Mchungaji Msigwa umetukosea heshima wanandugu kwa kushindwa kutambua mchango wa fedha za familia

Aliyekulisha sumu ndiye aje akunyweshe maziwa.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ulimuona siku Magu alipotembelea Iringa alivyokuwa anamsifia?

Ni haki yake kumsifia, maana hiki ni kipindi cha mavuno ya hela za Mabwege wanaolazimisha kupendwa
 
Ni haki yake kumsifia, maana hiki ni kipindi cha mavuno ya hela za Mabwege wanaolazimisha kupendwa
Kuna siku utaaibika sana kama mlivyoaabika kwa Lowassa, Mashinji, na Sumaye na ni mwaka huu huu!!
 
Tukiachana na maswali ya kupuuzwa ya mtoa Mada yasiyo na tija kwa taifa...
Serikali ituambie kwanini pesa za serikali zinatumika kwenye masuala ya kumtoa mwanafamilia jela?
Tumeona magari ya serikali yenye mafuta ya kodi zetu yanatumika kwenda segerea kwa msigwa,hii ni kwasababu gani??
Je,hii siyo kesi ya kutumia ofisi vibaya kwa kujinufaisha binafsi?
Je, hii sio rushwa kutaka kumpata Msigwa aingie chama chao?
Je huu sio uhujumu uchumi?
Huu sio ubinafsi mkubwa ukizingatia wapo watanzania wameteseka na kuomba msaada bila mafanikio?
Je, Haikuwa vema pesa hizi angesaidiwaga Tundu Lissu kuokoa maisha yake yalipokua yanakatishwa kinyama?
THIS IS A BIG SHAME...KARMA WILL TAKE ITS COURSE... YOU CAN CHEAT PEOPLE BUT YOU CANT CHEAT GOD...SAIDIA WENYE UHITAJI ZAIDI!!!
 
Kama kweli mlikiwa na nia njema mlitakiwa kupeleka huo mchango wenu Chadema na sio Lumumba. Acha kuchefua watu

Sent using Jamii Forums mobile app
Nyie wanafamilia wanafiki sana. Chama kilitoa utaratibu was kuchangia kwa kutoa account ya benki na nr ya M-Pesa. Ikawaje nyie mkaja na utaratibu tofauti? Mmeniudhi sana. Halafu iweje muende gerezani kumtoa mkiwa mmeongozana na yule vuvuzela Polepole ambaye si mwanafamilia? Ovyo kabisa!
 
Huwezi kuwa ndugu wa Msigwa na ukawa unatamani mabaya yamfike ndugu yako ili ukate kiu uliyonayo ikiwemo kufiwa.

Akifiwa Msigwa tafsiri yake ni kuwa umefiwa pia.
Je, unamjua atakayekufa ni nani kwako?

Acha hizo, siasa na familia ni mambo tofauti sana.

We all live once & die once.



Sent using Jamii Forums mobile app
 
Msigwa kajisahau tu msameheni,mtakua nae bega kwa bega baada ya october 2020,akishaukosa ubunge
 

Familia mngeshirikiana na chama CHAKE ambacho kilishaweka utaratibu wa KUWATOA Viongozi wake,

Wakawaingia WENYE ROHO mbaya za uchonganishi na UCHOCHEZI kuwa ndugu yenu / yetu hawezi saidiwa na CHADEMA.

MLIPOONA MMEPATA MILIONI MBILI TU, MLIWASILIANA NA CHADEMA?

HATA MLIPOMWAMBIA MAGUFULI NA KUTOA HIZO PESA, MNGEWASILIANA NA CHAMA CHAKE NA KUWASILISHA MICHANGO YA FAMILIA KWA CHAMA CHAKE.

KUTOFAUTIANA VYAMA HAKUVUNJI UNDUGU,

KAMA MTAMTENGA AKISTAAFU SIASA MTAMWONEA.

AU MLIPEWA SHARTI KUWA HIYO PESA WASIIONE WA CHADEMA?

KAMA NI HIVYO, MNGEMWULIZA KWANZA MIPANGO ILIYOPO, MNGEELEKEZWA CHA KUFANYA.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…