Mchungaji Msigwa umetukosea heshima wanandugu kwa kushindwa kutambua mchango wa fedha za familia

Mchungaji Msigwa umetukosea heshima wanandugu kwa kushindwa kutambua mchango wa fedha za familia

Nimemsikiliza kwa makini ndugu yangu PETER MSIGWA kwenye hotuba yake na vyombo vya habari ambapo yeye na viongozi wengine wa Chadema waliokuwa gerezani wameachiwa huru baada ya kulipa faini.

Kilichonishangaza ni MSIGWA kushindwa kutambua mchango wetu wa kifedha uliokuwa unaratibiwa na kaka yake, BERNET MSIGWA ambapo kwa ndugu wa huku Iringa tulifanikiwa kukusanya jumla ya milioni 2 na baadae alikwenda kuomba msaada kwa mwanafamilia mwenzetu Mhe. Rais JOHN MAGUFULI ambaye alijitolea sh. milioni 38.

MSIGWA kwa kutanguliza maslahi ya Chadema umeikana michango yetu wanandugu, eti kwa sababu wakati kaka yake BERNET anashughulika kukutoa gerezani aliambatana na POLEPOLE ambaye kutokana na Mhe. Rais kutingwa na Majukumu alimuagiza ashirikiane nae.

Ndugu yetu PETER kumbuka kuna maisha baada ya Siasa, kuna muda utastaafu Siasa, utapata misiba(japo siombei hilo)na hata kufariki dunia, sisi ndugu zako ndio tutakaowajibika kukusitiri na kusaidia familia utakayoiacha Chadema hawata kuwa na wewe tena.

Ni raia yangu utajitokeza kwa wanandugu kuomba msamaha juu ya jambo hilo, ikumbukwe kwa mila na desturi zetu za kihehe mafadhaiko uliyosababisha kwetu yanaweza kukusababishia laana ya kushindwa ubunge kwenye uchaguzi na kufukuzwa uanachama na Chadema.

Ndimi ndugu yako,
Luvanda Ngurusavangi Msigwa
Igumbilo, Iringa.

Acha kutumiwa na CCM, nawe elewa mambo ya Familia hayamalizwi kwenye JF. Namba yake ya simu unayo kwanini uandike hapa , hata kama limekukera.

Hata mimi leo nimekwazana na ndugu yangu, nimempigia simu na tumeyamaliza bila wewe kujua.

Msigwa kakubali kuwa kuna mahusiano ya kindugu na Magufuli, lakini mambo ya kifamilia anapenda yaishie katika Familia.

Hivyo msubiri huko Iringa au mfuate Dar mkamaliziane.

Angalizo: Usirudi tena hapa JF kwa swala la Kifamilia. Jifunze kitu katika hili.
 
Kuna siku utaaibika sana kama mlivyoaabika kwa Lowassa, Mashinji, na Sumaye na ni mwaka huu huu!!

Tafuta kwenye post zangu kama kuna mahali popote nimewahi kuwasifia Lowassa, Sumaye ama Mashinji, ukipapata nipigwe ban ya maisha. Au unadhani mimi ni bendera fuata upepo?
 
mwana wa Tanzania
Member


Joined Nov 27, 2019

rep.png
25
point.png
75

aka /
Ndimi ndugu yako,
Luvanda Ngurusavangi Msigwa
Igumbilo, Iringa

Tafakari……...
 
Msigwa hakufungwa kwa makosa ya familia Bali alifungwa kwa makosa ya CHADEMA (Kama yapo) hivyo michango yenu mngepeleka chamani Tena kimya.
Kwani Pole pole ni mwanafamilia hadi atumwe yeye ilhali kaka wa mhusika alikuwepo?
Nimemsikiliza kwa makini ndugu yangu PETER MSIGWA kwenye hotuba yake na vyombo vya habari ambapo yeye na viongozi wengine wa Chadema waliokuwa gerezani wameachiwa huru baada ya kulipa faini.

Kilichonishangaza ni MSIGWA kushindwa kutambua mchango wetu wa kifedha uliokuwa unaratibiwa na kaka yake, BERNET MSIGWA ambapo kwa ndugu wa huku Iringa tulifanikiwa kukusanya jumla ya milioni 2 na baadae alikwenda kuomba msaada kwa mwanafamilia mwenzetu Mhe. Rais JOHN MAGUFULI ambaye alijitolea sh. milioni 38.

