CCM MKAMBARANI
JF-Expert Member
- Mar 15, 2017
- 2,031
- 1,514
KwahiyoMnyika amefunga ndoa 🐼
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
KwahiyoMnyika amefunga ndoa 🐼
Yuko fungate 🐼Kwahiyo
Ripota wa Chadema wa kujitegemea, umewahiwaSafari ya Matumaini imeanza 😂😂
Lakini ukishindwa kubali.Mchungaji Peter Msigwa akizungumza Jumatano kwenye mkutano wa hadhara wa Makamu Mwenyekiti wa CHADEMA bara
Bora yetu sisi huku tumeshazoea kuanzia serikali ya mtaa hadi urais.A pot calling a kettle black. Uchaguzi wa Kanda tu hamuwezi kuuendesha bila figisu halafu mnapata wapi moral authority ya kulaumu?
Uchaguzi wa Kanda tu Msigwa analia Pambalu anaweweseka kwa madai ya hujuma.
Tutawaunga sana mkono!Mchungaji Peter Msigwa akizungumza Jumatano kwenye mkutano wa hadhara wa Makamu Mwenyekiti wa CHADEMA bara Tundu Lissu uliofanyika Jumatano Juni 05, 2024 katika Kijiji Ughandi -Singida Kaskazini amesema kuwa "Ikitokea Mkurugenzi hamridhiki naye mkitaka kumtoa, hamna uwezo wa kumtoa mpaka Rais aamue, hata madiwani kama mnataka kumtoa uwezo hamna wa kumtimua mpaka Rais aamue”
Mnalazimishwa kulipa kodi, mnapeleka Halmashauri. Mbunge mliyemchagua awatetee hana uwezo kwasababu mkurugenzi anapata amri kutoka kwa Rais, hii ni akili au Matope?
Huu ni mfumo kandamizi na wa kikoloni ndiyo maana huwa mnasikia maelekezo kutoka juu kwa sababu Rais amamteua Jaji Mkuu, ukiwa na kesi Rais anaweza kumwagiza Jaji Mkuu peleka taarifa mpaka mahakama ya Wilaya hawa walioshtakiwa wafungwe, hakimu anaweza kumbishia Jaji Mkuu?
Hivi mwenye chama ni Mbowe, au wanachama wa CHADEMA?Wewe mwenye akili endelea kuota.Matamanio na uhalisia ni mambo mawili tofauti kabisa.
Uko huru kuendelea kuota.Njozi njema.
Hao watu wamejitambulisha kuwa wao ni akina nani, au wametumwa na nani?Tutawaunga sana mkono!
Ila tambueni Kuna mambo CCM wanayafanya huku mtaani.!
Leo J5 nikiwa kibaruani kwangu dukani I lala! Wakaja watu wana fomu za kujaza eti tunaratibu maoni kuelekea uchaguzi 2024 na 2025.
Je ni kinaendelea nyuma ya pazia!
Kuweni makini kumbukeni upuuzi uliofanywa 2020 hakufanya Magu JPM peke yake.
Namheshimiwa yuko kukopa kwenda mbele hizo ndio za kupiga!!! Nawaza itakuwaje!!
Peter kama MsigwaMchungaji Peter Msigwa akizungumza Jumatano kwenye mkutano wa hadhara wa Makamu Mwenyekiti wa CHADEMA bara Tundu Lissu uliofanyika Jumatano Juni 05, 2024 katika Kijiji Ughandi -Singida Kaskazini amesema kuwa "Ikitokea Mkurugenzi hamridhiki naye mkitaka kumtoa, hamna uwezo wa kumtoa mpaka Rais aamue, hata madiwani kama mnataka kumtoa uwezo hamna wa kumtimua mpaka Rais aamue”
Mnalazimishwa kulipa kodi, mnapeleka Halmashauri. Mbunge mliyemchagua awatetee hana uwezo kwasababu mkurugenzi anapata amri kutoka kwa Rais, hii ni akili au Matope?
Huu ni mfumo kandamizi na wa kikoloni ndiyo maana huwa mnasikia maelekezo kutoka juu kwa sababu Rais amamteua Jaji Mkuu, ukiwa na kesi Rais anaweza kumwagiza Jaji Mkuu peleka taarifa mpaka mahakama ya Wilaya hawa walioshtakiwa wafungwe, hakimu anaweza kumbishia Jaji Mkuu?
Akikujibu nitagHivi mwenye chama ni Mbowe, au wanachama wa CHADEMA?
Hao wanachama wakisema wanataka hivyo, Mbowe atawafukuza wote abaki na chama chake ili afanye anavyo penda yeye?
Haya ni maswali nimekuuliza wewe. Nijibu tu kwa utulivu.
Pambaku hajafikia level hiyoJohn Pambalu Kijana Machachari sana anafaa Ukatibu Mkuu wa CHADEMA.
View attachment 3009563
Roho zitawauma sana.......@ John the baptistMchungaji Msigwa amewaumbua wale waliokuwa wanasema ati anaondoka CHADEMA.
Leo hii ameunguruma huko Singida akiwa na Jemadari Tundu Lissu swali langu kwa Mafisiemu na Machawa wenu Wandamizi akina Lucas Mwashambwa zile RAMLI zenu ziko Wapiii?!!✌️✌️✌️
Huu utopo shirikisha maccm wenzako.Endelea na juhudi zako za kuziba mwanga wa jua kwa ungo.Hata teja wakiambiwa ukweli huwa wanakuwa in denial. Wewe sio exception.
Tui la nazi litatoa jibu gani mkuu?Hivi mwenye chama ni Mbowe, au wanachama wa CHADEMA?
Hao wanachama wakisema wanataka hivyo, Mbowe atawafukuza wote abaki na chama chake ili afanye anavyo penda yeye?
Haya ni maswali nimekuuliza wewe. Nijibu tu kwa utulivu.
AaahaaaaSafari ya Matumaini imeanza 😂😂