Mchungaji Mtikila asema CHADEMA wanahusika na kifo cha Chacha Wangwe; kumfikisha Lowassa Mahakamani

Mchungaji Mtikila asema CHADEMA wanahusika na kifo cha Chacha Wangwe; kumfikisha Lowassa Mahakamani

alipo tupo, lakini angekuwa fisiem ningempinga ile mbaya.

sasa sijui ni R.I.P au R.I.H

Shauri yake mwenyewe na Mungu wake aliyemtuma kutukana watanzania wenzie
 
Nniniisimba njo utupe tafsiri ya maandiko yako yaliyotimia.
 
Waislamu msimpe lowassa kura. lowassa ameletwa ukawa na gwajima. Lowaasaa akishinda gwajima atakua na nguvu sana. Gwajima haupendi uislamu. Vile lowassa nae ana chembechembe za kuuchukia uislamu, wakiwa madarakani wataangamiza uislamu.

Waislamu amkeni. Semeni NO kwa lowassaaaaa

Lowasa ndiye aliesaini mkataba uliyoyapa makanisa haki ya kupewa ruzuku na serikali. Waislamu wameachwa bila ruzuku yoyote licha ya kuwa walipa kodi pia.

WALLAHI mkimpa kura lowassa mtaingia motoni
Mpeni kura magufuli. Siyo mdini

Mimi nipo tayari kuingia motoni kama ikiwa ni kwa kumpa kura ya Ndio mh Edward Lowassa!!
 
DAAA..! NADHAN USHAID WA CHACHA ALIOKUWA NAO UMEMPONZA... kwa style ile ile iliyoondoa uhai wa chacha ndio hyo hyo imeondoa uhai wa mchungaj mtikila..
 
hata mimi mwenyewe sijui mkuu tamuuuuu, MUNGU yeye mwenyewe ajua sababu ndugu yangu. Imeniuma sana kweli ndugu yangu.
 
Ameondoka katika ulimwengu huu lakini mbegu aliyoipanda itaendelea kustawi na kustawi!
 
Hivi alikufa kwwli au ilikuwa siasa maybe aliamua kudanganya?
 
Back
Top Bottom