Ama kweli tujilinde na kauli zetu wana ndugu hizi kauli za kibaguzi ni hatari sana tuna sahau kuwa sisi n binadamu na ni watanzania.
Nimejifunza kitu kuwa hapa.
Haina maana tusiseme ukweli hata kama unauchukia ukweli.Mtikila alisimamia ukweli siku zote