Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
TayariSisi wana Iringa tumeamini kuwa wewe siyo MCHUNGAJI kabisa.
Wakati bado upo cdm ulikuwa unatuaminisha kuwa hakuna chama makini kama cdm.
Ukatushawishi tukakuchagua kupitia cdm na ukasema kuwa ccm siyo chama kabisa bali ni walaghai na wachumia tumbo.
Leo hii tena unatuambia kuwa ccm ndiyo chama pekee cha siasa?
Aibu hii utaipeleka wapi? Wewe unajiita mchungaji na mtumishi wa Mungu lkn Bado unadanganya watu?
Kweli wana siasa ni wakuogopwa kama ukoma.
View attachment 3065542
Msigwa hana tofauti na mchumia tumbo yeyote na sidhani kama analitendea haki hilo jina la MchungajiMsigwa amekubwa na pepo la njaa na anaweza hata kuachia mtrrrrrkkkqqq ili apate hata uDC. Mjinga sana cant ypu deal with your own things sio kila siku kuongelea alikotoka tu ingali ndiko walikomlea na kumkomaza kisiasa? Have some.respect Msigwa.
Mhuni perseMsigwa hana tofauti na mchumia tumbo yeyote na sidhani kama analitendea haki hilo jina la Mchungaji
Chama kinacho ongoza kwa wendawazimu Africa ni CCMPer capita,Chadema ina viongozi wengi wendawazimu kuliko CCM
Sisi wana Iringa tumeamini kuwa wewe siyo MCHUNGAJI kabisa.
Wakati bado upo cdm ulikuwa unatuaminisha kuwa hakuna chama makini kama cdm.
Ukatushawishi tukakuchagua kupitia cdm na ukasema kuwa ccm siyo chama kabisa bali ni walaghai na wachumia tumbo.
Leo hii tena unatuambia kuwa ccm ndiyo chama pekee cha siasa?
Aibu hii utaipeleka wapi? Wewe unajiita mchungaji na mtumishi wa Mungu lkn Bado unadanganya watu?
Kweli wana siasa ni wakuogopwa kama ukoma.
View attachment 3065542
Mchungaji Peter Msigwa ni mmojawapo waliohongwa na Abdul ndiyo maana anakaza fuvu ku justify malipo hayo.Mchungaji ameshapewa mnofu so msitegemee akaongea ukweli halisia
Wengine hata majina wanaongopa mfano Daudi Albert Bashite anajiita Paul Christian Makonda.Mwanasiasa anachosema ukweli ni jina lake tu
Unazidi ku-prove nnachokisema kuhusu wanachadema. Unajua maana ya per capita?Chama kinacho ongoza kwa wendawazimu Africa ni CCM
Asante kwamba ametoka CHADEMA angeharibu sana Chama.Sisi wana Iringa tumeamini kuwa wewe siyo MCHUNGAJI kabisa.
Wakati bado upo cdm ulikuwa unatuaminisha kuwa hakuna chama makini kama cdm.
Ukatushawishi tukakuchagua kupitia cdm na ukasema kuwa ccm siyo chama kabisa bali ni walaghai na wachumia tumbo.
Leo hii tena unatuambia kuwa ccm ndiyo chama pekee cha siasa?
Aibu hii utaipeleka wapi? Wewe unajiita mchungaji na mtumishi wa Mungu lkn Bado unadanganya watu?
Kweli wana siasa ni wakuogopwa kama ukoma.
View attachment 3065542
Sio tu wendawazimu na ni walevi wakuangushwa na konyagi!!Per capita,Chadema ina viongozi wengi wendawazimu kuliko CCM
Hawawezi kuondoka chamani in a dignified way.Lazima wasemane na kutukanana..Sio tu wendawazimu na ni walevi wakuangushwa na konyagi!!
CCM walituambia kuwa MAGUFULI ni mzima anachapa kazi mnataka mmuone anazurura sokoni? Matokeo yake ilikuwa nn! Muongo ni muongo tu ni hulka na tabia ya mtu. Wala siyo chama. Na bado unayodanganywa na CCM ni mengi sana haujajaliwa kuyaona Kwa macho ya nyamaChadema ni genge la waongo walituambia lowassa ni fisadi na mwizi then wakamleta apewe uraisi!