Mchungaji Msigwa unatuabisha wana Iringa, kumbe ulikuwa unatudanganya!

Mmawia

JF-Expert Member
Joined
Aug 20, 2013
Posts
122,494
Reaction score
96,074
Sisi wana Iringa tumeamini kuwa wewe siyo MCHUNGAJI kabisa.

Wakati bado upo cdm ulikuwa unatuaminisha kuwa hakuna chama makini kama cdm.

Ukatushawishi tukakuchagua kupitia cdm na ukasema kuwa ccm siyo chama kabisa bali ni walaghai na wachumia tumbo.

Leo hii tena unatuambia kuwa ccm ndiyo chama pekee cha siasa?

Aibu hii utaipeleka wapi? Wewe unajiita mchungaji na mtumishi wa Mungu lkn Bado unadanganya watu?

Kweli wana siasa ni wakuogopwa kama ukoma.
 
Huyu tumbili mpumbavu sana
 

Attachments

  • downloadfile-21~2.jpg
    141.1 KB · Views: 2
  • Screenshot_2024-07-21-09-14-46-163_com.whatsapp~2.jpg
    244.5 KB · Views: 1
  • FB_IMG_1722881815366.jpg
    56.4 KB · Views: 2
  • FB_IMG_1721892194992~2.jpg
    425.4 KB · Views: 1
  • FB_IMG_1719903252490.jpg
    26.2 KB · Views: 1
  • FB_IMG_1719903155204.jpg
    51.5 KB · Views: 1
Nyie mmeuona uzi kule wanagawa vocha πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Bwana Msigwa na Mwijaku akili zao ni sawa sawa
 
Chadema ni genge la waongo walituambia lowassa ni fisadi na mwizi then wakamleta apewe uraisi!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…