Mchungaji Msigwa umetukosea heshima wanandugu kwa kushindwa kutambua mchango wa fedha za familia

Ndugu zake ni Wacongo sio sehemu ya Watanzania?
Mambo ya familia yatazungumzwa faragha Kwenye familia.
 
mimi naona kama shukrani alitakiwa aitoe kwenye familia na sio public, sasa mambo yenu ya kifamilia huku jf unayaleta ya nini? kwani wakati mnakaa kikao cha kumchangia mlikuja huku jf?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkuu umeongea sahihi, hata mimi nilishangaa saana kusikia eti mtu aliyewatengenezea kesi Msigwa na wenzake ghfla anageuka na kuwa ndigu wa familia ya Msigwa !!, hao wanaojita wanafamilia walisindwa nini kumuomba huyo Meko alekeze ile kesi ya kubambikiwa iondolewe mahakamani kama ili vyofanyika kwa yule askari aliyeua !!
 
Umenena vema.
Askari aliyeua, tena kwa risasi, alifutiwa kesi na "mwanafamilia aliyechangia milioni 38" lakini akaamua kumpeleka jela 'mwanafamilia Mbunge Msigwa' kwa kusababisha kifo hicho, wakati hakuwa na bunduki wala kisu mfukoni.
 
Hawa ndugu zake wakati msigwa anahangaika na iyo kesi walimpa msaada gani? Je kunamchango wowote walimchangia kulipa mwanasheria? Au walisubir afungwe ndyo wamsaidie? Alafa kwanini alyewafunda ndye katoa 95% yamchango wote?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…