
Mkumbusheni chura kiziwi amkumbuke japo kwenye ukuu wa wilaya . By the way , endeleeni kuteka na kuwapoteza wapinzani, ndicho mnachoweza kukifanya kwa mafanikio kwa Sasa .
 
Hebu tujiulize kidogo tu. Hawa chadema hawana wanachama hai hata milioni tano lakini wameshindwa kuaminiana na kupokezana nafasi ya uenyekiti. Hivi wakishika dola watakubali kweli na wao kushindwa kwenye uchaguzi? Yanni kwenye familia hamuaminiani mnataka tuwape kijiji kweli?. Nasubiri matusi kutoka kwa wenye mahaba yao 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Kwani nchi ni ya ccm, Chadema au wananchi!? Kama wananchi ndio wanaamua nani awaongoze, maamuzi yao yaheshimiwe, sio huu upumbavu wa chaguzi zenu za kiini macho .
 
Baada ya mkeka wa teuzi Kutoka mchungaji Msigwa amesema ana Imani kubwa sana na Rais Samia na kwamba hajutii kuhamia CCM kwani haina mbadala.

“Nimechunguza, Nimetafiti, Nimetafakari, Nimelingalisha, Nimetofautisha, Nimejiridhisha na kutoka na hitimisho kuwa Tanzania iko salama mikononi mwa CCM china ya Uongozi wa Dr SSH. Kwa sasa hakuna chama kingine cha siasa kinaweza kuwa mbadala wa CCM.”

Mchungaji Msigwa ameandika Ukurasani X

Ameshashibishwa lazima atetee tumbo lake.
 
Baada ya mkeka wa teuzi Kutoka mchungaji Msigwa amesema ana Imani kubwa sana na Rais Samia na kwamba hajutii kuhamia CCM kwani haina mbadala.

“Nimechunguza, Nimetafiti, Nimetafakari, Nimelingalisha, Nimetofautisha, Nimejiridhisha na kutoka na hitimisho kuwa Tanzania iko salama mikononi mwa CCM china ya Uongozi wa Dr SSH. Kwa sasa hakuna chama kingine cha siasa kinaweza kuwa mbadala wa CCM.”

Mchungaji Msigwa ameandika Ukurasani X

Siku mjombake akibinywa PUMBU ataelewa
 
Baada ya mkeka wa teuzi Kutoka mchungaji Msigwa amesema ana Imani kubwa sana na Rais Samia na kwamba hajutii kuhamia CCM kwani haina mbadala.

“Nimechunguza, Nimetafiti, Nimetafakari, Nimelingalisha, Nimetofautisha, Nimejiridhisha na kutoka na hitimisho kuwa Tanzania iko salama mikononi mwa CCM china ya Uongozi wa Dr SSH. Kwa sasa hakuna chama kingine cha siasa kinaweza kuwa mbadala wa CCM.”

Mchungaji Msigwa ameandika Ukurasani X

 

Attachments

  • FB_IMG_1719911395141.jpg
    FB_IMG_1719911395141.jpg
    48.4 KB · Views: 2
Back
Top Bottom