Pre GE2025 Mchungaji Msigwa: Nitazunguka Nchi nzima kuelezea Uongo wa CHADEMA

Pre GE2025 Mchungaji Msigwa: Nitazunguka Nchi nzima kuelezea Uongo wa CHADEMA

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)

johnthebaptist

JF-Expert Member
Joined
May 27, 2014
Posts
97,869
Reaction score
171,716
Kada wa CCM mchungaji Msigwa amesema atazunguka nchi nzima kuelezea uwongo na ulaghai wa Chadema

Msigwa ameomba awezeshwe Ili aungane na Wanaccm wenzake kuisambalatisha Chadema
---

"Ni matumaini yangu kama Mheshimiwa Rais (Dkt. Samia Suluhu Hassan) alivyosema kazi zipo nyingi za kufanya za kushirikiana kukijenga chama (CCM), nitashirikiana na wengine kuzunguka Tanzania nzima kuwaambia wananchi usanii wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) ambao viongozi wa juu wanawaaminisha wananchi vile ambavyo hawako, na ni kitu kibaya sana.

Tunaongea mambo ambayo hatuyaishi, tunaongea kuhusu demokrasia; ndani ya chama (CHADEMA) hakuna demokrasia, tunaongea kuhusu ufisadi; ndani ya chama kuna ufisadi, tunaongea kuhusu haki; ndani ya chama hakuna haki. Tusimame tukiwa wasafi, na mimi nafsi imenisuta kuwadanganya wananchi kwamba serikali ya Chama Cha Mapinduzi ni mbaya wakati sisi ni wabaya, ni wabaya wabaya zaidi"- Mch. Peter Msigwa.

Nukuu ya aliyekuwa Mjumbe wa Kamati Kuu ya CHADEMA na Mwenyekiti wa chama hicho kanda ya Nyasa Mchungaji Peter Msigwa baada ya kujiondoa CHADEMA na kujiunga na CCM.

Credit Jambo TV

My take; JK aliwahi kusema Chadema ni Kiwanda cha Uwongo

PIA SOMA
- Kuelekea 2025 - Aliyekuwa Mwenyekiti wa CHADEMA Kanda ya Nyasa, Mchungaji Peter Msigwa ahamia CCM
 
Uongo wake au wa CHADEMA?
Huyu jamaa mtu akikusanya clips zote alizosema kuhusu CCM wakati akiwa CHADEMA unaweza kufikiri ni watu wawili tofauti. Aliwahi kusema siku akienda CCM, watu wachome nyumba yake. Aliwahi kusema CCM ni akili ndogo na katu hawawezi kuleta maendeleo. Ni mengi sana, nashangaa hata huko CCM wanawezaje kukaa naye hata dakika tano.
 
Uongo wake au wa CHADEMA?
Huyu jamaa mtu akikusanya clips zote alizosema kuhusu CCM wakati akiwa CHADEMA unaweza kufikiri ni watu wawili tofauti. Aliwahi kusema siku akienda CCM, watu wachome nyumba yake. Aliwahi kusema CCM ni akili ndogo na katu hawawezi kuleta maendeleo. Ni mengi sana, nashangaa hata huko CCM wanawezaje kukaa naye hata dakika tano.
Usifanye mchezo na taaluma itegemeayo kula na shibe yake vipatikane kupitia aina na wingi wa maneno asemayo mtu bila kujali ubora wala uhalisia.

Kama alisafishwa Lowassa na Sumaye, seuze RC-in-waiting, Comrade PM???
 
Kada wa CCM mchungaji Msigwa amesema atazunguka nchi nzima kuelezea uwongo na ulaghai wa Chadema

Msigwa ameomba awezeshwe Ili aungane na Wanaccm wenzake kuisambalatisha Chadema

Credit Jambo TV

My take; JK aliwahi kusema Chadema ni Kiwanda cha Uwongo
Kwa nini asitumie nguvu hiyo kueneza itikadi ya CCM....Hawa wanasiasa wetu veepe?
 
Kada wa CCM mchungaji Msigwa amesema atazunguka nchi nzima kuelezea uwongo na ulaghai wa Chadema

Msigwa ameomba awezeshwe Ili aungane na Wanaccm wenzake kuisambalatisha Chadema

Credit Jambo TV

My take; JK aliwahi kusema Chadema ni Kiwanda cha Uwongo
Angeachana na hizo agenda afocus kujenga chama chake na uchaguzi wa local government
 
Kada wa CCM mchungaji Msigwa amesema atazunguka nchi nzima kuelezea uwongo na ulaghai wa Chadema

Msigwa ameomba awezeshwe Ili aungane na Wanaccm wenzake kuisambalatisha Chadema

Credit Jambo TV

My take; JK aliwahi kusema Chadema ni Kiwanda cha Uwongo
Hahahaha dah niko seat ya nyuma kujionea chaos ya siasa za nchi hii
 
Kada wa CCM mchungaji Msigwa amesema atazunguka nchi nzima kuelezea uwongo na ulaghai wa Chadema

Msigwa AMEOMBA AWEZESHWE Ili aungane na Wanaccm wenzake kuisambalatisha Chadema

Credit Jambo TV

My take; JK aliwahi kusema Chadema ni Kiwanda cha Uwongo
Apo kwenye kuwezeshwa ndo kunathibitisha kuwa ni mchumia tumbo.
 
Kada wa CCM mchungaji Msigwa amesema atazunguka nchi nzima kuelezea uwongo na ulaghai wa Chadema

Msigwa ameomba awezeshwe Ili aungane na Wanaccm wenzake kuisambalatisha Chadema

Credit Jambo TV

My take; JK aliwahi kusema Chadema ni Kiwanda cha Uwongo
Hawezi, alijaribu Upendo Penaza sahivi yuko wapi? kwisha, Mashinji wapi?
 
Asisahau jinsi Tapeli la Kichaga linakula ruzuku na vimada wake

Aeleze jinsi mbowe anaejifanya doni anavyowaibia Chadema

Kila la heri Msigwa

Yule bwege analala kwa boni yai anasaka kiki kibwege sana
Yule ni wakupuuzwa mkuu
 
Angeachana na hizo agenda afocus kujenga chama chake na uchaguzi wa local government
Kwani unayafahamu makubaliano aliyofikia PM kabla hajaridhia kubwaga manyanga?

What if (and we all know it's true), kwamba kuwepo na kudumu kwake upande wa pili kunategemea sana aina ya hewa atakayowamiminia marafiki zake aliowageuza wapinzani?
 
Kada wa CCM mchungaji Msigwa amesema atazunguka nchi nzima kuelezea uwongo na ulaghai wa Chadema

Msigwa ameomba awezeshwe Ili aungane na Wanaccm wenzake kuisambalatisha Chadema

Credit Jambo TV

My take; JK aliwahi kusema Chadema ni Kiwanda cha Uwongo
Chadema itazunguka nchi nzma kueleza usaliti wa msigwa, shida iko wapi? Abdul alimlambisha hela ,.....itawekwa wazi soon
 
Back
Top Bottom