Pre GE2025 Mchungaji Msigwa: Nitazunguka Nchi nzima kuelezea Uongo wa CHADEMA

Pre GE2025 Mchungaji Msigwa: Nitazunguka Nchi nzima kuelezea Uongo wa CHADEMA

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
haraka hivyo amekuwa kada wa ccm? Sema aliyewahi kuwa kada wa chadema utaeleweka vema
 
Upendo peneza airtime yake imeshaisha sanhizi yupo anapelekewa omoto

Sasa ni zamu ya msigwa kupata airtime ya mda kabla kabla hajatulia na kuanza kuimba nyimbo za anaupiga mwingingi

Jamaa alikua anaona wivu jinsi lissu anavyozunguka na yeye katamani, anadhani garama za kukusanya watu wa ccm wajae kwenye mkutano wake ni ndogo?
 
Chadema wasimjibu msaliti huyo wamuache usaliti uchukue nafasi yake. Bora akae kimya asubiri uteuzi huko ccm apate ulaji maisha yake ya siasa za kinafiki yaendelee
 
Hakuna watu wanafiki kama wanasiasa
Kwa mwaka anaweza kuongelea kitu kimoja ila tofauti zake mia

Wao wanaona ni sawa tu kwa sababu ndio sehemu wanapotafutia riziki iwe halali au haramu, ingawa haramu ni nyingi zaidi

Wapunguze unafiki, kuna wakati wanasiasa huwa wanazira wakiachika kwa hiyo tunaelewa
 
Kada wa CCM mchungaji Msigwa amesema atazunguka nchi nzima kuelezea uwongo na ulaghai wa Chadema

Msigwa ameomba awezeshwe Ili aungane na Wanaccm wenzake kuisambalatisha Chadema

Credit Jambo TV

My take; JK aliwahi kusema Chadema ni Kiwanda cha Uwongo
Laana ya kumtukana Magufuli itawatafuna Chadema
 
Kada wa CCM mchungaji Msigwa amesema atazunguka nchi nzima kuelezea uwongo na ulaghai wa Chadema

Msigwa ameomba awezeshwe Ili aungane na Wanaccm wenzake kuisambalatisha Chadema

Credit Jambo TV

My take; JK aliwahi kusema Chadema ni Kiwanda cha Uwongo
Siasa Tamu Sana
 
kunq haja serikali itafute watu watakaozunguka nchi nzima kutukumbusha kama raia tunakwama wapi na nini mtu mmoja mmoja afanye kutoka hapo alipokwama.

Mheshimiwa mchungaji hata sura yake kwa sasa naona imepoteza mvuto, nuru na uangavu. Kuna haja ya yeye kuzunguka kuelezea mazuri ya alikohamia na sio ubaya wa alikotoka maana hiyo kazi imeshafanywa vizuri na watangulizi wake.
 
Kada wa CCM mchungaji Msigwa amesema atazunguka nchi nzima kuelezea uwongo na ulaghai wa Chadema

Msigwa ameomba awezeshwe Ili aungane na Wanaccm wenzake kuisambalatisha Chadema

Credit Jambo TV

My take; JK aliwahi kusema Chadema ni Kiwanda cha Uwongo
Kayasema haya!
Naona umeweka 'credit' kabisa ya alipo yasemea.

Naona muujiza unakuja kutokea Tanzania kwa mara ya kwanza kabisa.

Hata "MAITI" wataanza kufufuka kwa mwendo huu!

Aliyewaita waTanzania 'MAITI' atakuja kujuta sana.
 
Hii nchi ukikaa kweny kivuli umetuliq na kupata maji makubwa ....huku ukitafakari utagundua hivi vyama viliwi vinajuana kindak ndaki na vipo hapo kuwapumbaza wananchi
 
Uongo wake au wa CHADEMA?
Huyu jamaa mtu akikusanya clips zote alizosema kuhusu CCM wakati akiwa CHADEMA unaweza kufikiri ni watu wawili tofauti. Aliwahi kusema siku akienda CCM, watu wachome nyumba yake. Aliwahi kusema CCM ni akili ndogo na katu hawawezi kuleta maendeleo. Ni mengi sana, nashangaa hata huko CCM wanawezaje kukaa naye hata dakika tano.
wengi wa viongozi wa chadema waliwahi kusema hayati lowassa ni fisadi na baadaye wakabadili kauli, unadhani kuna tofauti na anachokisema mchungaji?
 
Kada wa CCM mchungaji Msigwa amesema atazunguka nchi nzima kuelezea uwongo na ulaghai wa Chadema

Msigwa ameomba awezeshwe Ili aungane na Wanaccm wenzake kuisambalatisha Chadema

Credit Jambo TV

My take; JK aliwahi kusema Chadema ni Kiwanda cha Uwongo
Sawa kwahiyo mama abdul kamjazia full tank, walikwepo wakapita naye viyohvyo
 
..wiki iliyopita Msigwa alikuwa anawaambia wananchi Ccm imewapelekea umasikini, leo anataka kugeuza kauli yake?

..Je, Msigwa atakwenda kuwashawishi wananchi kwamba umasikini wao umesababishwa na Mbowe au Chadema?

..Huyu bwana amepotoka. Msigwa alipaswa kutafuta chama kitakachompa platform ya kusema yale aliyokuwa akisema alipokuwa Chadema. Sio chama kitakachomlazimisha ayakane yote aliyoyaamini na kuyasema kwa miaka 20+ na yakampa umaarufu, na uongozi.
ngoja aanze kuzunguka clips zake zote tutaziweka hewani
 
Upendo peneza airtime yake imeshaisha sanhizi yupo anapelekewa omoto

Sasa ni zamu ya msigwa kupata airtime ya mda kabla kabla hajatulia na kuanza kuimba nyimbo za anaupiga mwingingi

Jamaa alikua anaona wivu jinsi lissu anavyozunguka na yeye katamani, anadhani garama za kukusanya watu wa ccm wajae kwenye mkutano wake ni ndogo?
Kiukweli msigwa kachemsha.
 
..Msigwa atazunguka nchi nzima kueleza uongo wake, au uongo wa Chadema?
Ni Msigwa yule yule aliyekuwa anagombea uenyekiti wa kanda ya Nyasa? Afadhali hawakumchagua!! Nashindwa kupata picha ingekuwaje mwenyekiti ndani ya chama kinacho simamia asiyo yaamini. Chama kinachodanganya Watanzania!! Ama kweli kama kuna watu watamsikiliza nitaamini kuwa aliyewaloga alishakufa!!
 
Kila la kheri Msigwa lakini ongea ukweli sio Propaganda za CCM.
 
Back
Top Bottom