Mchungaji Msigwa unatuabisha wana Iringa, kumbe ulikuwa unatudanganya!

Mchungaji Msigwa unatuabisha wana Iringa, kumbe ulikuwa unatudanganya!

Msigwa amekubwa na pepo la njaa na anaweza hata kuachia mtrrrrrkkkqqq ili apate hata uDC. Mjinga sana cant ypu deal with your own things sio kila siku kuongelea alikotoka tu ingali ndiko walikomlea na kumkomaza kisiasa? Have some.respect Msigwa.
 
Sisi wana Iringa tumeamini kuwa wewe siyo MCHUNGAJI kabisa.

Wakati bado upo cdm ulikuwa unatuaminisha kuwa hakuna chama makini kama cdm.

Ukatushawishi tukakuchagua kupitia cdm na ukasema kuwa ccm siyo chama kabisa bali ni walaghai na wachumia tumbo.

Leo hii tena unatuambia kuwa ccm ndiyo chama pekee cha siasa?

Aibu hii utaipeleka wapi? Wewe unajiita mchungaji na mtumishi wa Mungu lkn Bado unadanganya watu?

Kweli wana siasa ni wakuogopwa kama ukoma.
View attachment 3065542
Tayari
 

Attachments

  • 20240807_141729.jpg
    20240807_141729.jpg
    26.7 KB · Views: 1
Msigwa amekubwa na pepo la njaa na anaweza hata kuachia mtrrrrrkkkqqq ili apate hata uDC. Mjinga sana cant ypu deal with your own things sio kila siku kuongelea alikotoka tu ingali ndiko walikomlea na kumkomaza kisiasa? Have some.respect Msigwa.
Msigwa hana tofauti na mchumia tumbo yeyote na sidhani kama analitendea haki hilo jina la Mchungaji
 
Sisi wana Iringa tumeamini kuwa wewe siyo MCHUNGAJI kabisa.

Wakati bado upo cdm ulikuwa unatuaminisha kuwa hakuna chama makini kama cdm.

Ukatushawishi tukakuchagua kupitia cdm na ukasema kuwa ccm siyo chama kabisa bali ni walaghai na wachumia tumbo.

Leo hii tena unatuambia kuwa ccm ndiyo chama pekee cha siasa?

Aibu hii utaipeleka wapi? Wewe unajiita mchungaji na mtumishi wa Mungu lkn Bado unadanganya watu?

Kweli wana siasa ni wakuogopwa kama ukoma.
View attachment 3065542
Screenshot_2024-07-03-12-58-38-1.png
Screenshot_2024-07-03-12-58-56-1.png
 
Sisi wana Iringa tumeamini kuwa wewe siyo MCHUNGAJI kabisa.

Wakati bado upo cdm ulikuwa unatuaminisha kuwa hakuna chama makini kama cdm.

Ukatushawishi tukakuchagua kupitia cdm na ukasema kuwa ccm siyo chama kabisa bali ni walaghai na wachumia tumbo.

Leo hii tena unatuambia kuwa ccm ndiyo chama pekee cha siasa?

Aibu hii utaipeleka wapi? Wewe unajiita mchungaji na mtumishi wa Mungu lkn Bado unadanganya watu?

Kweli wana siasa ni wakuogopwa kama ukoma.
View attachment 3065542
Asante kwamba ametoka CHADEMA angeharibu sana Chama.
 
Unatakiwa uwe tayari kubadilika pale unapokutana na ukweli mpya. Msigwa amefuata vizuri njia hii. Kuendelea kushabikia CDM huku unaona wazi kinaenda tofauti na msimamo wake wa awali ni upumbavu na usaliti.
 
Chadema ni genge la waongo walituambia lowassa ni fisadi na mwizi then wakamleta apewe uraisi!
CCM walituambia kuwa MAGUFULI ni mzima anachapa kazi mnataka mmuone anazurura sokoni? Matokeo yake ilikuwa nn! Muongo ni muongo tu ni hulka na tabia ya mtu. Wala siyo chama. Na bado unayodanganywa na CCM ni mengi sana haujajaliwa kuyaona Kwa macho ya nyama
 
Back
Top Bottom