MSIGWA kwa kutanguliza maslahi ya Chadema umeikana michango yetu wanandugu, eti kwa sababu wakati kaka yake BERNET anashughulika kukutoa gerezani aliambatana na POLEPOLE ambaye kutokana na Mhe. Rais kutingwa na Majukumu alimuagiza ashirikiane nae.

Ndugu yetu PETER kumbuka kuna maisha baada ya Siasa, kuna muda utastaafu Siasa, utapata misiba(japo siombei hilo)na hata kufariki dunia, sisi ndugu zako ndio tutakaowajibika kukusitiri na kusaidia familia utakayoiacha Chadema hawata kuwa na wewe tena.

Ni raia yangu utajitokeza kwa wanandugu kuomba msamaha juu ya jambo hilo, ikumbukwe kwa mila na desturi zetu za kihehe mafadhaiko uliyosababisha kwetu yanaweza kukusababishia laana ya kushindwa ubunge kwenye uchaguzi na kufukuzwa uanachama na Chadema.

Ndimi ndugu yako,
Luvanda Ngurusavangi Msigwa
Igumbilo, Iringa.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sasa hao Watu wamehukumiwa kwa pamoja kama kikundi nyie mnaenda kumtoa tu ndugu yenu mmoja, hao wengine wabaki gerezani ili iweje?.

Mngefanya cha maana kama mngekaa tu kimya, au mngechangisha pesa za kutosha kuwatoa yeye na wenzake, au mngemshawishi 'ndugu' yenu yule awapunguzie wote adhabu.
 
Ni laana hiyo. Daini mahakama pesa yenu mkaifanyie kazi nyingine za kifamilia. Na kama ni kweli hakukuwa na double payment basi Msigwa atarudishwa jela hadi yeye au chama chake kilipe hiyo pesa.
 
Nimemsikiliza kwa makini ndugu yangu PETER MSIGWA kwenye hotuba yake na vyombo vya habari ambapo yeye na viongozi wengine wa Chadema waliokuwa gerezani wameachiwa huru baada ya kulipa faini.

Kilichonishangaza ni MSIGWA kushindwa kutambua mchango wetu wa kifedha uliokuwa unaratibiwa na kaka yake, BERNET MSIGWA ambapo kwa ndugu wa huku Iringa tulifanikiwa kukusanya jumla ya milioni 2 na baadae alikwenda kuomba msaada kwa mwanafamilia mwenzetu Mhe. Rais JOHN MAGUFULI ambaye alijitolea sh. milioni 38.

MSIGWA kwa kutanguliza maslahi ya Chadema umeikana michango yetu wanandugu, eti kwa sababu wakati kaka yake BERNET anashughulika kukutoa gerezani aliambatana na POLEPOLE ambaye kutokana na Mhe. Rais kutingwa na Majukumu alimuagiza ashirikiane nae.

Ndugu yetu PETER kumbuka kuna maisha baada ya Siasa, kuna muda utastaafu Siasa, utapata misiba(japo siombei hilo)na hata kufariki dunia, sisi ndugu zako ndio tutakaowajibika kukusitiri na kusaidia familia utakayoiacha Chadema hawata kuwa na wewe tena.

Ni raia yangu utajitokeza kwa wanandugu kuomba msamaha juu ya jambo hilo, ikumbukwe kwa mila na desturi zetu za kihehe mafadhaiko uliyosababisha kwetu yanaweza kukusababishia laana ya kushindwa ubunge kwenye uchaguzi na kufukuzwa uanachama na Chadema.

Ndimi ndugu yako,
Luvanda Ngurusavangi Msigwa
Igumbilo, Iringa.
Wee Luvanda, mbona umeamua kujidhalilisha hivi? Ungekuwa na busara kidogo tu, ungekaa kimya, kuliko haya uliyoandika! Pole sana. Jaribu mbinu nyingine hapa 'mmebugi'!


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nimemsikiliza kwa makini ndugu yangu PETER MSIGWA kwenye hotuba yake na vyombo vya habari ambapo yeye na viongozi wengine wa Chadema waliokuwa gerezani wameachiwa huru baada ya kulipa faini.

Kilichonishangaza ni MSIGWA kushindwa kutambua mchango wetu wa kifedha uliokuwa unaratibiwa na kaka yake, BERNET MSIGWA ambapo kwa ndugu wa huku Iringa tulifanikiwa kukusanya jumla ya milioni 2 na baadae alikwenda kuomba msaada kwa mwanafamilia mwenzetu Mhe. Rais JOHN MAGUFULI ambaye alijitolea sh. milioni 38.

