Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
Hiko ndiyo Chama cha Demokrasia na Maendeleo.........
Face yake Kama karamba ndimu!! Hana hata haya, mchungaji muongo muongo!!!Face yake tu inafaa kua balozi wa mtaa..anadhani uRais ni kitu cha kujaribu jaribu..
Kajinga kajinga fulani hiviFace yake Kama karamba ndimu!! Hana hata haya, mchungaji muongo muongo!!!
Msigwa hana fedha ya kampeni......Mzee Mtei ameshampitisha Lazaro Nyalandu!
Mkuu kama Magufuli mwenye suti ile ya idriss sultan kawa rais unadhani ni yupi mwingine atashindwa ?Face yake tu inafaa kua balozi wa mtaa..anadhani uRais ni kitu cha kujaribu jaribu..
Safi. Huko Urais poa tatizo jaribu Uenyekiti. Waliojaribu wote mwaka huu wako nje ya fensi sasa.Hiko ndiyo Chama cha Demokrasia na Maendeleo.........
Siyo kile chama kingine, wakisikia tu fununu mtu anataka kuchukua fomu, kupambana na Jiwe, anafukuzwa kwenye Chama!
wako wapi na kwanini wako huko ?Safi. Huko Urais poa tatizo jaribu Uenyekiti. Waliojaribu wote mwaka huu wako nje ya fensi sasa.
Mwakalebela kilichomkuta 2015 hatokisahau kudadeki zake ! aishukuru Yanga kwa kumsitiriKosa la Jakaya kulazimisha Monica Mbega aendelee kuwa Mbunge badala ya Mwakalebela ndio lilimuibua Huyu Mchungaji feki
Endelea kuaminishwa ujingaElimu hana cheti pekee alichonacho ni cha ubatizo
umedanganywa kibwege sana !Jamaa mnamuona kama anaigiza,ila anaongeza cv.
Utasikia yuko u.s.a kapewa kazi ya maana, baada ya kukosa ubunge 2020
Ccm iliweka rekodi ya wagombea urais 2015 mpaka mkulima toka kigoma alichukua fomu ya uraisi. Wagombea zaid ya 40.Hiko ndiyo Chama cha Demokrasia na Maendeleo.........
Siyo kile chama kingine, wakisikia tu fununu mtu anataka kuchukua fomu, kupambana na Jiwe, anafukuzwa kwenye Chama!
Mmmh na huko nako ukijipitisha pitisha kwenye uenyekiti coco beach inakuhusu na jiwe la kilo 10 shingoni . MweeeeHiko ndiyo Chama cha Demokrasia na Maendeleo.........
Siyo kile chama kingine, wakisikia tu fununu mtu anataka kuchukua fomu, kupambana na Jiwe, anafukuzwa kwenye Chama!
mwaka huu imekuwaje ?Ccm iliweka rekodi ya wagombea urais 2015 mpaka mkulima toka kigoma alichukua fomu ya uraisi. Wagombea zaid ya 40.