THE BIG SHOW
JF-Expert Member
- Feb 28, 2012
- 16,950
- 13,527
Hata Mfumo wa kumlamba lamba mbowe miguu ili upate nafasi ni WA hovyo vile vile,Sasa tuchague kipi na tuache kipi?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hawa wavimba macho wanajifanya hawajui ukweli.Time will tell.Hakuna wa kum challenge Mbowe Chadema.Hata Mfumo wa kumlamba lamba mbowe miguu ili upate nafasi ni WA hovyo vile vile,Sasa tuchague kipi na tuache kipi?
Well said huyu ndiyo Msigwa ninaye mjuaMchungaji Peter Msigwa akizungumza Jumatano kwenye mkutano wa hadhara wa Makamu Mwenyekiti wa CHADEMA bara Tundu Lissu uliofanyika Jumatano Juni 05, 2024 katika Kijiji Ughandi -Singida Kaskazini amesema kuwa "Ikitokea Mkurugenzi hamridhiki naye mkitaka kumtoa, hamna uwezo wa kumtoa mpaka Rais aamue, hata madiwani kama mnataka kumtoa uwezo hamna wa kumtimua mpaka Rais aamue”
Mnalazimishwa kulipa kodi, mnapeleka Halmashauri. Mbunge mliyemchagua awatetee hana uwezo kwasababu mkurugenzi anapata amri kutoka kwa Rais, hii ni akili au Matope?
Huu ni mfumo kandamizi na wa kikoloni ndiyo maana huwa mnasikia maelekezo kutoka juu kwa sababu Rais amamteua Jaji Mkuu, ukiwa na kesi Rais anaweza kumwagiza Jaji Mkuu peleka taarifa mpaka mahakama ya Wilaya hawa walioshtakiwa wafungwe, hakimu anaweza kumbishia Jaji Mkuu?
UWT huwa mnamchallenge nani?Hawa wavimba macho wanajifanya hawajui ukweli.Time will tell.Hakuna wa kum challenge Mbowe Chadema.
Baada ya muda ukweli utadhihiri.
Huwa wana mchallenge mama yako.UWT huwa mnamchallenge nani?
nae analalamika kaibiwa /rushwa imetamalaki chademaJohn Pambalu Kijana Machachari sana anafaa Ukatibu Mkuu wa CHADEMA.
View attachment 3009563
Mngekua mnajibu hoja husika tungeamini angalau tuna viongozi wa maana ,ndugu mheshimiwa.Baada ya kukandamizwa kwenye uchaguzi wa kanda sio, ameanza kubwekabweka
Viongozi wasimamizi wa uchaguzi wa kanda yake si walimwambia wamwpewa malekezo kutoka juu au alisemaje ndungu zango, tena yeye mwenyewe kwa kinywa chake
Kwani yeye Msigwa na wenzie alikua ana uwezo wa kumkataa au kimtoa msimamizi wa uchaguzi kule nyasa?, si mpaka mwenyekiti aamue
Kama mwenyekiti Taifa hajaamua yule yule atasimamia uchaguzi na ikawa hivyo pamoja na mabarua kibao aloandika ya kulalamikia rafu za uchaguzi![]()
Nakuelewa dada angu hakuna matataHuwa wana mchallenge mama yako.
Hapa ukileta kejeli utajibiwa kwa kejeli..
Tafuta bwana wewe msenge pori wacha kushobokea wanaume wasiokutaka.Huo usenge peleka unapohitajika.Nakuelewa dada angu hakuna matata
Mtu mwenyewe tui la nazi atajua nini huyo ni kumpuuza tuUWT huwa mnamchallenge nani?
Sharwala inakusumbua.Katafute.Mtu mwenyewe tui la nazi atajua nini huyo ni kumpuuza tu
Hatari snMtu mwenyewe tui la nazi atajua nini huyo ni kumpuuza tu