MSIGWA kwa kutanguliza maslahi ya Chadema umeikana michango yetu wanandugu, eti kwa sababu wakati kaka yake BERNET anashughulika kukutoa gerezani aliambatana na POLEPOLE ambaye kutokana na Mhe. Rais kutingwa na Majukumu alimuagiza ashirikiane nae.

Ndugu yetu PETER kumbuka kuna maisha baada ya Siasa, kuna muda utastaafu Siasa, utapata misiba(japo siombei hilo)na hata kufariki dunia, sisi ndugu zako ndio tutakaowajibika kukusitiri na kusaidia familia utakayoiacha Chadema hawata kuwa na wewe tena.

Ni raia yangu utajitokeza kwa wanandugu kuomba msamaha juu ya jambo hilo, ikumbukwe kwa mila na desturi zetu za kihehe mafadhaiko uliyosababisha kwetu yanaweza kukusababishia laana ya kushindwa ubunge kwenye uchaguzi na kufukuzwa uanachama na Chadema.

Ndimi ndugu yako,
Luvanda Ngurusavangi Msigwa
Igumbilo, Iringa.
Nenda kamlaani kwenu lumumba

In God we Trust
 
Katika pumba za kujikomba zilizowahi kurepotiwa hapa ubaoni mwaka huu,hii inaongoza. Usichokijua Msigwa anajitambua,sio kama wewe. Bila aibu eti unamuongelea mwenzio eti kumsitiri akifa. Uje umuache uone kama hatasitiliwa. Hata hizo hela mlizochanga,ni za kujipendekeza tu baada ya kuona,NGUVU YA UMMA INAENDA KUWAZIDI NGUVU TENA.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
  • mngepeleka chadema waunganishe nguvu.
  • kama mliona za maana si mngeenda benki kimya kuzilipa na kumtoa?
  • matangazo yalikuwa ya nini?
  • kwanini muanze michango baada ya wanawake wa chadema kutolewa rumande?
  • kama vipi andamaneni mkadai hela zenu pale KRA
Asante sana Mkuu. Ubarikiwe na Bwana. Umefikiri na kutumia busara ya hali ya juu kumuelewesha huyu pandikizi anaejiita mwanafamilia.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hizi movie hizi kweli ni za ajabu mpaka zinanifanya kufikiri mara nyingi sana.Inawezekanaje mtoe hukumu ya kumfunga Msigwa na wenzake, mkasimama kidete kwa hali na mali mpaka hukumu ikapita kama mlivyotaka mkahakikisha wamepelekwa Segerea.

Ghafla tu mkamtoa yule Msukuma.Mliposikia karibu Watanzania wengi wamechanga fedha za kuwatoa za kutosha na nyie mkaanza mchezo wa kuigiza,tena wa kitoto kwelikweli.

Unifunge halafu ujifanye mwema kuja kunitoa,ni kitu gani hicho wala sikuelewi.Mnachanganyikiwa mpaka mnafanya vitu vya ajabu.

Eti familia ya Kina Msigwa imechanga 2m peke yake.

Hivi kwa nini mnadharau watu hivi. kina Msigwa ni wa 2m.Halafu bila kuwa na aibu eti nayo Ikulu ni mmoja wa Familia.Hapa tunajiuliza,waliochanga 2m wamehifadhi majina yao aliyekuja na vioja kwa nguvu kubwa amechorwa kila mahali.Uongo mwingine haujifichi.Haya Kina Msigwa wamesema familia haijachanga 2m.huyo amepata wapi hiyo figure.Kama sio kudhalilisha watu.

Huyu hapa kajipachika jina tu la Msigwa kumbe hata hajulikani.Hawa ni walewale wamezoelekaga.Ukija kimbelembele yupo,kinyumanyuma pia yupo basi tena.

Wenye misimamo yao wapo.Kina Mch.Peter na sio wewe bendera fuata upepo.Hata wewe usipokuwepo Mch.Mambo yake yanenda tu.Kwanza nina hakika wewe hukuchanga chochote unapiga kelele tu hapa.
Kabugi tu huyu Mwagito. Labda naye anajisafisha kwa magu aonekane ni wa busara zaidi ya nduguye. Pole mwagito. Ukikua utaelewa umekosea wapi be. Swela.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom